Je kuna kupona hapo..?

Je kuna kupona hapo..?

Vipi kuhusu impact iliyotokea kati yake yeye na maji....

Haiwezi kuwa factor ya yeye kukata moto mkuu..?
Ukiangukia kwenye maji kama umetoka umbali mrefu basi impact yake ni kama umeangukia sakafu. Ndiyo maana hata speed boat ikiwa kwenye mwendo mkali na ikipinduka na kujiburuza kwenye maji, basi inavunjika au kujikunja kunja kama imegongana na jiwe. Maji yatakusaidia tu iwapo umeanguka kutoka umbali mfupi lakini mrefu ni kama umeangukia chuma.
 
Ukiangukia kwenye maji kama umetoka umbali mrefu basi impact yake ni kama umeangukia sakafu. Ndiyo maana hata speed boat ikiwa kwenye mwendo mkali na ikipinduka na kujiburuza kwenye maji, basi inavunjika au kujikunja kunja kama imegongana na jiwe. Maji yatakusaidia tu iwapo umeanguka kutoka umbali mfupi lakini mrefu ni kama umeangukia chuma.
Yaaah yaaah daaah ...
Mpaka sasa ile hali ya maji kuwa kama solid ni nini hasa mkuu
Ni surface tension yake au.....
 
Impact pia ni ndogo kama tunavyosema speed haikuwa kubwa kwa maana hiyo impact lazima iwe ndogo .. kumbuka momentum=mass x velocity, hivyo velocity haikuwa kubwa kulingana na kimo Cha mruko.
Speed haikuwa kubwa, au illusion ya video?
 
Hapana mkuu speed ilikua kubwa na hilo tukio ni la fasta sana..
Ukisoma vizuri comment yangu utagundua nimemaanisha speed ni kubwa na aliye-comment speed ndogo ni kwa sababu ya illusion tu ya video.

Huyo mtu ametoka kwenye ndege na speed sawa na ya ndege. Kumbuka effect ya hiyo speed imekuwa affected na total mass ya ndege.

Kwahiyo ni kubwa; hivyohivyo kwa impact yake kwenye maji tunatarajia iwe kubwa.
 
Ukisoma vizuri comment yangu utagundua nimemaanisha speed ni kubwa na aliye-comment speed ndogo ni kwa sababu ya illusion tu ya video.

Huyo mtu ametoka kwenye ndege na speed sawa na ya ndege. Kumbuka effect ya hiyo speed imekuwa affected na total mass ya ndege.

Kwahiyo ni kubwa.
Daaah respect sana mkuu....solute

Hata mi nimemwambia hivo mwanzo lakini akasema kwa kuwa jamaa ka change direction tayari speed yake itakua ime change pia....
 
Huyo ni pilot na hicho alichofanya ni kubonyeza special button ya emergency ambapo kiti kinachomoka kizimakizima kutokea chini ndiyo ndege nyingi zimetengenezwa hivyo, kwa kisukuma inaitwa "seat ejector"
 
Back
Top Bottom