Je, kukosa kwetu ajira na ugumu wa kupata pesa, lawama tumtwishe nani?

Je, kukosa kwetu ajira na ugumu wa kupata pesa, lawama tumtwishe nani?

Mkuu we mpaka saahhizi umekula milioni ngapi? Au ndio ule utajiri wa dakika 90🤣🤣🤣🤣
 
Mi naonaga kijana ambaye anafya njema hana ulemavu wowote kulalamika mitandaoni hana kazi huyo ni tatizo kubwa sana..tatizo vijana wanatafuta ajira hawatafuti hela..hela zinapatikana popote pale.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ndugu,
Kama ni kweli umetumia 50 huyo jamaa, MUNGU akuzidishie mara 100 ya pesa uliyotoa...

Ubarikiwe aisee
Yes, alinitumia muda uleule. Awali nilijua jokes but sekunde kadhaa baada ya kumpa namba yangu alituma! Namshukru sanaaa Mungu ambariki sanaaa. Natamn nami siku moja nije nifanye wema kama huu. Namshukru sanaaa 🙏🙏🙏🙏
 
Soni mbele kizaa kizito
Mkuu Mungu ni mwema, acha tukomae mkuu japo tunadharauliwa sana. Hii inaumiza but watu wajue tu kuwa siyo kama tupo nyumbani tunalalamika ugumu wa maisha, noo tunahangaika jamani sema ndio hivo tena maisha hayana formula. Mungu akufungulie milingo pia mkuu, naelewa feelings zako vzr mana hata mimi ndo nayoyapitia🙏🙏🙏
 
Mi naonaga kijana ambaye anafya njema hana ulemavu wowote kulalamika mitandaoni hana kazi huyo ni tatizo kubwa sana..tatizo vijana wanatafuta ajira hawatafuti hela..hela zinapatikana popote pale.

#MaendeleoHayanaChama
Asante mkuu
 
Mkuu pole sana na wengi tunapitia hali kama yako.
Ila kama we ni mwalimu anza kupiga hata tuition sijui eneo ulilopo ila kama uko sehemu nzuri ukianza naamini hutakosa wanafunzi hata wa 5.

Pia mkuu kama kuna shule za msingi hizi karibu yako nenda kaongee na ticha mkuu vizuri ujitolee mwisho wa mwezi hawezi kuacha kukupa hata laki pia hapo unajiongeza na mitihani ya jumamosi kwa jero hutakosa kitu naona kuna jamaa zangu wanajitolea maeneo ya huku nilipo.
 
Mkuu pole sana na wengi tunapitia hali kama yako.
Ila kama we ni mwalimu anza kupiga hata tuition sijui eneo ulilopo ila kama uko sehemu nzuri ukianza naamini hutakosa wanafunzi hata wa 5.

Pia mkuu kama kuna shule za msingi hizi karibu yako nenda kaongee na ticha mkuu vizuri ujitolee mwisho wa mwezi hawezi kuacha kukupa hata laki pia hapo unajiongeza na mitihani ya jumamosi kwa jero hutakosa kitu naona kuna jamaa zangu wanajitolea maeneo ya huku nilipo.
Haha mjomba umeandika theory pure
 
Namlaumu sana Yohana kwa upande ni kama anatufanyia kusudi tuwe masikini tusiwe na sauti.
 
Sawa kwako ni theory nawafahamu watu wanaopita njia nilizoeleza hapo ila kama vipi endelea kukaa ukilalamika ukitegemea kubadili chochote.
Haha mjomba umeandika theory pure
 
Kazi hiyo
Screenshot_20210219-204255_Telegram%20X.jpg
 
Back
Top Bottom