Je kuna haja ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza papo kwa hapo?

Je kuna haja ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza papo kwa hapo?

Inategemea kama mnaishi nyumba moja au mpo ofisi moja au sehemu yoyote ambapo mnaonana kila siku na mnashirikiana vitu
GO DIRECTLY TO THE POINT mkizoeana tu hawezi kukubari tena atakuzingua sana
Ils akikukazia usiogope EVERY ONE HAS WEAKNESS atajaa tu 7bu ushaonedha we kidume

Ila kam yupo kwenye TIGOPESA labda au dukani unaendaga kinunua bidhaa mnaonana na mama ntilie au dada muuza juisi nk na maeneo kama hayo Zoeana nae kwanza ila msipende kuchart sana na usiombe namba kwa haraka mpk akuzoee sana then mambo mnzuri yatafuata mdogo wangu
7bu kuna wengi wanakuja mbio kama wewe kwa mitongozo na wanakula za USO
so unatakiwa uoneshe uko tofauti na hao 7bu hvyo vitu kwako ni vya kawaida sana
 
Inategemea na situation,imagine umekutana na manzi accidentally ukampenda na hujui baada ya hapo utamuona wapi huna haja ya kuremba. Weka vocal hapo hapo (kistaarabu lakini) mengine yatajulikana mbele.
Kweli kabisa
 
Inategemea kama mnaishi nyumba moja au mpo ofisi moja au sehemu yoyote ambapo mnaonana kila siku na mnashirikiana vitu
GO DIRECTLY TO THE POINT mkizoeana tu hawezi kukubari tena atakuzingua sana
Ils akikukazia usiogope EVERY ONE HAS WEAKNESS atajaa tu 7bu ushaonedha we kidume

Ila kam yupo kwenye TIGOPESA labda au dukani unaendaga kinunua bidhaa mnaonana na mama ntilie au dada muuza juisi nk na maeneo kama hayo Zoeana nae kwanza ila msipende kuchart sana na usiombe namba kwa haraka mpk akuzoee sana then mambo mnzuri yatafuata mdogo wangu
7bu kuna wengi wanakuja mbio kama wewe kwa mitongozo na wanakula za USO
so unatakiwa uoneshe uko tofauti na hao 7bu hvyo vitu kwako ni vya kawaida sana
Hapo sawa
 
Jenga mazoea kama huna mpangonwa kuhit and run. It depends na demu pia.
 
Kwema wakuu
Ipi Kati ya kujenga mazoea Kwanza na demu au kumtongoza bila kuwa na mazoea nae inafaa.
Ujenge mazoea ya nini? Unaomba kazi? Unataka akuonee huruma?
Mchane tu nimekuelewa, tukapeane raha. Akikataa unachagua mwingine
Cc Depal unasemaje Mwanasheria wangu
 
Nipe mbinu faza
Una mtupia mahindi Toka mbali atasogea lkn atachukua tahadhali atakula kidogo na kuondoka halafu anrudi fasta unaongeza punje kwa muelekeo wa ndani kwenye nyumba ambapo yeye at nyoosha akizifuatilia punje wewe utakuwa umeshajibanza nyumba ya mpango akipitiliza tu unafunga mkango je hapo napo utashindwa kumkamata?
 
Back
Top Bottom