Conspiracy theorist
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 395
- 311
Yaani makosa kisheria
Na Dhambi kibiblia
Ila kukosoa uumbaji wa Mungu ni dhambi.. na makosa mengi tu ni dhambi.. ndio maana kuna neno MSAMAHA na KUTUBU.
Efeso 2:1 Nanyi mlikua wafu kwasababu ya makosa na dhambi zenu....
Ina maana ki Mungu kuna makosa na dhambi