Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

Je, kuna somo ambalo hutakuja kulisahau kwa jinsi lilivyokutoa jasho?

Cost and management accounting ya mzumbe university , pia kuna wapuuzi wana somo lao jepesi wanaita ICT ila maksi mbovuu matokeo yakitoka
Cost accounting siwezi isahau hii aisee,mimi nilikuwa mtu wakuchukilia vitu easy,ila huyo mjomba alinitoa jasho nikapata hadi "supu".
 
Hakuna kwakweli, kama siliwezi naachana nalo wala haliniumizi kichwa.
 
Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.

Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.

Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...

Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.

Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.

Dah .. dah...!!! Siwezi Shahau EG106 na ME207 pale FoE enzi hizo... EG106 na Ishengoma
 
Na mbaya Zaidi unakuta halina msaada wowote au halitumiki kwenye utendaji wako wa kazi, mwisho wa yote ni Kama hivi tunapata vitu vya kukumbuka shule
Ni somo zuri Sana linatumika kutunga sera yaani public policy
 
Kila mtu ana somo ambalo halikuwahi kuwa rahisi kwake. Labda kwa wachache ambao ni exceptional wanaweza wasiwe walikutana na hii situation.

Nimekumbuka enzi zangu nipo chuo. Katika harakati zangu za kuijenga future yangu nikabahatika kutua kwenye chuo kimoja wapo kikubwa hapa nchini kwa course ya miaka 3.

Harakati zikaanza, siku zikaenda nikafanikiwa kuingia mwaka wa pili hapa sasa ndipo nilikutana na ugumu na kuiona elimu ngumu...

Sitakuja kulisahau somo moja linaitwa ECONOMETRICS. Kwa wale waliosoma Economics au course zenye uhusiano na economics watakuwa wanalielewa hili somo. Kwa course yangu na department yangu nilipokuwa. Hili ni moja wapo ya masomo ambayo huwa 'yanawakamata' watu wengi sana.

Ingawa nilibahatika kulifaulu vizuri chamoto nilikiona na nilinyoosha mikono juu.

Yaa it was a bit difficulty subject kama sijakosea humu ndani ndiko unakutana na Langrange Multiplier na Regression analysis.

But nilikuwa nalipenda
 
Electrostatics ya advance ilinipelekea makali khaa, kwenye kuresolve zile forces acha kabisa, necta swali la statics sijalifanya nikapiga electromagnetism
 
Measure and intergration

Measure and probability
 
Physics A level topic zote nilikuwa kilaza. 😅😅😅
 
Physics ya Advance level nilitoka kapa,

Pangu pakavu tia mchuzi

Almanusra nipige mswaki Necta.

Ila nguvu ya chabo ili nisevu...[emoji23]
 
Physics ya Advance level nilitoka kapa,

Pangu pakavu tia mchuzi

Almanusra nipige mswaki Necta.

Ila nguvu ya chabo ili nisevu...[emoji23]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ila watu mna hatari?
Hivi unawezaje kuchabo??

Mie mtihani ukinikaba ndio nakufa hivyo na tai shingoni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom