Conspiracy theorist
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 395
- 311
Yaani makosa kisheria
Na Dhambi kibiblia
Ila kukosoa uumbaji wa Mungu ni dhambi.. na makosa mengi tu ni dhambi.. ndio maana kuna neno MSAMAHA na KUTUBU.
Hahahaha wewe binti sijui jamaa hakuna kitu kama Mens na Womens...ukishasema Men umeshaweka wingi tayari na ukishasema Women umeshaweka wingi tayari kwaio hakuna haja ya kuweka 'S' mwishoni..ingawa nimetoka nje ya mada..utaniwia radhi usighafirikeHey guys hili swali nimeulizwa na mtu pm nimeshindwa hata kumjibu
Siku hizi kumekua na mambo mengi abt kujichubua kwa losheni, vidonge au sabuni
Maana kuna wimbi la mens and womens kujichubua hata friends zangu wengine wanajibua ok kwangu dhidi yao naona poa tyu ila kuna jambo tena swali
hivi kujichubua ni sawa?jee ni dhambi?
Mimi sizungumzii kwa upande wangu coz mimi ni mweupe in nature siez jichubua si unajua tena ushombe shombe??[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Haya jamani hivi kujichubua ni sawa?jee ni dhambi au sio dhambi?
We huo uweupe weupe wa wapi? Wewe umejichubua na sijawahi kuona mtu mwenye uweupe wa namna yako.Hey guys hili swali nimeulizwa na mtu PM nimeshindwa hata kumjibu
Siku hizi kumekuwa na mijadala mingi kuhusu kujichubua kwa losheni, vidonge au sabuni. Maana kuna wimbi la wanaume na wanawake kujichubua na hata rafiki zangu wengine wanajibua na kwangu naona poa tu.
Lakini nimekuwa nikijiuliza hivi kujichubua ni sawa? Na je, ni dhambi?
Mimi sizungumzii kwa upande wangu sababu mimi ni mweupe in nature siwezi kujichubua si unajua tena ushombe shombe??[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Use your common sense girlBasi kuvaa nguo ,kutoga masikio,kupakanmafuta ya kusoftisha,kukata kucha,kukata nywele nayo ni dhambi mana tunaenda kinyume na uumbaji
Sent using Jamii Forums mobile app