Je, kuchukua pesa ya Serikali ni wizi?

Je, kuchukua pesa ya Serikali ni wizi?

Makonde plateu

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2022
Posts
1,443
Reaction score
3,480
Wakuu nina swali je kuchukua pesa ya serikali ni Wizi na ni dhambi? Na je pesa za serikali zina mwenyewe?
 
Mali ya umma ni kwa maendeleo ya umma na si binafsi, kunawananchi wanahenyeka kwa kukamuliwa kodi ili kuhudumia nchi
 
Back
Top Bottom