Je kumwagia nje ni njia sahihi ya kuzuia ujauzito ?

Je kumwagia nje ni njia sahihi ya kuzuia ujauzito ?

Lukub

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2012
Posts
3,622
Reaction score
4,100
Hii njia inapigiwa chapuo sana haswa na wanawake ambao hawapendi kutumia njia za uzazi wa mpango ,sasa tatizo langu ni kwamba baada ya kumwaga nje kuna mizigo mingine inakuja kwa mwendo wa taratibu kama kinyonga na unapoendelea na shughuli nahisi kabisa inaweza kusababisha ujauzito ,wataalamu wa mambo ya afya ya uzazi mnisaidie kwa hili.
 
Hii njia inapigiwa chapuo sana haswa na wanawake ambao hawapendi kutumia njia za uzazi wa mpango ,sasa tatizo langu ni kwamba baada ya kumwaga nje kuna mizigo mingine inakuja kwa mwendo wa taratibu kama kinyonga na unapoendelea na shughuli nahisi kabisa inaweza kusababisha ujauzito ,wataalamu wa mambo ya afya ya uzazi mnisaidie kwa hili.
Sasa mkuu ukiwaga nje unategemea Ujauzito atapataje?
 
dume la mbeguu unamwagajee njee...salamu za krismasi hadi tone la mwishooo ndaniii
FB_IMG_1703453969716.jpg
 
Sasa mkuu ukiwaga nje unategemea Ujauzito atapataje?
Tatizo langu sio kumwaga nje ,umemwaga nje na ukaendelea na kazi bila kusubiri hata dakika tatu ,kuna wazungu ni wavivu wanakuja mwishoni polepole😂😂😂😂
 
Inashauriwa baada ya kumwagia nje nenda kakojoe ndio uendelee na mchakato
 
Back
Top Bottom