Je, kuna madhara gani kiafya usipofanya mapenzi kwa muda mrefu?

ngono ni lazima kufanya?
.
.
.
usipofanya ngono madhara gani utapata???
.
.
hili swali ambalo mtoto wa dada yangu Eva ananiuliza sana..
nimpe jibu gani?
Subiria wadau watakuja kukujibu
 
Mmh kumbe ndo maana ya damu nyingi wakati wa hedhi?? Noted
 
Madhara yapo unawaza ukabaka bila kujijua au ukalambwa ww [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Madhara mengine uume unakuwa unadindadinda hata ukiona paja la mwanamke tu
 
Hili lina ugumu sana kwa mtu aliekamilika na asie na tatizo lolote kiafya

Tukianzia kibaiolojia
Mtu aliekamilika kiafya na anakula vema lazima atapata mihemko ya kimapenzi. Protein zinazokuwa mwilini zatakiwa kupunguzwa kwa namna mbali mbali na mojawapo ni sex! Kwa tuliosoma shuke za bweni tumewahi kujiuliza kwa nini vyakula kuna wakati walikuwa wanaweka mafuta ya taa? Mara nyungine haisaidii ilikuwa mnaletewa wasichana japo disco kupunguza mihemko. Enzi hizo nazikumbuka Tosamaganga sec vs Iringa girls sec then Pugu sec vs Jangwani girls nk
Ujue hii kitu ngumu kuzuia utaona hata wanaume wanaota usiku na kuchafua mashuka kama rijali lakini.
Kiimani
Kwa sie waislam ndo maana tunambiwa mtu anaeona amefika umri wa balehe au kuvunja ungo na hawezi kuoa bhasi afunge sunna za mara kwa mara ili zile protein zielekee kazi nyingine

Madhara
Pamoja na yale yliyoainishwa na members hapo juu mengine ni
1. Kucheka cheka ovyooo
2. Kusisimka kimwili hasa unapoona au kupata hisia za tendo nk
 
Ukiona unatembea huku unakata viuno ujue teyari umeanza kuathirika
 
22k viewed this ni kweli wengi hatufanyi mapenzi ili tujue madhara yatokanayo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…