YEHODAYA
JF-Expert Member
- Aug 9, 2015
- 36,902
- 52,001
kama copy jina hakupewa na wazaziKuna yule Bakharesa wa buzza kwa liombo hata pakulala hana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama copy jina hakupewa na wazaziKuna yule Bakharesa wa buzza kwa liombo hata pakulala hana
Hapa Tanzania tajiri maarufu Mo
Na kuna Mo wangapi malofa?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanao umuite larry naye aje kuwa bilionea[emoji28][emoji28] larry bwalya ni namba ngapi kwenye hiyo orodha
Lsiser au Laizer?Huu ukoo una bahati sana,
Halafu ni Laiser.
Laiser kwa kimasai wanaitwa Olaiser.Lsiser au Laizer?
Tumechelewa Sana Ndugu ZanguWala nisingeanzisha
Vipi N na K yani Nyerere, Kikwete?Kwa hapa Tanzania jina la mwisho likiwa na herufi M basi unaweza kuukwaa Urais,
1. Ally Hassan Mwinyi.
2. Benjamin William Mkapa.
3. John Joseph Magufuli.
Jitahidi kusaka pesa kwa kazi ya halali utajiri ni kipaji kama vipaji vingine auna mahusiano na majinaVipi N na K yani Nyerere, Kikwete?