whitehorse
JF-Expert Member
- Aug 29, 2009
- 2,565
- 4,432
Wana JF Doctors nimeikuta hii pic mahali imenikera sio tu kimaadili ila pia nikafikiria kiafya pia kwa mimi ambae sina utaalamu mkubwa wa masuala ya afya nimeona hatari nyingi sana kwa mtoto huyu kwa faida ya wengi naomba msaada wa kujua je hili halina tatizo ?