Father of All
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 7,672
- 9,039
Wanabodi, hakuna haja ya kuzungusha.
Hakuna ubishi.
Waanzilishi wa Ukristo na Uislam ni Yesu na Muhammad.
Hakuna ubishi kuwa hakuna anayejua namna hawa waanzilishi walivyofanana wala kuwa.
Hakuna ubishi, wakristo wana picha feki za wazungu waliomuigiza Yesu.
Hakuna ubishi, waislam hata walificha picha zote za Muhammad kwa vile anajulikana alizaiwa lini na wapi.
Hakuna ubishi kuwa dini mbili, licha ya kutoka sehemu moja na kuhubiri jambo moja, zote zina kila dalili za uongo kuhusiana na uwepo na malengo yake.
Je kuna haja ya mabilioni ya watu kuendelea kuamini dini hizi wakati ni ongo na zimejengwa kwenye uongo mtupu?