Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Hajaelewa mada ila aliamua kuchangia anywayUmesema ata file subject to time limitation. Hii company imeshtakiwa... wakati wamefile defense wamekosea jina.. wamepigwa po. Jibu lako umesema itaondolewa lakina watakua na uwezo wa kufile “subject to time limitation” ... unamaanisha nini!? Au sijakuelewa.
Sent using Jamii Forums mobile app