Je, kuna Mtanzania mwenye Ferrari au Lamborghini hapo Dar jiji kuu Tanzania?

Je, kuna Mtanzania mwenye Ferrari au Lamborghini hapo Dar jiji kuu Tanzania?

Ninayo tatizo ntaendeshea wap mkuu kwa hz barabara za kiwango cha stigla goji
 
Arusha nimewahi kuiona mara mbili ila ni nadra kukutana nayo
 
Kwani mleta mada hizo ferrari zinakuletea pesa mfukoni au ugali mezani? Mimi sijawahi waza hayo mambo labd ninushamba wangu hapa mjini ila nijuavyo watu hawanunui magari kisa anaweza kununua kuna mambo mengi ya kuzingatia mbona watu wana gari za bei kuliko hizo ulizotaja hapo ila pia unaonekana bado unakaushamba fulani ka mji na vitu vya mjini. Unaposema mikangafu ya toyota wakati watu wanapush ndinga za over 600m je ww na familia yako mkichanganywa pamoja mkapigiwa hesabu mnasogelea kweli thamani ya gari moja tu la boss kubwa mjini. Dogo jipange alafu taftabkazi ya kufanya sio kuangalia matajiri kwann hawanunui ferarri wakati ww na familia yako mkiulizwa chombo cha moto mlimiliki lini labda jiko la mkaa
Sponsored by Wivu.
 
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi

Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.

Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244View attachment 2824246
Tunakusubiri wewe ununue ndiyo tufuate.
 
Mosha alikuaga na Gallado.
images.jpeg
 
Nikiwa natembea kwa miguu pale Travel Partner Masaki karibu na Hostel za MUHAS nilifanikiwa kuiona Royce Royce mwaka fulani.

Lambogini ipo Kun watu washaiona kwa macho. Mimi niliiona ya David Mosha ktk gazeti ni ya njano kama sikosei.

Lakini pia hawa watoto wa matajiri wa kiarab Wana magari ya bei sana.

Waulizeni wafanyakazi wa Bakhresa kuwa watoto wa Bakhresa wanamiliki gari zipi koz kama mtu ananunua gari moja ya milioni mia tisa Lori halafu anashusha magari kama 200 au 300 atashindwaje kujifurahisha kwa kununua gari ya billion 2 au 3?
Yupi huyo aliyeshusha lori 300 za ml 900?
 
Lamborghini ni gari ya house boy kwenda nunulia nyanya kwake Kiduku Lilo mbona.

Ferrari ni gari ya dada wa kazi kwenda nunulia chakula cha mbwa kwa Kiduku Lilo.🤣🤣
 
Matajiri wa huku Kilimanjaro na ARUSHA wanapendaga Suzuki escod, na Toyota stout 2000,hayo matakataka yenye nukshi ya dhahabu wapelekee waarabu mkuu
 
Kama kichwa kinavyo uliza inamaana hakuna hata mtanzania mmoja mwenye kuweza kumiliki lamborghini AU ferrari mbona hii ni aibu ya kubwa sana inamaana taifa zima tunamiliki MIKANGAFU ya Toyota tu naumia sana haipendezi

Mbona tumeaminishwa hii nchi ina matajiri na watu maarufu wenye uwezo au tunadanganywa Mimi huwa nasikitika sana nikikatiza mitaa ya posta Kariakoo Siwezi Kukutana na mtu anaendesha hii Gari LAMBORGHINI AVAENTADOR AU FERRARI Shida iko wapi Watanzania.

Wakati Wenzetu Hapo Kenya Na Uganda Wana Drive Hizi Chuma inamaana Watanzania wote hatuna hela sitaki kufika huko ila tujitathimini. View attachment 2824245View attachment 2824244

View attachment 2824246
images (1).jpeg
images (2).jpeg
images.jpeg


Hayo magari mbona watu wanayo tena namba "A" wewe unaishi wapi kwani??
 
Back
Top Bottom