Prof Janabi wa JF
Senior Member
- Jul 7, 2023
- 165
- 450
Hivi Karibuni mtu mmoja anayejihusisha na mapenzi ya jinsia moja Philemon Aggrey ameokoka na kuonesha kuwa ana nia ya kuacha na ushoga. Jamaa ameshare upekee wa maisha yake na kuonesha yako mengi kwenye maisha yanayopelekea watu kuwa hivyo, japo yeye amezungumzia zaidi masuala ya starehe na kusema kuwa starehe sio lazima iwe ni kula mitungi au kunaniliwa.
Kuonesha umwamba jamaa amepost video akiwa anafanya mazoezi na kuweka maneno kuwa "Mdogo mdogo nitakaza mpaka kikao kijacho na mimi niwepo" Nadhani anamaanisha "Kikao cha wanaume" neno ambalo linatumika kuwaamsha wanaume wenzetu ambao kidogo tunaona kama wanapotea.
Honestly nimejisikia kumpongeza kwa hatua hii ya kuacha kuliwa na kutaka kuwa mwanaume. Na nikawaza, hivi nikitokeza hadharani na kumsifu kwa hatua hii, nitakuwa nimeonesha kuwa mimi ni homophobic?
Hata hivyo kwa suala hili nampongeza na nakuta kuna umuhimu wa watu kutobadili jinsia kwa kuwa mara nyingine mtu anaweza kutamani kurudi alivyokuwa. NBa akiwa amebadili jinsia inakuwa ngumu kubadili ili arudi kama alivyokuwa awali.
Hivyo niweke wazi kuwa mimi sio homophobic, kama ambavyo nitamsifia yeyote anayeamua kutoa kijambio, ndivyo ambavyo namsifia Aggrey kwa kuacha kutoa kijambio.
Salaam kutoka kwa Trump.
Mshamba anayewakilisha taifa
Kuonesha umwamba jamaa amepost video akiwa anafanya mazoezi na kuweka maneno kuwa "Mdogo mdogo nitakaza mpaka kikao kijacho na mimi niwepo" Nadhani anamaanisha "Kikao cha wanaume" neno ambalo linatumika kuwaamsha wanaume wenzetu ambao kidogo tunaona kama wanapotea.
Honestly nimejisikia kumpongeza kwa hatua hii ya kuacha kuliwa na kutaka kuwa mwanaume. Na nikawaza, hivi nikitokeza hadharani na kumsifu kwa hatua hii, nitakuwa nimeonesha kuwa mimi ni homophobic?
Hata hivyo kwa suala hili nampongeza na nakuta kuna umuhimu wa watu kutobadili jinsia kwa kuwa mara nyingine mtu anaweza kutamani kurudi alivyokuwa. NBa akiwa amebadili jinsia inakuwa ngumu kubadili ili arudi kama alivyokuwa awali.
Hivyo niweke wazi kuwa mimi sio homophobic, kama ambavyo nitamsifia yeyote anayeamua kutoa kijambio, ndivyo ambavyo namsifia Aggrey kwa kuacha kutoa kijambio.
Salaam kutoka kwa Trump.
Mshamba anayewakilisha taifa