Je, kuna Bucha za nyamapori hapa Dar es Salaam?

Kauliwa juzi tu apo taifa na mwindaji zawadi mauya mngewah mapema mngepata ila msikonde siku zijazo atauliwa tena mwingine kigoma uko ooooh shit nmesahau nyie mpo dar kumbe fanyen kumpanga mwanariadha wao akija miez ijayo aje nayo.

Ni Ayo tu wakuu
mkuu acha asikhara kwenye jambo la msingi
 
piga/kula punda na castle light yako ubadili ladhwa mzee.
 
Njoo ujionee mwenyewe!! yaani huku kuna Maziwa ya ngamia, mpaka nyama za ngamia!!....AL HULBA Hotel palee utapata kila chakula cha uarabuni!..kichina, ki-aboriginal, Njala-ya Ethiopiana food! India ndi usiseme wewe tu!

sembuse hayo ya wanyama pori waTanzania?? tena utapata zilizookwa swafiii!! za leo leo!! ukitaka unachagua mapande kabisa palee kapiri point!!...ugali za muhogo safi pale ndo penyewe! chezea Dar weye!!..ndo maana Dodoma wanaenda na kurudi!

Ukitaka Mbwa, kobe au paka wa china ni hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…