Je, kufanya mapenzi na binti Wa miaka 16 ambaye si mwanafunzi, ni kosa kisheria?

Je, kufanya mapenzi na binti Wa miaka 16 ambaye si mwanafunzi, ni kosa kisheria?

Ishu ni kuwa kaomba mwenyewe. Anadai kuwa bikira inamfanya apate pain sana anapokuwa kwenye siku zake. Huu ushauri kapewa na daktari.
Naona sasa umekuw king'ang'anizi,nia yako tukwambie kuwa si kosa kisheria.
Ok!Si kosa maana kataka mwenyew
 
Kuna dalili nakujua.. nikijua tu ume mla dogo ntafanya juu chini nikufumuenikufumu marinda yako hayo, na ulivyo jaliwa shindu
 
hilo ni kosa the real question ni kwamba....kufanya mapenzi na mwanafunzi mwenye miaka 18 ni kosa??????????????????????
Kufanya mapenzi na mwanafunzi ni kosa kisheria. Kweny hili swali lako na kinachoangaliwa JE MSICHANA NI MWANAFUNZI? Hata kama ana miaka 25 sio umri kwa mjibu wa sheria ya elimu sura Na. 353 toleo la mwaka 2002 pamoja na kanuni zake.

Suala la umri ni kosa jingine na sheria yake ni nyingne kabisa. Kosa la umri ni KUBAKA km binti u chini ya miaka 18 haijalishi ni dent ama la hii ni kwa mjibu wa sheria ya SOSPA (kifupi) ya mwaka 1998.

So mtu ukifanya mapenzi na mwanafunzi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi utashitakiwa kwa kosa moja tu la kufanya mapenzi na dent. Hope adhabu yake ni jela miaka 7. But ukifanya sex na mwanafunzi pia akawa chini ya miaka 18, utashitakiwa kwa makosa mawili
1. Kufanya sex na dent chini ya sheria ya elimu (jela miaka 7)
2. Ubakaji chini ya sheria ya SOSPA ( jela miaka 30)

Jumla utahukumiwa miaka 37 jela.
 
hilo ni kosa the real question ni kwamba....kufanya mapenzi na mwanafunzi mwenye miaka 18 ni kosa??????????????????????
Ni kosa akiwa kwenye ile elimu compulsory, kuanzia shule ya msingi mpaka ya sekondari.

Kwa umri huo anakua anaweza kutoa maamuzi yake ila sheria za kusema ukimuweka mimba mwanafunzi unaenda jela zinakua zinamlinda.

Hivyo kwa huyu utakua una kesi ya kumpa mimba mwanafunzi.

Kwa msichana wa chini ya umri wa miaka 18 utakua una kesi ya kubaka na kumpa mimba mwanafunzi.
 
Wakuu naomba kuuliza.

Kuna kabinti jirani na ninako ishi kananiomba nikatoe bikira. Yeye ana miaka 16 mimi 28. Ila si mwanafunzi. Je nikikatimizia haja zake ni makosa kisheria?


Naomba anuani yako tafadhali, wewe si mtu wa kuchekewa hata kidogo. Sentro inakuhusu sana, na huko utakwenda kutimiziwa haja yako mpaka utakinai.
 
Nimakosa mkuu, kama hajafika umri wa miaka 18 nikosa hata kama amekubali mwenyewe.
 
Nenda nae kwa daktari wake aliyempa ushauri ili nawe doctor akupe ushauri wa jinsi ya kumwingila binti .Ila nimeshakushangaa sana miaka 28 bado hujajitambua ujue huyu ni binti mdogo bado ? Tuna safari ndefu wa bongo.
 
Ni kosa akiwa kwenye ile elimu compulsory, kuanzia shule ya msingi mpaka ya sekondari.

Kwa umri huo anakua anaweza kutoa maamuzi yake ila sheria za kusema ukimuweka mimba mwanafunzi unaenda jela zinakua zinamlinda.

Hivyo kwa huyu utakua una kesi ya kumpa mimba mwanafunzi.

Kwa msichana wa chini ya umri wa miaka 18 utakua una kesi ya kubaka na kumpa mimba mwanafunzi.
hii sheria inahitaji marekebisho....vyombo vingi vya serikali vinatambua mtu mwenye miaka 18 kama mtu mzima na ndoa anaweza kufunga
 
Kufanya mapenzi na mwanafunzi ni kosa kisheria. Kweny hili swali lako na kinachoangaliwa JE MSICHANA NI MWANAFUNZI? Hata kama ana miaka 25 sio umri kwa mjibu wa sheria ya elimu sura Na. 353 toleo la mwaka 2002 pamoja na kanuni zake.

Suala la umri ni kosa jingine na sheria yake ni nyingne kabisa. Kosa la umri ni KUBAKA km binti u chini ya miaka 18 haijalishi ni dent ama la hii ni kwa mjibu wa sheria ya SOSPA (kifupi) ya mwaka 1998.

So mtu ukifanya mapenzi na mwanafunzi mwenye umri wa miaka 18 na zaidi utashitakiwa kwa kosa moja tu la kufanya mapenzi na dent. Hope adhabu yake ni jela miaka 7. But ukifanya sex na mwanafunzi pia akawa chini ya miaka 18, utashitakiwa kwa makosa mawili
1. Kufanya sex na dent chini ya sheria ya elimu (jela miaka 7)
2. Ubakaji chini ya sheria ya SOSPA ( jela miaka 30)

Jumla utahukumiwa miaka 37 jela.
mkuu naona hii sheria inahitaji marekebisho kwasababu hata mwanachuo kikuu nae ni mwanafunzi lakini wengi tu wanazalia vyuoni
 
Uzinzi maana yake nini?

1 Wakorintho 6
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
 
1 Wakorintho 6
9Au hamjui ya kuwa wadhalimu hawataurithi ufalme wa Mungu? Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti,
10 wala wevi, wala watamanio, wala walevi, wala watukanaji, wala wanyang'anyi.
Kuni ni lazima kuuona ufalume wa mungu?
 
Back
Top Bottom