Je, kuna haja kwa familia ya Mzee Lowassa kuwashitaki wanasiasa hawa wa CHADEMA?

Je, kuna haja kwa familia ya Mzee Lowassa kuwashitaki wanasiasa hawa wa CHADEMA?

Nehemia Kilave

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2022
Posts
1,414
Reaction score
3,118
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

JamiiForums-72271314.jpg~2.jpg
JamiiForums-2089014366.jpg

Soma Pia:
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana .

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA .

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa mzee lowassa?View attachment 3088781View attachment 3088782

Soma pia, Kuelekea 2025 - Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza

Na
Hatumuoni DAB ?
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
View attachment 3088781View attachment 3088782

Soma pia, Kuelekea 2025 - Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza

Na
Waambie washtaki tu. Ni haki yao.

Mbona Membe alimshitaki Musiba na akashinda. Mtu akija personal then you have the tight to fire it back personal.
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

Soma Pia:
20240906_190042.jpg
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

Soma Pia:
Familia ya Lowassa ni watu wa ku move on wamesamehe kupokonywa urais watashitaki haya mavi ya kale yasiyonuka?

Mtu wa kushitaki nani sasa? Mama Regina? Freddy?
 
Back
Top Bottom