We jamaa ni mpumbavu sana. Tena wale ambao wako tayari kuua Kwa kupigania mnachokiita dini. Huu ujinga wa kukata umeme ungewauliza maharage Kande na shoga yake Makamba jr nduguzo katika imani .Swali Hilo tuwaulize makafiri waliojazana hapo Tanesco kama kigango Cha kanisa, tuwaulize why wanazima umeme??upeo wao wa kazi umeishia wapi??kuiba fedha na juma pili kwenda kutoa sadaka makanisani??
Acha watu waabudu wanachoweza...kuna wengine hata imani yako wanaishangaa lakini haiwahusu so wanaendelea na shughuli zaoKwa kweli unanipa hasira SANA,binadamu mwenye utashi unaambiwa vipi huyu ng'ombe ni Mungu wako na wewe ukakubali??
Au unaambiwa vipi huyu sanamu la kizungu limeveshwa kichupi na kutundikwa kwenye mlingoti kuwa ni Mungu Mkuu na wewe ukakubali??
Mnanipa hasira SANA makafiri
hapa kuna kitu nime gainwanafwata western christian economic system, wajapani waliendelea kwa sababu walikwenda kujifunza Europe na USA how to run a country btw. Japan ni part of the western world kuna sababu kwa nini iko hivyo, china mpaka leo hii anafanya copy & paste ya western christian economic system …
Nilikuwa na marafiki zangu wawili Wasaudia, walikuwa wanalaani sana baadhi ya mambo ya uislam. Watoto wao wote waliwapeleka kusoma Canada wakidai kuwa wakiwapeleka nchi za kiarabu watafundishwa ujinga.Natumaini ni suala la muda tu waislam dunia nzima wataachana na uislam uliowapumbaza kwa karne nyingi. Sasa wameanza kuwa moderate/modern, wanaanza kuutambua ukweli na kuachana na kongwa zito lilowazubaisha muda mrefu
Socialism ipo mashariki sio magharibi.Economic system ya china ni socialism ambayo ni karl marx myahudi aliyezaliwa ujerumani alianzisha kupitia kijarida chake kinachoitwa das capitalism
Kuna mambo mengi sana hujui
Dunia ya nyokoWaarabu na Wayahudi ni ndugu na ipo siku itawadia watakuja kuelewana na wataitawala Dunia 🙏🙏
Amini usiamini ndivyo itakavyokuwa !!
Awafanye Nini Sasa??
Makafiri mmekuwa makonki wa wizi ndani ya Taifa hili,na haijalishi Rais ni nani.
Kwani unaongea kitu Gani usichoeleewa mgalatia??
Hoja iliyopo hapa ni kujitapa kwenu kuwa wasomi nchi hii ni nyinyi,eti nyinyi ndie wenhe IQ kubwa na elimu
Tukiwauliza elimu yenu faida yake Nini mbona Haina tija?
Mfano Tanesco mmejazana kama mmefungua kigango Cha Kanisa,kazi kuiba na kuzima umeme tuh,akili hizo mzitoe wapi makafiri??
Toka enzi ya Nyerere nyinyi wasomi ni wizi tuh hadi sasa Samia ni Rais Bado nyinyi ni vibaka tuh,hakuna la maana mnalojua
Huyo mpumbavu ana IQ ndogo.lkn umeme uliwaka kwa miaka 5 kutoka 2015-2021 mfululizo bila ya shida yoyote hata maji yalitoka 2015-2021 lkn alipongia raisi mpya ndani ya miezi 3 wakazima umeme na maji wakakata, why ? bado raisi hahusiki tu?
Socialism has nothing to do with karl marxSocialism ipo mashariki sio magharibi.
Kwanza Socialism has nothing to do na asili ya Karl Marx.
Nimekuuliza kuhusu nchi umeshindwa kutaja sijui nani kati yetu ajifunze ?!.
Unataka tuanze kufundishana hapa masuala ya communism, socialism, Capitalism, The communist manifesto, The wealth of nations, mambo ya kina Adam Smith, Karl Marx, Market economy, Planned economy na mengine mengi hivi ndio vitu unataka kujua mtu fulani anajua.
Turudi kwenye swali nililo kuuliza
Kichaa huyoBrother hasira zote hizi za nini? Yaani hii mada imekutoa povu kiasi hiki? Aisee unaishi vizuri na majirani zako kweli? Maana Kwa jazba za Aina hii ni hatari sana
Mbona Diamond yeye Sio Profesa. Akili darasani hakuwa nazo!? Usifananishe vituo visivyoendana.Nafikiri tusichukulie kipimo cha kufaulu mtihami wa darasani kama kigezo pekee cha kuwa na IQ kubwa
Kufanya hivyo ni kupima IQ kwa kutumia uwezo wa watu wa kukariri. Anaye jua ku kariri zaidi ndiye anaonekana ana akili zaidi
Umewahi kujiuliza wenye IQ kubwa kwenye ubunifu wapo kundi gani?
Mfano:
Kama unafikiri kuimba ni rahisi, chukua professor umshindanishe kuimba na Diamond
- Kuna wanamuziki/maigizo/sanaa
- Wood work
- Drawings/paintings
- Mechanics (wapo wakisikiliza tu ngurumo ya gari wanakuambia shida zake zote)
- Wale watu wa pwani kwa mfano wana vipaji vingi tofauti hasa michezo... kwa bahati mbaya havitambuliki
- nk nk nk
Bado nasisitiza kafiri baba Yako na mama Yako waliokacha imani za wazazi wao na kufuata imani ya muarabu .Unakasirika Nini kafiri wakati nakuambia ukweli??
Kafiri ni neno limetokana na lugha ya kiarabu ambayo maana yake ni MTU aliekufuru...
Ni MTU ambae ameacha kusadiki uwepo wa Mungu mmoja Muumba wa mbingu na ardhi,na vyote vilivyomo...matokeo yake amekimbilia kuchukua na kuweka Imani ya kiumbe Cha Mungu na kukiita Mungu,hapo umekufuru na that's why ukaitwa kafiri..usichukie ni Haki yako hiyo,unless otherwise fuata Haki unayopaswa kuifuata.
Umeelewa kafiri?
We jamaa ni mpuuzi sana hivyo ndivyo nilivyo andika ? CrazySocialism has nothing to do with karl marx
Hii statement imeonyesha jinsi gani una-upeo mdogo sana
Hivi unaelewa hata maana ya mashariki na magharibi au unajiandikia tu kama mwehuUgeruman mashariki ilikua inchi ya kisocialism, hata spain serekali iliyopo ni ya kisocialism
Hata china socialism ipo tu kwenye siasa laki sio kwenye uchumi sababu kuna mabillionnaire
Mifumo yote ya kiutawala imetoka western upende au usipende kijana wa madrasa
Hivi hii chuki uliyokua nayo unarafiki mkristo kweliKuna mjinga anasema eti IQ ni reasoning tu😅😅huyu dogo kamaliza form six juzi kisa kasoma philosophy...Wakati hata vipaji wanapima kwa IQ ...IQ ni kipimo tu kwa umahiri na uwezo wa mtu katika jambo fulani anaweza kuwa vizuri darasani ila hajui hata kucheza basi ana IQ kubwa darasani ila kweny Mpira wakina Messi na Ronaldo.
Socialism na capitalism zote zimeanzia ulaya unataka useme niniHivi unaelewa hata maana ya mashariki na magharibi au unajiandikia tu kama mwehu
Wee jamaa sidhani hata unafahamu hata unacho andika humu au unajiandikia tu