Kumuacha mtu unayempenda maumivu yake hayaelezeki,hata kama una mademu miamoja.
Ukiona mpenzi wako mnaachana na haufeel chochote unaona ni kawaida ,hujapenda bado.
Niliwahi kupenda kiasi cha kuhurumiwa na majirani,huku wakiniambia mbona sina kasoro yeyote naliaje kisa mwanamke?
Kutokana na kaushawishi nilikonako pale mtaani wakina mama wakaingia chaka na kuibuka na pisi kali,
Elewa neno pisikali,
Wanaume wenzangu mwanamke anajua kuchagua mwanamke mwenzie ni shida.
Mtoto huyu walitaka aje kureplace nafasi ya mke wangu kipenzi na demu alikuwa tayari,binti msomi mwenye umbo zuri na sura ya kikaskazini lakini wapiiiiiiii.aliniongezea machungu tu licha ya kukutana naye kimwili lakini akili iko kwa......
Wapo majirani walikuwa tayari kunipa hata bure lakini wapiiiiii
Mapenzi yanauma wakuu