McCollum
JF-Expert Member
- Jan 10, 2023
- 384
- 684
Salamu nazitia kapuni naenda moja kwa moja kwenye mada. Je, mziki wa Tanzania (BongoFleva) unaweza kutusua na kuwekewa category yake pekee kwenye platform kubwa za mziki kama Billboard Hot 100/200?
Afrobeats ya west Afrika imefanikiwa kupenya,je, vipi kuhusu Bongofleva?
Afrobeats ya west Afrika imefanikiwa kupenya,je, vipi kuhusu Bongofleva?