Je, kukosea jina la kampuni kwenye Plaint kunaweza kusababisha kesi kufutwa?

Je, kukosea jina la kampuni kwenye Plaint kunaweza kusababisha kesi kufutwa?

Duniahadaa

JF-Expert Member
Joined
Oct 16, 2017
Posts
336
Reaction score
677
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili wameweka pingamizi kesi itupwe kwa sababau wanasema Kampuni haijasajiliwa kwa hiyo sio legal person na hivyo haiwezi kushtaki.

Swali je kesi itatupwa au tutaaambiwa tukarekebishe?
 
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili wameweka pingamizi kesi itupwe kwa sababau wanasema Kampuni haijasajiliwa kwa hiyo sio legal person na hivyo haiwezi kushtaki.

Swali je kesi itatupwa au tutaaambiwa tukarekebishe?
Nafikiri mtapewa nafasi ya kwenda rekebisha.
Subiri wataalam waje.
 
Yah mtaruhusiwa kwenda kui-amend ikiwa Mahakama itaridhika kuwa it was a slip of pen baada ya kupitia plaint yote.

Vinginevyo mliemshtaki ni mtu tofauti kisheria.
 
Yani mnadhalilisha taaluma ya sheria...
Mnajua kua mliapa kuUPHOLD THE INTEGRITY OF LEGAL PROFESSION??

Unauliza nonsense like seriously?
Unaonekana hata mastery of CPC ni tatizo...vp mastery of evidence rules utaweza kweli?
Dah inasikitisha sana ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Nice comment ever. It's nonsensical question in toto. Mwanasheria/ wakili mzuri kabla ya kuuliza lazima ufanye utafiti binafsi kwanza siyo kuuliza vitu ambavyo ni very hata mwanafunzi wa sheria wa mwaka kwanza anavijua.
 
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili wameweka pingamizi kesi itupwe kwa sababau wanasema Kampuni haijasajiliwa kwa hiyo sio legal person na hivyo haiwezi kushtaki.

Swali je kesi itatupwa au tutaaambiwa tukarekebishe?
Strike out and an option to refile subject to time limitation
 
Yani mnadhalilisha taaluma ya sheria...
Mnajua kua mliapa kuUPHOLD THE INTEGRITY OF LEGAL PROFESSION??

Unauliza nonsense like seriously?
Unaonekana hata mastery of CPC ni tatizo...vp mastery of evidence rules utaweza kweli?
Dah inasikitisha sana ...

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwahiyo maelezo yako yanamaanisha kesi itasimama au itatupwa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
SIJAKUELEWA, NIELEWESHE.. WRITTEN STATEMENT OF DEFENSE? HII NAIJUA SIJUI ULIKUWA NA MAANA GANI!

Umesema ata file subject to time limitation. Hii company imeshtakiwa... wakati wamefile defense wamekosea jina.. wamepigwa po. Jibu lako umesema itaondolewa lakina watakua na uwezo wa kufile “subject to time limitation” ... unamaanisha nini!? Au sijakuelewa.
 
Tumia common-sense approach hapo kujua kua ni mwanasheria ama lah!
Infact, kama huyo sio mwanasheria basi ni bosi wa huyo mwanasheria aliyedraft!

All in all kuna vilaza wengi sana kwenye fani ya sheria....
Yanii

Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, advocates wanakosea sana wakiwa na muda mchache, haya mambo muda mwingine yanakuwa ya copy and paste from templates, anashindwa ku edit hiyo C&P! au anampa mwanafunzi/fresh from law school anashindwa ke edit kabla ya ku submit. Michael, kuna mwanasheria nguli sana alifanya makosa kama hayo hayo!
 
Hapana, advocates wanakosea sana wakiwa na muda mchache, haya mambo muda mwingine yanakuwa ya copy and paste from templates, anashindwa ku edit hiyo C&P! au anampa mwanafunzi/fresh from law school anashindwa ke edit kabla ya ku submit. Michael, kuna mwanasheria nguli sana alifanya makosa kama hayo hayo!
Hapana, advocates wanakosea sana wakiwa na muda mchache, haya mambo muda mwingine yanakuwa ya copy and paste from templates, anashindwa ku edit hiyo C&P! au anampa mwanafunzi/fresh from law school anashindwa ke edit kabla ya ku submit. Michael, kuna mwanasheria nguli sana alifanya makosa kama hayo hayo!
Ebu soma original post: penye red
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi (applicant) kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili wameweka pingamizi kesi itupwe kwa sababau wanasema Kampuni haijasajiliwa kwa hiyo sio legal person na hivyo haiwezi kushtaki.
waliokosea ni applicants... defendant akaweka PO, .... basi applicant ana nafasi ya kufanya kama nilivyoandika......
 
Hapana, advocates wanakosea sana wakiwa na muda mchache, haya mambo muda mwingine yanakuwa ya copy and paste from templates, anashindwa ku edit hiyo C&P! au anampa mwanafunzi/fresh from law school anashindwa ke edit kabla ya ku submit. Michael, kuna mwanasheria nguli sana alifanya makosa kama hayo hayo!
Kama una kazi za nyingi zinazoingilia competence yako then dont take no more?

Then mimi ishu hapa sio kusema kakosea ama lah! Mana typin error zipo kila mara ishu hapa ni kuuliza kua sijui kesi itafutwa ama blah blah etc

Clearly, inaonesha mastery ya civil procedure ya huyo jamaa ni tatizo...
Sasa kama wakili unashindwa kumaster civil procedure...
vp kuhusu procedures ambazo ni complex kama criminal or even technical ones kama evidence rules?

Atafanya vp litigation huyo??

Ataweza vp kufanya suppression motions na motions in limine?

Zaidi si atakua kila day analitigate frivolous, baseless, groundless cases wakati angeweza kuzimaliza mapema kwa suppression hearings??

Supportin the development of the Law ni moja kati ya wajibu mkubwa sana kwa wakili...

INCOMPETINCIES, legal malpractice undermine the development of the law.





Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kama una kazi za nyingi zinazoingilia competence yako then dont take no more?

Then mimi ishu hapa sio kusema kakosea ama lah! Mana typin error zipo kila mara ishu hapa ni kuuliza kua sijui kesi itafutwa ama blah blah etc

Clearly, inaonesha mastery ya civil procedure ya huyo jamaa ni tatizo...
Sasa kama wakili unashindwa kumaster civil procedure...
vp kuhusu procedures ambazo ni complex kama criminal or even technical ones kama evidence rules?

Atafanya vp litigation huyo??

Ataweza vp kufanya suppression motions na motions in limine?

Zaidi si atakua kila day analitigate frivolous, baseless, groundless cases wakati angeweza kuzimaliza mapema kwa suppression hearings??

Supportin the development of the Law ni moja kati ya wajibu mkubwa sana kwa wakili...

INCOMPETINCIES, legal malpractice undermine the development of the law.





Sent using Jamii Forums mobile app
Take no more? atakula kwako? unakuwa kama hujui kutafuta hela? Advocate hakatai kesi labda kama ya "wizi wa kuku", lkn kesi kutoka kampuni ambayo itamlipa vizuri ataichukua na kuvurunda za hela ndogo.. I am talking from experience!
 
Take no more? atakula kwako? unakuwa kama hujui kutafuta hela? Advocate hakatai kesi labda kama ya "wizi wa kuku", lkn kesi kutoka kampuni ambayo itamlipa vizuri ataichukua na kuvurunda za hela ndogo.. I am talking from experience!
Then ndo mana tuna mabush lawyers wengi mana njaa tupu...

Janja janja nyingi sana eti "...ataichukua na kuvurunda"

Bado sijaona aina ya advocates ambao wanaweza kuset everlasting obtier dictum. I still insist sijaona bado.

Kama unataka kupata hela uishi vizuri ktk profession... BE GOOD..BE COMPETENT ...BE KNOWLEDGEABLE...mengine ni matokeo tu

Sasa unakua bush lawyer unategemea umake fortunes from this profession??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ebu soma original post: penye red
Kuna mtu kampuni yetu imemshtaki. Sasa badala ya sisi (applicant) kuandika NAMANGA INSURANCE AGENCY CO. LTD, ilikosewa, aliye draft akaacha AGENCY, ikawa NAMANGA INSURANCE CO. LTD. Sasa upande wa pili wameweka pingamizi kesi itupwe kwa sababau wanasema Kampuni haijasajiliwa kwa hiyo sio legal person na hivyo haiwezi kushtaki.
waliokosea ni applicants... defendant akaweka PO, .... basi applicant ana nafasi ya kufanya kama nilivyoandika......
Sasa anakuja kumuuliza nani huki wakati aliweka advocate wa kudraft?
Ina mana anaeeka advocate alafu hamuamini??

Yani bush lawyers bana unaingia service agreement na mtu bila kuestablish Trust katk Attroney-Client relationship???..?.???????????

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom