Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia: