Je, kulingana Sheria zetu za Ardhi watanzania tuna OWN au tuna POSSESS Ardhi kama DP WORLD?

Je, kulingana Sheria zetu za Ardhi watanzania tuna OWN au tuna POSSESS Ardhi kama DP WORLD?

RNA

JF-Expert Member
Joined
Mar 27, 2013
Posts
1,647
Reaction score
2,803
Kulingana na mkataba -IGA ni kwamba DP WORLD watapossess Ardhi sio ku own nikaangalia maana ya haya maneno mawili

1 Own land - indicate that land belongs to a particular person or group .

2.Posses land -control or occupancy of land without regard to ownership .

Kwa katiba yetu Kama nimeielewa vizuri Ardhi ni mali ya Serikali/Umma na imekabidhiwa kwa Rais kwa niaba ya watanzania wote na serikali inaweza ihitaji muda wowote kwa Manufaa ya Umma .
Screenshot_20230714-171228.png

Screenshot_20230714-172126.png



Kwa Maelezo hayo ya maana na Sheria ya Ardhi je sisi wazawa tuna possess au ni owner ?

Na tuna tofauti gani na huo uhakika wa umiliki tunaowapa DPW katika umiliki wa Ardhi ya Umma ?​
 
Back
Top Bottom