Je, kuna tatizo la ‘Inbreeding depression’ nchini Rwanda?

Je, kuna tatizo la ‘Inbreeding depression’ nchini Rwanda?

Watutsi Wana vinasaba vikali sana, hata akiolewa na Mhutu watoto wanatoka na uTutsi zaidi!! Na hao Cha mtoto ukiwaangalia waHima wa Uganda au banyankole na Bakiga Hawa ni familia ya Watutsi yaani ni mule mule kama Kagame.

Then kingine 90% Rwanda ni Wahutu ambao hawafanani kabisa na Kagame coz Wana sura za kibantu tofauti na watutsi wenye sura za Kicuishites kama Somalia au Eritrea.

Burundi Ili kuua tofauti zao waliwahi Anza mpango wa Mtutsi kuoa Mhutu and vice versa Ili izaliwe kabila moja tu..... aliyeasisi huu mpango (Prince Rwagasore) alikua ni Mtutsi na alikua ndio Rais wao, ila aliuawa kinyama na Watutsi wenzake kisa tu alitaka "kuchafua" damu ya Watutsi kwa kuruhusu ndoa na Wahutu.
Mijamaa ni mibinafsi sana
 
Kuna uzi humu ulielezea zenji wanaminya watoto vichwa ili wawe navichwa round waweze kuvaa baraghashia vizuri.

Wafanane na wajomba zao wa umani.


#MaendeleoHayanaChama
[emoji16][emoji16]
 
Watutsi Wana vinasaba vikali sana, hata akiolewa na Mhutu watoto wanatoka na uTutsi zaidi!! Na hao Cha mtoto ukiwaangalia waHima wa Uganda au banyankole na Bakiga Hawa ni familia ya Watutsi yaani ni mule mule kama Kagame.

Then kingine 90% Rwanda ni Wahutu ambao hawafanani kabisa na Kagame coz Wana sura za kibantu tofauti na watutsi wenye sura za Kicuishites kama Somalia au Eritrea.

Burundi Ili kuua tofauti zao waliwahi Anza mpango wa Mtutsi kuoa Mhutu and vice versa Ili izaliwe kabila moja tu..... aliyeasisi huu mpango (Prince Rwagasore) alikua ni Mtutsi na alikua ndio Rais wao, ila aliuawa kinyama na Watutsi wenzake kisa tu alitaka "kuchafua" damu ya Watutsi kwa kuruhusu ndoa na Wahutu.
Hili la Prince Rwagasore kuwa aliuawa na Watutsi bado lina baki kuwa fumbo zito,, bado hakujapatikana ushahidi wa kutosha kudhibitisha hilo,,
 
Habyarimana, nae mkamtumgua sio? Nasikia hii mdio ilisababisha ule ukatili wa kinyama wa 1994. Hivi watu wanawezaje kuwa wakatili kiasi kile?

Naam, ni moja ya sababu.

Binadamu wana asili ya ukatili mkubwa ndani yao, ni zaidi ya wanyama.
 
Back
Top Bottom