tycoonff
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 925
- 1,306
ExactlyNenda kaombe kufanya amendment tu, it is a minor clerical error
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ExactlyNenda kaombe kufanya amendment tu, it is a minor clerical error
Theories ni ni kichwa chako mwenyewe tu....Kijana utanisamehe, mimi siyo mwanasheria ila kwa namna unavyoongea unadhihirisha umetoka chuo juzi juzi bado una theories nyingi kichwani, hujaingia kwenye real world ukajionea.
Kwanza hajui hata jobu la swali lililoletwa na mdau hapo.m
Michael una theory nyingi kwenye kichwa chako! Nadhani we ni mgeni kwenye uwaja. Ukija kwenye real world situation mambo ni tofauti. Mteja analetwa kwako na mtu anayekufahamu! Si rahisi mteja kwenda kwa wakili bila ya mtu wa kuku introduce. trust ndiyo hiyo based on somebody!.Baada ya hapo...... unachokifanya unakijua wewe! Naona bado una good memory mambo ya darasani suppression.. limine! kutoka chuoni!
Siwezi kujibu maswali ya kijinga....nitakua naendelea ku acknowledge ujinga!Kwanza hajui hata jobu la swali lililoletwa na mdau hapo.
Badala ya kutoa mwelekeo mzuri kwa mtoa mada anakimbilia kuattack personalities tu.
Hovyo kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe unatakiwa uvishwe Pete...haiwezekani uwe na maneno kuliko Dada zako unaoshinda nao.Siwezi kujibu maswali ya kijinga....nitakua naendelea ku acknowledge ujinga!
Sent using Jamii Forums mobile app
KWewe unatakiwa uvishwe Pete...haiwezekani uwe na maneno kuliko Dada zako unaoshinda nao.
Na sketi piaWewe unatakiwa uvishwe Pete...haiwezekani uwe na maneno kuliko Dada zako unaoshinda nao.