Je, kuna Bucha za nyamapori hapa Dar es Salaam?

Je, kuna Bucha za nyamapori hapa Dar es Salaam?

Natambua kuwa TAWA ama Wizara ya Utalii ilizindua utaratibu wa uwindaji na uuzaji wa nyamapori kwenye baadhi ya mikoa kama Katavi, Dodoma na kwingineko...
Napenda nyama pori ya kuchoma, halafu kuwe na kachumbali ya kutosha...
 
We ni mgeni mitaa hiyo,au unadhani kwa mpalange ni sehemu ya kufikirika,ipo huko huko yombo
Napafahamu sana... Daraja linajengwa pale kuunganisha Kilungule na kwa mama Kibonge... Hakuna hiyo bucha hapo kwa Mpalange... AKILI YAKO IMEKUWAZISHA KWA MPALANGE WAKATI HAKUNA HATA BUCHA HIYO
 
nyama ya simba naitafuta Sana,mnijuze inapatikana hapo kwa macha,au mpaka nikaweke order.
 
mkuu funguka yombo relini ni kubwa!

nataka kilo mbili za nyama ya simba.

nyama ya simba naitafuta Sana,mnijuze inapatikana hapo kwa macha,au mpaka nikaweke order.
Kauliwa juzi tu apo taifa na mwindaji zawadi mauya mngewah mapema mngepata ila msikonde siku zijazo atauliwa tena mwingine kigoma uko ooooh shit nmesahau nyie mpo dar kumbe fanyen kumpanga mwanariadha wao akija miez ijayo aje nayo.

Ni Ayo tu wakuu
 
Back
Top Bottom