Charliemic
JF-Expert Member
- Feb 17, 2019
- 602
- 969
Hilo la kuhusu genes nalijua, lkn kuna mahali niliwahi kusikia siku za nyuma kuwa kuna njia pia unazoweza kutumia! Tatzo sina contact za yule aliyekuwa anasemaMara nyingi hii hufuata genes, kama kwenu kuna historia ya mapacha.
Njia nyingine ni kutumia fertility pills, lakini yai linawezs kukamata hata mbegu 6-9 kwa mpigo.Hilo la kuhusu genes nalijua, lkn kuna mahali niliwahi kusikia siku za nyuma kuwa kuna njia pia unazoweza kutumia! Tatzo sina contact za yule aliyekuwa anasema
Njia nyingine ni kutumia fertility pills, lakini yai linawezs kukamata hata mbegu 6-9 kwa mpigo.
Vizuri vina gharama. Wakiwa wengi ndio baraka zenyewe.Doh, hii ina risk kubwa aseee, waje mapacha 6,itakuwa kazi kuwalea
we jamaa umetisha sanambona easy sanaa tu, tafuta wanawake wawili, piga wote mimba siku moja hapo vipi ?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mbona easy sanaa tu, tafuta wanawake wawili, piga wote mimba siku moja hapo vipi ?
Kwetu hakuna kbsaa ila nikija oa I will need my wife to have twinsMara nyingi hii hufuata genes, kama kwenu kuna historia ya mapacha.
Kama sijakoseaNjia nyingine ni kutumia fertility pills, lakini yai linawezs kukamata hata mbegu 6-9 kwa mpigo.
Kama sijakosea
vidonge vya kupevusha mayai ya mwamke (overy)? Ambazo humeza baada kutoka kwenye Mestral flow (yaani anaza kumeza siku ya 5 toka aingie kwenye Mestuation)
Vinaitwaje au kupatikana wapi mkuu
[/QUOTE
Hospital Muone Daktari kwa ushaauri
wanapewa hasa kinana mama amba wanatatizo la kubeba mimba hupewa ili kukomaza/kupevusha mayai Kuna Jamaa yangu mmoja Mke wake alikuwa na tatizo la kutopata ujauzito mkewe apewa dawa hizo na akaambiwa vidonge hivyo huwa vinaposibility ya mama kuzaa mapacha
batinzuri Mkewe alivyo beba ujauzito alizaa mapacha
Ushauri wa kijinga sana ndio maana afrika hatuendeleiMara nyingi ni vema kuacha nature ifanye kazi yake haya mambo ya kutengeneza mapacha yapo ila risk yake ni kubwa mno
Tumuachie Mungu kama uliumbiwa mapacha utapata kama hujaumbiwa hutapata
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana siyo yai linakamata mbengu sita. Yai hukamata mbengu moja tu. Mtu akitumia dawa za kuboost fertility. Ovaries ndo zinaweza kufyatua mayai mengi na kila yai litakamatwa na mbengu moja.Njia nyingine ni kutumia fertility pills, lakini yai linawezs kukamata hata mbegu 6-9 kwa mpigo.