Idugunde JF-Expert Member Joined May 21, 2020 Posts 6,404 Reaction score 6,969 Sep 21, 2024 #1 Haya maandamano ya tar 23 yatayofanywa na Chadema yatakuwa na impact kubwa kiasi cha kuogofya serikali?.
Haya maandamano ya tar 23 yatayofanywa na Chadema yatakuwa na impact kubwa kiasi cha kuogofya serikali?.
K kina kirefu JF-Expert Member Joined Dec 14, 2018 Posts 15,188 Reaction score 18,583 Sep 21, 2024 #2 Sawa
J johnthebaptist JF-Expert Member Joined May 27, 2014 Posts 97,869 Reaction score 171,716 Sep 21, 2024 #3 Vita ya Ndani inapiganwa nyumbani kwa Jirani 😄
CHIEF PRIEST JF-Expert Member Joined Dec 13, 2021 Posts 11,635 Reaction score 21,347 Sep 21, 2024 #4 Huu ni mtego wa wahafidhina kwa Rais naye kaingia mzima mzima. Wenyewe wanachekea tumboni jinsi anavyojikaanga. Damu zitakazomwagwa na polisi Jumatatu ndiyo kaburi la CCM.
Huu ni mtego wa wahafidhina kwa Rais naye kaingia mzima mzima. Wenyewe wanachekea tumboni jinsi anavyojikaanga. Damu zitakazomwagwa na polisi Jumatatu ndiyo kaburi la CCM.
S Sappire JF-Expert Member Joined Mar 19, 2024 Posts 3,447 Reaction score 8,896 Sep 21, 2024 #5 Hakuna haja ya kutumia nguvu maana ni maandamano ya amani lakini Kwa kuwa nchi inaongozwa na majinga wameona suluhisho ni kutumia majeshi
Hakuna haja ya kutumia nguvu maana ni maandamano ya amani lakini Kwa kuwa nchi inaongozwa na majinga wameona suluhisho ni kutumia majeshi
BoyOfGod JF-Expert Member Joined Jan 3, 2019 Posts 1,055 Reaction score 1,572 Sep 21, 2024 #6 Misuli ya imani