Je kuna haja ya kuamini ukristo na uislam wakati vimejengwa kwenye uongo?

Je kuna haja ya kuamini ukristo na uislam wakati vimejengwa kwenye uongo?

Father of All

JF-Expert Member
Joined
Feb 26, 2012
Posts
7,672
Reaction score
9,039
1737332243436.png


Wanabodi, hakuna haja ya kuzungusha.

Hakuna ubishi.

Waanzilishi wa Ukristo na Uislam ni Yesu na Muhammad.

Hakuna ubishi kuwa hakuna anayejua namna hawa waanzilishi walivyofanana wala kuwa.
Hakuna ubishi, wakristo wana picha feki za wazungu waliomuigiza Yesu.

Hakuna ubishi, waislam hata walificha picha zote za Muhammad kwa vile anajulikana alizaiwa lini na wapi.
Hakuna ubishi kuwa dini mbili, licha ya kutoka sehemu moja na kuhubiri jambo moja, zote zina kila dalili za uongo kuhusiana na uwepo na malengo yake.

Je kuna haja ya mabilioni ya watu kuendelea kuamini dini hizi wakati ni ongo na zimejengwa kwenye uongo mtupu?
 
Imani yako iwe kwa Mwenyezi Mungu, muumba wa Dunia na vyote vilivyomo. Mungu ni mmoja tu daima na milele yote.

Ila Dini hata we ukiamua unaanzisha yako.
 
View attachment 3206930

Wanabodi, hakuna haja ya kuzungusha.

Hakuna ubishi.

Waanzilishi wa Ukristo na Uislam ni Yesu na Muhammad.

Hakuna ubishi kuwa hakuna anayejua namna hawa waanzilishi walivyofanana wala kuwa.
Hakuna ubishi, wakristo wana picha feki za wazungu waliomuigiza Yesu.

Hakuna ubishi, waislam hata walificha picha zote za Muhammad kwa vile anajulikana alizaiwa lini na wapi.
Hakuna ubishi kuwa dini mbili, licha ya kutoka sehemu moja na kuhubiri jambo moja, zote zina kila dalili za uongo kuhusiana na uwepo na malengo yake.

Je kuna haja ya mabilioni ya watu kuendelea kuamini dini hizi wakati ni ongo na zimejengwa kwenye uongo mtupu?
Anayehubiri Upendo kwa Mungu na kwa jirani hawezi kuwa mwongo katika hilo.
 
Anayehubiri Upendo kwa Mungu na kwa jirani hawezi kuwa mwongo katika hilo.
Siku hizi dini hasa imani ya kikristo ni kuwalisha watu mihadarati ya kiimani na kuwapumbaza watu akili ili wakupe pesa. Ni janga kubwa linalochangiwa na ubovu wa afya ya akili. Kila siku kuna mtume, nabii au mwalimu mpya anaibuka. Jina la Yesu limegeuka kuwa PANGO LA WEZI. Watakupiga soga zao za miujiza watafune pesa zao. Hakuna muujiza wowote wa kweli upuuzi mtupu. Nimeshauliza huyo Yesu wanayemhubiri hawezi kuponya amputees? Hakuna mhubiri yeyote aliejibu kwa hiyo nikisema miujiza yote wanayohubiri ni viini macho au otherwise they are scientifically curable ailments basi wakubali. Waiteni amputees kwenye matangazo yenu ya miujiza wakirudishiwa viungo vyao nitawaamini.
 
Back
Top Bottom