Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Njia ya kwa mpalangeYombo relini pale mbele ya Devis Corner ama?
Anauza kihalali? Nikiwa na maana kwamba ana leseni ya kuuza nyama za porini?
sijui ekzatli jina lake lakini ukifika kinyerezi mwisho ulizia bucha la nyama pori, utaonyeshwaInaitwaje mkuu.
Kesho nina mpango wa kumtembelea jamaa yangu huko Tabata.
Nitashukuru nikijua jina lake.
Kheee...mzee shidah ni leseni au nyama
Mpaka hapa, akili yako ishajulikana ni ya kiwango ganiNjia ya kwa mpalange
nipo kilakala mbona simjui hyo mtu nidireck kama seriousYombo relini ulizia kwa Macha.
Napenda nyama pori ya kuchoma, halafu kuwe na kachumbali ya kutosha...Natambua kuwa TAWA ama Wizara ya Utalii ilizindua utaratibu wa uwindaji na uuzaji wa nyamapori kwenye baadhi ya mikoa kama Katavi, Dodoma na kwingineko...
We ni mgeni mitaa hiyo,au unadhani kwa mpalange ni sehemu ya kufikirika,ipo huko huko yomboMpaka hapa, akili yako ishajulikana ni ya kiwango gani
Napafahamu sana... Daraja linajengwa pale kuunganisha Kilungule na kwa mama Kibonge... Hakuna hiyo bucha hapo kwa Mpalange... AKILI YAKO IMEKUWAZISHA KWA MPALANGE WAKATI HAKUNA HATA BUCHA HIYOWe ni mgeni mitaa hiyo,au unadhani kwa mpalange ni sehemu ya kufikirika,ipo huko huko yombo
chagua moja nyama au leseniKheee...
Kamchagulishe aliyeulizachagua moja nyama au leseni
Hv simba analiwa?nyama ya simba naitafuta Sana,mnijuze inapatikana hapo kwa macha,au mpaka nikaweke order.
mkuu funguka yombo relini ni kubwa!
nataka kilo mbili za nyama ya simba.
Kauliwa juzi tu apo taifa na mwindaji zawadi mauya mngewah mapema mngepata ila msikonde siku zijazo atauliwa tena mwingine kigoma uko ooooh shit nmesahau nyie mpo dar kumbe fanyen kumpanga mwanariadha wao akija miez ijayo aje nayo.nyama ya simba naitafuta Sana,mnijuze inapatikana hapo kwa macha,au mpaka nikaweke order.
Wengi wanaamini haliwi! lakini mm naitafuta Sana ,Ila sijawahi bahatika kuipata mkuu.hata nikipata kilo moja Safi Sana.Hv simba analiwa?
Wanauza nyama za wanyama gani?Kinyerezi mwisho ipo bucha.
Hakuna mnyama asiyeliwa, analiwa Jongoo na miguu yake we washangaa Simba!?Hv simba analiwa?
kinyerezi mwisho nikubwa sana toa location bsKinyerezi mwisho ipo bucha.