Nehemia Kilave
JF-Expert Member
- Jan 9, 2022
- 1,414
- 3,118
ccm tena ?Nafikiri familia ya lowasa wangeshtati basi nape msukuma na wengineo ikiwemo ccm wangeilipa mabilioni
Hasa yule Kibabu Sadifa 🐼Nafikiri familia ya lowasa wangeshtati basi nape msukuma na wengineo ikiwemo ccm wangeilipa mabilioni
ELIMU ELIMU ELIMU
Hiyo orodha bila huyu mwamba ni batiliBashite yupo wapi hapo?
Hatumuoni DAB ?Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana .
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA .
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa mzee lowassa?View attachment 3088781View attachment 3088782
Soma pia, Kuelekea 2025 - Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza
Na
Pre GE2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Hivi kwa mfano ikatokea kesi na msigwa akafanikiwa kuja na ushahidi uliojitosheleza??www.jamiiforums.com
ccm tena ?
Familia si na yenyewe ilidharilika ?..Yap!
..Ccm walimdhalilisha Lowassa kuliko hata Chadema.
..ila sina uhakika kama familia inaweza kushtaki kwa niaba ya marehemu.
Iko wazi baba akipigwa watoto wenzako lazima wakuchekeFamilia si na yenyewe ilidharilika ?
Waambie washtaki tu. Ni haki yao.Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
View attachment 3088781View attachment 3088782
Soma pia, Kuelekea 2025 - Peter Msigwa: Mbowe kunitaka nilipe Tsh bilioni 5 ni kuiua siasa na kushuka kisiasa kulikopitiliza
Na
Pre GE2025 - Freeman Mbowe amtaka Mchungaji Peter Msigwa kumuomba radhi kwenye Magazeti na kulipa fidia ya Tsh. Bilioni 5 kwa kumkashifu na kumchafua jina
Hivi kwa mfano ikatokea kesi na msigwa akafanikiwa kuja na ushahidi uliojitosheleza??www.jamiiforums.com
Kwa hofu gani labda?
Kuona Mwenyekiti anadharilika kwa kauli yake na leo anamshitaki msigwaKwa hofu gani labda?
Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Familia ya Lowassa ni watu wa ku move on wamesamehe kupokonywa urais watashitaki haya mavi ya kale yasiyonuka?Habari JF , sakata la Mwenyekiti Mbowe vs Mchungaji msigwa linaturudisha Nyuma sana.
Kipindi Mzee lowassa-RIP anasemwa vibaya kila kona na kuchafuliwa lakini mwisho wa Siku alikuja kuwa mgombea wa chama cha CHADEMA.
nadhani kinachofanywa na Mwenyekiti ni kutokomaa kisiasa
Je na familia ya mzee lowassa ishitaki kwa kuchafuliwa jina kwa Mzee Lowassa?
Soma Pia:
Hayo mimi sijui.Kuona Mwenyekiti anadharilika kwa kauli yake na leo anamshitaki msigwa