The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Natambua kuwa TAWA ama Wizara ya Utalii ilizindua utaratibu wa uwindaji na uuzaji wa nyamapori kwenye baadhi ya mikoa kama Katavi, Dodoma na kwingineko.
Naomba kufahamu kama huduma kama hiyo imeanzishwa mkoa wa Dar es Salaam.
Nimechoka nyama za mbuzi, kuku, ng'ombe na kitimoto. Natamani kula nyama ya porini.
Natanguliza shukrani wakuu.
Naomba kufahamu kama huduma kama hiyo imeanzishwa mkoa wa Dar es Salaam.
Nimechoka nyama za mbuzi, kuku, ng'ombe na kitimoto. Natamani kula nyama ya porini.
Natanguliza shukrani wakuu.