Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

Je, kuna tofauti ya IQ za Watanzania kutokana na dini zao? Kuna dini wanapasi sana, wanafeli sana, huwa wanabaguliwa na kudhulumiwa?

labda sijalielwa vizuri kama ni maendeleo chini is still a developing country, kwenye wto world trade organization china iko classified as developing country kama vile tanzagiza tu, kundi moja …
Unaongoea usivyovijua.

Wakati wa Magufuli, enzi za Vitambulisho vya Umachinga, Wapo watu ambao walikuwa ni wafanyabisahara wakubwa, lakini walikuwa wakinunua hizo ID na Kuzitumia. Why? Sababu ya manufaa ya kikodi unapoitwa Machinga.

Ndicho anachokifanya China hivi sasa. China anafanya kusudi kuendelea kujiclassify hivyo kwa sababu anapata unafuu wa kikodi kwenye WTO na hivyo bidhaa zake zinaendelea kuwa chini. Yapo maeneo ya chini bado yana umasikini [about 30% ya watu wake], na hafanyi jitihada za dhati kuwaendeleza ili aendelee kuitumia takwimu kumantains hiyo DEVELOPING ECONOMY STATUS. So, kimsingi China ni Developing Country at her discretion. HYBRID.
 
Kuna mwanasaikolojia mmoja aliwahi kusema kuwa Mtoto akianza kusoma yale maandishi yanayoanzia kulia kwenda kushoto anapungukiwa na Akili ingawa sina uhakika Sana
Tatizo mojawapo linaanzia hapo mtoto anachanganyikiwa madrasa anafundishwa kuandkika kutoka kushoto kwenda kulia shuleni anafundishwa kuandika kutoka kushoto kwenda kulia .Kichwa Cha mtoto kuyabeba Kwa umri wao inakuwa ngumu Tena madrasa anacharazwa viboko hasa kuwa lazima ajue na akariri Kurani huku masomo Elimu Dunia yanamsubiri ndipo hapo hukosa balance ya kichwa na kuamua ku concentrate Elimu ya dini anakojarazwa viboko na kulegea shuleni ambako viboko marufuku wKakati kwenye Ukristo agenda moja kuandika kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia chekecheea Hadi chuo kikuu
 
Tatizo mojawapo linaanzia hapo mtoto anachanganyikiwa madrasa anafundishwa kuandkika kutoka kushoto kwenda kulia shuleni anafundishwa kuandika kutoka kushoto kwenda kulia .Kichwa Cha mtoto kuyabeba Kwa umri wao inakuwa ngumu Tena madrasa anacharazwa viboko hasa kuwa lazima ajue na akariri Kurani huku masomo Elimu Dunia yanamsubiri ndipo hapo hukosa balance ya kichwa na kuamua ku concentrate Elimu ya dini anakojarazwa viboko na kulegea shuleni ambako viboko marufuku wKakati kwenye Ukristo agenda moja kuandika kutoka kushoto kwenda kulia kuanzia chekecheea Hadi chuo kikuu
Wewe ulisoma Madrasa?
 
Sio kweli.

Wachina, wajapan,wakorea maandishi yanaanzia tofauti pia. Sio waarabu tu...
Ni sahihi lakini Wana Elimu Yao inatumia maandishi hayo Toka chekecheea Hadi chuo kikuu Hadi PhD wanasoma Kwa Lugha ya kikorea ,kichina,kijapan

Waarabu na Waislamu hawana Hilo wakisoma wNakutana na opposite madrasa wanasoma kujenga uwezo wa kukariri tu na kuandika kutoka kulia kwenda kushoto halafu wakiinggia Shule na vyuo vinakazia uelewa sio kukariri na maandishi yanatoka kushoto kwenda kulia hapo ndipo kichwa Cha mwislamu hupata moto na kuchanganyikiwa
 
Wanabodi,

Kuna msemo wa kizungu usemao, "numbers don't lie" yaani numbers, haziongopi!.

Japo mimi nilipokuwa primary School nilikuwa mzuri wa hesabu, sekondari nikakutana na Additional mathematics, nilikuwa mzuri wa algebra, ila nilipoamua kufanya HGL A-Level, somo la hesabu nilipata C, sambamba na Chemistry, Physics, na Biology, zote nilipiga C!, lakini naomba kukiri, japo mimi sio mzuri kivile kwenye takwimu, lakini mtu akileta mada na kuivisha data za kimaghumashi, nina uwezo wa kubaini!.

Huko nyuma, tuliwahi kupishana na Mkuu Maalim Mohamed Said kwenye takwimu zake za idadi ya Wabunge Wakristo na Waislamu, ndani ya Bunge la JMT. Yeye alisema idadi ya wabunge Waislamu ni asilimia 6%, hii maana yake wabunge Wakristo ni asilimia 94%!, nilimbishia nikasema ni urongo!. Kwa Simulizi za Mwana JF, Maalim Mohammed Said, Sio Mtu wa Kubezwa, Mengine ni Ukweli Mchungu!, Ila Pia Sio Mtu wa Kupuuzwa!.

Ubishi huo ulianzia huku Mohamed Said: TANU kilikuwa chama cha Kiislam, hili hakuna mtu anayeweza kulipinga

Baada ya kumpinga with data estimates only kwa kutumia sampling ya wabunge wa Zanzibar tuu ndani ya Bunge la JMT ambao wote ni Waislamu, idadi hiyo ni over and above hiyo 6%! ile video ya urongo, iliondolewe kule YouTube!.

Sasa angalia takwimu hizi za matokeo ya mtihani wa darasa la 7 kwa mujibu wa Mkuu Maalim Mohamed Said

Kwenye takwimu hizi

Mkuu Maalim Mohamed Said ametoa hoja ya msingi sana na ameuliza
1. ama Waislamu wajinga
2. ama akili yao haifanyi kazi,
3. ama mtu ukiwa Muislamu wewe huna kitu,
4. ama kuna kitu.
5. Kisha akamuomba Waziri anayehusika, ajitokeze na aseme kwa hali ilivyo kama Waislamu wameumbwa wajinga.''
6. Mwisho ndipo kwenye hoja za bandiko hili, Maalim Mohamed Said amesema "huwa tunazungumza na wengi ndani ya serikali ambao wanajua kuwa hili ni tatizo ambalo ni muhali mkubwa kwa serikali kukiri kuwa ndani ya serikali kumekuwa na dhulma hizi"
Conclusion yake ni kuwa matokeo hayo kwa Waislamu ni wanafanyiwa dhulma, serikali wanajua kuhusu dhulma hiyo ila ni muhali kwa serikali kukiri kuhusu Waislamu kufanyiwa dhulma, hapa kwenye dhulma mimi ndipo nataka tuanze napo!.

Hatua ya kwanza ni authentication ya hizi data, kanuni ya kutoa data zozote ni lazima utaje source!, nauliza jee hizi data ni kweli Waliofanya mtihani wa darasa la saba kuingia darasa la tisa, asilimia 71% ni Waislamu na dini nyingine zote ni asilimia 29%?.

Hizi data za asilimia za idadi ya watu wa dini fulani, zinapatikaje?, naomba mtu asiibuke na kuniambia wametumia majina!.

Katika hiyo asilimia 71 % ya Waislamu waliofanya mtihani huo wa darasa la 7, waliofaulu kwenda sekondari ni asilimia 21% tuu, hii maana yake kati ya Waislamu waliofanya mtihani wa darasa la 7, waliopasi kwenda sekondari ni asilimia 21% ya wale asilimia 71% Waislamu, na kati ya wale Wakristu asilimia 29% waliopasi kuingia sekondari ni asilimia 79%. Hii ni kweli?!.

Kama hizi data za Maalim Mohamed Said ni data za kweli, then kuna shida mahali!, kuna tatizo!, linalohitaji critical analysis kulibaini na kulitafutia ufumbuzi wa kudumu kulitatua tatizo hilo!. Watanzania ni watu wamoja, haiwezekani tujione wamoja kumbe kuna wenzetu wanafanyiwa dhulma kubwa ya kihivi!.

Niliwahi kuuliza humu Inawezekana Vipi Zanzibar Kuna Div I, Div II, na Div III Chache, Ila Div IV na Div Zero Nyingi?!.

Pia nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ, Dini ya mtu na Longevity? Naomba kuwatumia Marais wa Tanzania kama Sampling

Nikauliza tena Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Na nikauliza Je, kuna uhusiano kati ya IQ ya mtu na kabila lake, umasikini wake au kimo chake?

Nashauri tufanye utafiti wa Idadi ya Waislamu na Wakristu kwenye maeneo yafuatayo

1. Kiwango cha umasikini kati ya Wakristo na Waislamu
2. Idadi ya wafanyabiashara
3. Idadi ya matajiri
4. Ufaulu wa darasa la saba
5. Ufaulu wa kidato cha 4
6. Udahili elimu ya juu
7. Asilimia kwenye astashahada
8. Stashahada
9. Shahada
10. Shahada za uzamili
11. Shahada za uzamivu
12. Idadi wafungwa, mahabusu na uhalifu.
13. Idadi ya jobless
14. Idadi ya wale dada zetu wanaofanya ile biashara ya usiku ya kuuza naniliu
15. Idadi ya wife materials na husbands material
16. Idadi ya kuoa na kuolewa
17. Utulivu kwenye ndoa
18. Broken homes
19. Single mothers
20. Wanaume wanaotekeza watoto.

Matokeo ya tafiti hizi, japo yata surprise wengi, lakini hizo data zitatusaidia kubaini kuwa tuna tatizo, hivyo tuanze kuchukua hatua kulitatua, vinginevyo, wachochezi wa udini, watakuwa wanaendelea kutulisha matango pori kuwa kuna dini wanapendelewa na kuna dini wanabaguliwa, kumbe the actual fact ni kuna wenzetu wanashida, wana matatizo, wanahitaji msaada na tuwasaidie, tusaidiane!

Paskali
Tunahitaji tafiti zitakazotoa njia ya kutatua changamoto zetu za kitaifa kama ukosefu wa umeme, mfumuko wa bei, ajira, afya, elimu, mazingira, nishati, teknolojia,Kilimo, uchumi n.k

Hayo ya Udini fanyeni nyie waumini mkitaka.
 
Tangu baada ya ww2, karibu 60% ya Mawaziri wakuu wote walioongoza Japan ni Wakristu (ni nane kwa ujumla). Mkristu wa mwisho kuwa waziri mkuu Japan alikuwa Shinzo Abe
Hoja yako bado hujaswma ni ipi, emu iseme tuokoe taifa letu
 
Ni sahihi lakini Wana Elimu Yao inatumia maandishi hayo Toka chekecheea Hadi chuo kikuu Hadi PhD wanasoma Kwa Lugha ya kikorea ,kichina,kijapan

Waarabu na Waislamu hawana Hilo wakisoma wNakutana na opposite madrasa wanasoma kujenga uwezo wa kukariri tu na kuandika kutoka kulia kwenda kushoto halafu wakiinggia Shule na vyuo vinakazia uelewa sio kukariri na maandishi yanatoka kushoto kwenda kulia hapo ndipo kichwa Cha mwislamu hupata moto na kuchanganyikiwa
Hata kiarabu kina maandishi yake. Wanasoma kiarabu mpaka ,PhD
Pengine hujui!!!
 
Labda Quran na hadith zibadilishwe. Zile sura zote na hadith za kutaka kuua wayahudi zibadilishwe ndipo wataelewana
Hakuna aya wala hadithi inayotaka wauwawe waisraeli ! Labda Mjerumani Hitler ndio alikuwa na mawazo hayo !
Wapalestina wanataka Ardhi yao iliyoporwa wanavyosema tangu lilipoanzishwa Taifa la Israel mwaka 1948 ,
 
Katika Circle yangu Waislamu niliona wako vizuri upstairs na wakuamini Ni wale Wasioenda Msikitini..

Potelea Kote bana, Nishambulieni.
 
Nchi maskini kuliko zote africa na duniani ni Burundi kaangalie majority ni dini gani?

Nchi yenye watu weny IQ ndogo kabisa Africa ni liberia ina wagalatia 83% ...😅😅😅sasa kaangalie Top ten ya weny IQ kubwa nchi zeny dominance ya wagalatia ni ngapi?
 
Mwanzilishi wa dini alikua hajui kusoma wala kuandika,alioa mtoto wa miaka 6 wakati yeye akiwa na miaka 54 na akamla akiwa na miaka 9. Alimpora mke mtoto wake wa kufikia na ili kuua soo akashushiwa verse ya kuzuia adoption ya watoto,huyu ndiye mfano wa kuigwa kwa watu wake.
 
Nilikuwa na marafiki zangu wawili Wasaudia, walikuwa wanalaani sana baadhi ya mambo ya uislam. Watoto wao wote waliwapeleka kusoma Canada wakidai kuwa wakiwapeleka nchi za kiarabu watafundishwa ujinga.

Wakati wa joto kali, walikuwa wanaenda kujivinjari US au Canada, wakidai huko ndiko unaweza mtu kufurahia maisha siyo nchi za Kiarabu.

Kama ni msafiri mzuri, ukipanda Emirates, wale mabinti, tena wale wa kiarabu, ni completely European kuanzia fikra zao mpaka mavazi yao. Ila wakiwa wanatoka pale Dubai, utawaonea huruma wanavyolazimika kwenda kubadilisha mavazi ili angalao wafanane na mabinti wa kiarabu, wenzao.

Hali hiyo imeanza hata hapo Zanzibar kwenye yale mahoteli ya wazungu. Mabinti wa kizanzibari wanapotoka nyumbani unakuta wamejivika mababui na mitandio, wakifika maeneo ya hotel, wanachojoa hayo manguo yote, na wengine wanapiga mini ambazo hata huku bara ni nadra kuziona.
Aisee wewe mbuzi imenidi nikutolee uvivu na huu upumbavu wa kudanganya bila hata aibu
Wewe mbuzi mweusi leo hii una rafiki wa kisaudia, nyani wahedi
Yaani mwarabu wa kisaudia bora hata ungesema waarabu choka mbaya hata kudanganya hujui, mbuzi kabisa
Halafu ukute, ni mbuzi fulani iko vijijini, kila siku ni stori za nilifika hii nchi mara nilikwenda huku
Shenzi taipu
 
Back
Top Bottom