Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
- Thread starter
- #21
Daaa nlimsahauHatumuoni DAB ?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daaa nlimsahauHatumuoni DAB ?
Wewe hapo unajifanya umewaaza...😛😀😛Iko wazi baba akipigwa watoto wenzako lazima wakucheke
Peleka ujinga wako huko. Unamuuliza nani hapa badala ya kwenda kuwashauri waende? Idiot!Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Inaandikwa ''anadhalilika''Kuona Mwenyekiti anadharilika kwa kauli yake na leo anamshitaki msigwa
Kaliba ya lowasa na Mbowe ni tofauti.Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Hatuchangii nyuzi za kijinga
..Yap!
..Ccm walimdhalilisha Lowassa kuliko hata Chadema.
..ila sina uhakika kama familia inaweza kushtaki kwa niaba ya marehemu.
Ujinga tu mnawaga maccmHabari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Kamueleweshe MboweSIASA HAINA ADUI WA KUDUMU AU URAFIKI WA KUDUMU, MUHIMU NI MASILAHI YA KUDUMU.
Ukielewa hilo inatosha.
Zinawavua nguo viongozi wetu🤣🤣Hatuchangii nyuzi za kijinga
Inaonyesha, umekasirika sana kushtakiwa kwa Msigwa!ccm tena ?
Ni nini kilifanya tukamsimamisha kuwa mgombea wetu CDM ?Ujinga tu mnawaga maccm
Hivi ni lini lowasa aliwahi jitetea akaeleweka kutohusika na kuwamo kwenye list of shame pale mwembe yanga
Hapana naona Demokrasia inadidimizwaInaonyesha, umekasirika sana kushtakiwa kwa Msigwa!
HakikaHapana naona Demokrasia inadidimizwa