Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hiko kichwa sasa!!!
Kama kambale[emoji4]Hiko kichwa sasa!!!
Hahaha iko chaivo itakua Kinachomachoma hatari!Kama kambale[emoji4]
Naona swali hili inabidi aulizwe Diamond anayefanya hivi kwa karibia ya kila demu anayemfukuzia na kisha kuwapata.Nimeskia na kusoma visa vingi vya wanaume kutanguliza picha au kuonesha uume kama kianzio cha kumvutia mwanamke.
Je, ni kweli kuwa hii ni njia sahihii ambayo inamfanya mwanamke kupata ushawishi?
Majibu tafadhali
Sawa, sasa kwanini wametuacha mbali economically na technologically?Kwamba hao unaowaita wenzetu hawana muda na Mapenzi??.Aisee Kumbe wewe upo gizani bado kuamini kuwa Waafrika tu ndio watu wa ngono,kwa taarifa yako hao unaowaita wenzetu ndio ma Master wa ishu hizo,na ni washenzi kupita maelezo.
Uko sahihi hata Tesla alikuwa anatengeneza memes na ndio sababu tuna umeme duniani.Wenzetu wapi zaidi ya hawa wanaotengeneza memes hiziView attachment 2201505View attachment 2201506View attachment 2201507
Mmmmm!! Kumbe na wew umo !!Ilitakiwa ushawishi uanzie hapa kwenye thread, wapi picha?!
Hiii kuwa jamii nzima ya kipindi cha Carl benz walikuwa wanawaza kutengeneza engine? Au unamaanisha nn,, acha kujikuta uko serious kama drill sergeantUko sahihi hata Tesla alikuwa anatengeneza memes na ndio sababu tuna umeme duniani.
Kwa hiyo na wewe unaamisha kipindi cha Carl Benz watu wote walikuwa wanajadili ngono kama hapa?Hiii kuwa jamii nzima ya kipindi cha Carl benz walikuwa wanawaza kutengeneza engine? Au unamaanisha nn,, acha kujikuta uko serious kama drill sergeant
Huenda ume imagine upo umeshika maiki una rapSiijui kwanini huu uzi umenifanya nimeze fundo la mate..[emoji848]
Na bado nimemeza Tena fundo lingine .. mweehHuenda ume imagine upo umeshika maiki una rap
Sio kujadili tu,, na kufanya juu huku Carl benz akitengeneza kwahyo kwann na ww usiwe Carl benz wa kipindi hiki kajifungie uvumbue unayolazimisha wengine tuyavumbueKwa hiyo na wewe unaamisha kipindi cha Carl Benz watu wote walikuwa wanajadili ngono kama hapa?
Wabinafsi sana hawa imagine nyuzi za kuhusu mizigo zilivojaa Picha huku sasa!!Siijui kwanini huu uzi umenifanya nimeze fundo la mate..[emoji848]
Hapo Sasa..huu Uzi ni batili 100%Wabinafsi sana hawa imagine nyuzi za kuhusu mizigo zilivojaa Picha huku sasa!!
Mimi sina muda wa kulazimisha mtu yoyote bali natoa facts.Sio kujadili tu,, na kufanya juu huku Carl benz akitengeneza kwahyo kwann na ww usiwe Carl benz wa kipindi hiki kajifungie uvumbue unayolazimisha wengine tuyavumbue
Wagiriki walipenda ngono same kwa Romans same kwa Persians, civilization zote kubwa watu walipenda ngono,, eti kisa sisi kuliongelea unasema ni wavivu na hatuna akiliMimi sina muda wa kulazimisha mtu yoyote bali natoa facts.
Na unajuaje mimi sijajifungia sasa hivi na navumbua ambayo sijakulazimisha uvumbue?
Kwa mantiki na reasoning yako hiyo, kama kina Carl Benz muda wote walikuwa wanafanya na kujadili ngono kama waTanzania na simultaneously kuja na vumbuzi kubwa.
Je na nyinyi waTanzania mnaojadili na kufanya ngono muda wote ziko wapi vumbuzi zenu?
Je hapo utakataa na kubisha nikikwambia wewe na watanzania karibu wote ni wavivu na hawana akili?