The Assassin
JF-Expert Member
- Oct 30, 2018
- 4,942
- 20,077
Yombo relini pale mbele ya Devis Corner ama?Yombo relini ulizia kwa Macha.
Sehemu gani mkuuIpo siku nyingi...
mkuu funguka yombo relini ni kubwa!Yombo relini ulizia kwa Macha.
wachagga kila kona, kila biashara wao.Yombo relini ulizia kwa Macha.
sehemu gani?Ipo siku nyingi...
mwaka 2012 monduli kule chuo cha jeshi kuna jamaa alinipa nyama ya pundamilia aisee inawese balaa ukishusha tu sufuria la supu kwenye moto tayari supu imepoa.wachagga kila kona, kila biashara wao.
Inaitwaje mkuu.Kinyerezi mwisho ipo bucha pale
mzee shidah ni leseni au nyamaYombo relini pale mbele ya Devis Corner ama?
Anauza kihalali? Nikiwa na maana kwamba ana leseni ya kuuza nyama za porini?
mzee shidah ni leseni au nyama
Akiwa na leseni halali unakua na uhakika kwenye huyu ni swala ama digidigi.mzee shidah ni leseni au nyama
Upo sahihi..Akiwa na leseni halali unakua na uhakika kwenye huyu ni swala ama digidigi.
Hizo za ujanja ujanja unaweza kulishwa nyama ya fisi.
Watu wa kidimbwini mna shida balaa😀mkuu funguka yombo relini ni kubwa!
nataka kilo mbili za nyama ya simba.
Kg hela ngapi mkuu?Yombo relini ulizia kwa Macha.