Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.

Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.

Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...

Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.

Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.

Aisee msema kweli Mpenzi wa Mungu kuna kitu kinaitwa Advanced Econometrics i na Advanced Econometrics ii nakumbuka hili somo wakati nachukua Masters yangu lilinisumbua sana yani kufikisha course work tuh Issue halafu Prospectus ya chuo Ukipata Sup Nne ni Discontinuer.😭😭
yani nikaamua kulikomalia mpk kieleweke cha ajabu sasa Paper ya Ue nikafaulu kwa ushindi Mwembamba sana licha ya juhudi za kufanya Discussion, kupitia Last paper za Ue zilizopita. Dah! Ila Prof alikamata wengi sana Sup. Aisee hili somo nimeSalut mpk Tuday huwa nalikumbuka sana tuh. Na sifikirii kusoma tena elimu ya juu
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watu mna hatari?
Hivi unawezaje kuchabo??

Mie mtihani ukinikaba ndio nakufa hivyo na tai shingoni

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu siku ya necta niliona kabisa nakufa, ilibidi kutumia mbinu za kivita.

Kuna jamaa, namshukuru sana mpaka leo hii alinisevu. Ilikuwa Pepa one Physics, jamaa aliwahi kujaza booklet lake aka ongeza la pili.

Sasa jamaa ni muungwana sana, Tuliwacheki na kuwalia timing wasimamizi kwa haraka sana, jamaa akanipa booklet yake aliyo ijaza.

Nami nikapata vya kajaza kwenye booklet yangu.

Dakika za mwisho pale nikafanikiwa kumrudishia booklet yake.
 
Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.

Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.

Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...

Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.

Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.

haloo mziki wake sio kitotoo
regression analysis
multicollenearity
bita 1&bita 2

mi mwenyewe second year nilionaga chungu balaa
 
Mkuu siku ya necta niliona kabisa nakufa, ilibidi kutumia mbinu za kivita.

Kuna jamaa, namshukuru sana mpaka leo hii alinisevu. Ilikuwa Pepa one Physics, jamaa aliwahi kujaza booklet lake aka ongeza la pili.

Sasa jamaa ni muungwana sana, Tuliwacheki na kuwalia timing wasimamizi kwa haraka sana, jamaa akanipa booklet yake aliyo ijaza.

Nami nikapata vya kajaza kwenye booklet yangu.

Dakika za mwisho pale nikafanikiwa kumrudishia booklet yake.
It is very risk aisee🙌
Waoga hatuwezi kufanya hivi,tutakamatwa.

Alikuokoa mkuu, vinginevyo Physics isivyo na mzaha,inakuchinja😂
 
Dahh Hadi kesho kutwa sitokuja kusahau, nimeingia zangu chuo semester ya Kwanza nikakutana na bwana biochemistry, huyu jamaa Hadi leo nampa respect yake maana alichokuwa ananifanyia kwenye examination sio poa

Cat One nakuta nimepata 8%, dahh nikachanganyikiwa Ila nikasema fresh nitamake Tu next cat, ohhh cat 2 ikaja nimekula 7%, Kwa ufupi nilikuwa sielewi hii Ngoma pamoja na kuwekeza nguvu kubwa kwenye kuisoma Ila wapi, nikaona litanipotezea mood ya shule hili ata Kwa masomo mengine

Baada ya kufanya cat kama 3 na zote nikiwa sijawahi kupata 10, ikabid niache kabisa kusoma biochemistry na nikaiweka kwenye kundi ambalo lazima nitakuja kusapua, nikawa naenda Tu kufanya cat narudi zangu hostel na Hadi semester inaisha nina average ya 7, nikasema hii Ngoma nitaiwekea special force kipindi cha September conference Ila Kwa sasa niiangalie Tu kama manzi ya lecturer

Wakati nasoma level zote nilikuwa na kauli mbiu yangu ya kujifariji maana sikuwahi kuwa serious na shule, hivo watu wangu wa karibu walikuwa wananionea huruma sana na kunisihi nisome lasivyo nitafeli, Ila Mie nilikuwa nawajibu "kufaulu ni TABIA ya mtu, kama huna TABIA ya kufaulu utatumia nguvu kubwa Sana kufaulu Ila kama Una TABIA ya kufaulu basi utafaulu Tu we usiulize HOW"
Chuo hakuna kozi ngumu, huwezi kua umechomoa mziki wa pcb au pcm chuo usumbuke na hi course unaweza soma week ukamaliza desa zima, sema chuo mambo mengi watu wengi wanajichanganya, ila kama wangepiga msuli ule ule wa advance chuo pepesi mno
 
Back
Top Bottom