Je, kuna dawa ya makovu?

Je, kuna dawa ya makovu?

Binti Sayuni03

JF-Expert Member
Joined
Jan 21, 2025
Posts
1,075
Reaction score
1,913
Nilipokuwa mdogo nilikuwa mtundu, hivyo ikasababisha vidonda haswa miguuni vilivyopona vikaacha alama za makovu.

Lakini, pia niliwahi kuumwa tetekuwanga nilivyopona zikaacha alama mwili mzima, japo huwa zinaisha kidogo kidogo lakini haya makovu ya zamani ya vidonda ya miguu pamoja na haya ya tetekuwanga hayanipi muonekano mzuri wa miguu yangu.

Hivyo, nilikuwa nauliza wakuu kuna dawa yoyote nayoweza kutumia ikaniponyesha haya makovu??
 
Nilipokuwa mdogo nilikuwa mtundu, hivyo ikasababisha vidonda haswa miguuni vilivyopona vikaacha alama za makovu.

Lakini, pia niliwahi kuumwa tetekuwanga nilivyopona zikaacha alama mwili mzima, japo huwa zinaisha kidogo kidogo lakini haya makovu ya zamani ya vidonda ya miguu pamoja na haya ya tetekuwanga hayanipi muonekano mzuri wa miguu yangu.

Hivyo, nilikuwa nauliza wakuu kuna dawa yoyote nayoweza kutumia ikaniponyesha haya makovu??
tafuta maduka ya dawa makubwa na ya urembo, huwezi kukosa
 
Back
Top Bottom