Ila number A ya zamani sana mkuu zaidi ya miaka 20 huko hapana aiseJirani yangu Davis Mosha kapaki uani lamboghin
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila number A ya zamani sana mkuu zaidi ya miaka 20 huko hapana aiseJirani yangu Davis Mosha kapaki uani lamboghin
Sponsored by Wivu.Kwani mleta mada hizo ferrari zinakuletea pesa mfukoni au ugali mezani? Mimi sijawahi waza hayo mambo labd ninushamba wangu hapa mjini ila nijuavyo watu hawanunui magari kisa anaweza kununua kuna mambo mengi ya kuzingatia mbona watu wana gari za bei kuliko hizo ulizotaja hapo ila pia unaonekana bado unakaushamba fulani ka mji na vitu vya mjini. Unaposema mikangafu ya toyota wakati watu wanapush ndinga za over 600m je ww na familia yako mkichanganywa pamoja mkapigiwa hesabu mnasogelea kweli thamani ya gari moja tu la boss kubwa mjini. Dogo jipange alafu taftabkazi ya kufanya sio kuangalia matajiri kwann hawanunui ferarri wakati ww na familia yako mkiulizwa chombo cha moto mlimiliki lini labda jiko la mkaa
Tunakusubiri wewe ununue ndiyo tufuate.Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi
Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.
Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244View attachment 2824246
Kama hiyo ndo bei yake basi wapo watanzania wengi wanauwezo wa kuimiliki hazipo kwaajili ya miundombinu hairuhusuBEI YAKE NI MILLION 978 BILA USHURU TRA SIJUI USHURU TRA NI NGAPI KWA SASA
LAMBORGHINI AVENTADOR
View attachment 2824606
Ndio ndioSponsored by Wivu.
Hata Dodoma zipo!Tumeenda sana ni Harmer😅 nliiona Kahama na yenyewe
Yupi huyo aliyeshusha lori 300 za ml 900?Nikiwa natembea kwa miguu pale Travel Partner Masaki karibu na Hostel za MUHAS nilifanikiwa kuiona Royce Royce mwaka fulani.
Lambogini ipo Kun watu washaiona kwa macho. Mimi niliiona ya David Mosha ktk gazeti ni ya njano kama sikosei.
Lakini pia hawa watoto wa matajiri wa kiarab Wana magari ya bei sana.
Waulizeni wafanyakazi wa Bakhresa kuwa watoto wa Bakhresa wanamiliki gari zipi koz kama mtu ananunua gari moja ya milioni mia tisa Lori halafu anashusha magari kama 200 au 300 atashindwaje kujifurahisha kwa kununua gari ya billion 2 au 3?
Zamani sana huyu mwamba Le Mutuz aliliweka hapa.Jirani yangu Davis Mosha kapaki uani lamboghin
BakhresaYupi huyo aliyeshusha lori 300 za ml 900?
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi
Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.
Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244
View attachment 2824246