Je, kuna haja kwa familia ya Mzee Lowassa kuwashitaki wanasiasa hawa wa CHADEMA?

Je, kuna haja kwa familia ya Mzee Lowassa kuwashitaki wanasiasa hawa wa CHADEMA?

Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

Soma Pia:
Peleka ujinga wako huko. Unamuuliza nani hapa badala ya kwenda kuwashauri waende? Idiot!
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

Soma Pia:
Kaliba ya lowasa na Mbowe ni tofauti.
Pia uamuzi ni mtu binafsi
 
SIASA HAINA ADUI WA KUDUMU AU URAFIKI WA KUDUMU, MUHIMU NI MASILAHI YA KUDUMU.

Ukielewa hilo inatosha.
 
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.

Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.

nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa

Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?

Soma Pia:
Ujinga tu mnawaga maccm

Hivi ni lini lowasa aliwahi jitetea akaeleweka kutohusika na kuwamo kwenye list of shame pale mwembe yanga
 
Ujinga tu mnawaga maccm

Hivi ni lini lowasa aliwahi jitetea akaeleweka kutohusika na kuwamo kwenye list of shame pale mwembe yanga
Ni nini kilifanya tukamsimamisha kuwa mgombea wetu CDM ?
 
Back
Top Bottom