chamaclotus
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 1,079
- 2,273
Kwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli kabisaInategemea na situation,imagine umekutana na manzi accidentally ukampenda na hujui baada ya hapo utamuona wapi huna haja ya kuremba. Weka vocal hapo hapo (kistaarabu lakini) mengine yatajulikana mbele.
Nyakati za sasa hamna haja ya kutongozaKwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Hapo sawaInategemea kama mnaishi nyumba moja au mpo ofisi moja au sehemu yoyote ambapo mnaonana kila siku na mnashirikiana vitu
GO DIRECTLY TO THE POINT mkizoeana tu hawezi kukubari tena atakuzingua sana
Ils akikukazia usiogope EVERY ONE HAS WEAKNESS atajaa tu 7bu ushaonedha we kidume
Ila kam yupo kwenye TIGOPESA labda au dukani unaendaga kinunua bidhaa mnaonana na mama ntilie au dada muuza juisi nk na maeneo kama hayo Zoeana nae kwanza ila msipende kuchart sana na usiombe namba kwa haraka mpk akuzoee sana then mambo mnzuri yatafuata mdogo wangu
7bu kuna wengi wanakuja mbio kama wewe kwa mitongozo na wanakula za USO
so unatakiwa uoneshe uko tofauti na hao 7bu hvyo vitu kwako ni vya kawaida sana
Kama lipi mkuuInatengemea na lengo husika linalopelekea huo mtongozo
Hii ndo sitaki kabisaKataa mazoea,ataishia kuku friendzone tu
MgegedoKama lipi mkuu
Ujenge mazoea ya nini? Unaomba kazi? Unataka akuonee huruma?Kwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Umeeleweka mkuuMgegedo
Mahusiano
Sawa mkuuJenga mazoea kama huna mpangonwa kuhit and run. It depends na demu pia.
Pamoja sanaJenga mazoea kama huna mpangonwa kuhit and run. It depends na demu pia.
Jifunze namna ya kumkamata kuku wa kienyeji Bila kumkimbizaKwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Nipe mbinu fazaJifunze namna ya kumkamata kuku wa kienyeji Bila kumkimbiza
Una mtupia mahindi Toka mbali atasogea lkn atachukua tahadhali atakula kidogo na kuondoka halafu anrudi fasta unaongeza punje kwa muelekeo wa ndani kwenye nyumba ambapo yeye at nyoosha akizifuatilia punje wewe utakuwa umeshajibanza nyumba ya mpango akipitiliza tu unafunga mkango je hapo napo utashindwa kumkamata?Nipe mbinu faza
Inafaa ili ujue mapema kama unabaki au unaamsha.Kwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.