Je, kuna madhara ya kupaka mate kwenye uke!?

Je, kuna madhara ya kupaka mate kwenye uke!?

Heshima kwenu!

Kwa madaktari mliopo humu, je kuna madhara ya kupaka mate kwenye uke wakati wa kufanya mapenzi!?? Wanawake wengine huwa ni wakavu ! Hivyo mate hutumika kama kilainishi
Makubwa sana mkuu
 
Hahahah hapana mkuu muandae atoe ute usimpake mimate....nadhani kama unampnz wako wa mda mrefu lazima ujue sex fantasy zake mchezee fresh zen ingia mzigoni
Sorry ni nje ya mada
kama sijakosea Unaishi tabata matumbi Dar
 
Heshima kwenu!

Kwa madaktari mliopo humu, je kuna madhara ya kupaka mate kwenye uke wakati wa kufanya mapenzi!?? Wanawake wengine huwa ni wakavu ! Hivyo mate hutumika kama kilainishi
Nunua YK gel hautajuta yaan ni fyaaaa
 
😂😂😂😂 Mie nilikuwa home na wewe ulikuwa GH sasa ni nani hapo naibu wa mwenzie Mkuu?

I'm yo assistant kwenye hiyo sekta....[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Sasa pale pale unapomuandaa na ameshalainika huwa unafanya Nini dakika zote hizo kumi mpaka anakauka Tena?

Hayo manjonjo ya ziada ndo huwa yanawafelisha.

#LeoKamaSinaMudiVile?AmaNimeguswaPabaya[emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji3][emoji3] hamna manjonjo ni sex tu katikati mtu anakauka.
 
100% ya wanawake hakuna anaependa kupakwa mimate ukeni wakati wa mgegedo inakata stim sana...muandae mpnz wako atoe ute mta enjoy sana kama n mkavu mwambie anywe maji mengi, bamia na matikiti maji yana saidia sana kwenye vichocheo vya mapenzi...pia ucmkulupue kufanya sex muandae kimwili na kiakili....binafsi nakelekwa na iyo tabia

Kama ni Ke, vipi mpaka taarifa ya mgegedo inaingia akilini unachojoa au kuchojolewa unapata msisimko au unakuwa kama msukule, ishu ya ukavu inahitaji mjadala hata demu ambalo liko na mtu kinafiki nalo linataka et oooh niandae kwanza, mi Ni opposite gender iweje usiwe na stimu wezi wengi , paka wese/mate tembeza then mbele kwa mbele
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Mie nilikuwa home na wewe ulikuwa GH sasa ni nani hapo naibu wa mwenzie Mkuu?
Nilikua nimekaa nje pale....[emoji12][emoji12][emoji12]
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Heshima kwenu!

Kwa madaktari mliopo humu, je kuna madhara ya kupaka mate kwenye uke wakati wa kufanya mapenzi!? Wanawake wengine huwa ni wakavu! Hivyo mate hutumika kama kilainishi.
makubwa sana, unawahamisha normal frora waliopo mdomoni na kuwapeleka sehemu isiyosahihi na inayowafavour ku cause infection
 
Kwakweli hamna mtu anaependa hiyo mimate kwenye uke wake, wanaume wenyew wanaona uromantic kweli kumbe wanatia kinyaa ila mtu unajikaza tu[emoji21]
 
Back
Top Bottom