FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 38,920
- 44,970
- Thread starter
-
- #81
That is very good, hyo federal president ndio atawawakilisha katika Muungano, hao wengine watakuwa wakuu wa mikoa sasa(ma - RC) kama Makonda tu..Hapo walipo wapo ndani ya muungano na wana Rais mmoja wa muungano japo kila kisiwa kina Rais wake.
Sawa Bibi 🤔Binaadam asiye na "pressure" huyo ni maiti.
Hahaha, eti sawa bibiSawa Bibi 🤔
Wako tayari kuwa Mali ya Ccm?That is very good, hyo federal president ndio atawawakilisha katika Muungano, hao wengine watakuwa wakuu wa mikoa sasa(ma - RC) kama Makonda tu..
Ndio wale waleHiyo ya pili iko vizuri..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji28][emoji1]
Ameshataga huyo sasa kakolea anataka kuzaa kabisa!Ndoto nzuri. Lakini kama tumeshindwa kutatua "kero za muungano" na visiwani kwa miaka yoooote, tukijiongezea visiwa vingine si ndio tutakuwa tumejiweka vibaya kabisa?
Mkuu una hakika na hili ulisemalo?KWA KUWA RAIS WAO ALISHAOMBA MARA NYINGI TU TUUNGANE NAO SIONI TATIZO ISIPOKUWA MAMBO HAYA YAFANYIKE HATUA KWA HATUA,HUKU JESHI LAO LIKISATENDA MAMLAKA KWA JWTZ,TANZANIA ITAKIWA KUBWA NA IMARA NA SOKO LETU PEKEE LITAKUWA KUBWA MNO.
Naona unataka kumzidi kete ndugu yangu nitavalia njuga huu mjadala unikimbie ajuza shauri yakoHuwezi "kukwapua" kidiplomasia. Huo ni ujinga.
Halafu eti tutatuma wanadiplomasi. Ulikuwa hata huelewi kuwa tuna diplomats tangu zamani sana huko Comoro na wala huelewi kuwa tuna mahusiano na mikataba ya ushirikiano. Hivi huwa mnalala mnaota au mnakuwa mmevimbiwa maharage na dona?
Stupid ideas.
Sasa kama aliomba kuungana tunasubiri nini???!, umoja ni nguvu, si unaona Zenji walivyo powerful? Leo hii hata wale waarabu wa Oman hawatii pua pale.., wako very safe.KWA KUWA RAIS WAO ALISHAOMBA MARA NYINGI TU TUUNGANE NAO SIONI TATIZO ISIPOKUWA MAMBO HAYA YAFANYIKE HATUA KWA HATUA,HUKU JESHI LAO LIKISATENDA MAMLAKA KWA JWTZ,TANZANIA ITAKIWA KUBWA NA IMARA NA SOKO LETU PEKEE LITAKUWA KUBWA MNO.
Zitumike mbinu za kidiplomasia, ikishindikana kwa ustaarabu basi liundwe zengwe na vikwapuliwe kwa nguvu, maana wanasema umoja ni nguvu, ni kama Zanzibar tu ikivyonyakuliwa. Nasema hivi maana kuna kitu cha ajabu sana nimekigundua baada ya kuencounter wacomorro kadha wa kadha katika mizunguko hasa ya Kariakoo.
Kiukweli hawa watu wanajiina ni waTanzania kamili kabisa, na wanataka haki zote sawana mTanzania mwingine yeyote yule. Yaani uFaransa anatoka alikotoka kisha anakuja uwani kwetu kumiliku kisiwa, huu ni upunguani wa wapi huu?
Tunaomba tupewe historia ya Commoro kwanza ili tujue tulikwama wapi?
Moja ya manufaa makubwa sana ambayo nimeyaona kwa integration tuliyoifanya na Zanzibar ni 'huge economic, social & political cooperation', fikiria ni kwa urahisi kiasi gani Tanesco imeweza kuuza umeme mwingi sana visiwani bila vikwazo vyovyote, fikiria namna wanafunzi wanapokuja kusoma vyuo vikuu vya bara na kupata mikopo minono ya Heslb bila hiyana wala vikwazo vyovyote vile, pia ona jinsi watu toka visiwani wanavyokuja kupata ajira na kufanya biashara bara bila usumbufu, fikiria jinsi bara tunavyoagiza maziwa toka Zanzibar bila shida yeyote ile, faida ni lukuki.
Lakini ninachokisikia kwa chini ya kapeti ni kwamba kisiwa kimoja wapo cha Comoros kinachomilikiwa na wazungu kinatumika vibaya kutunyonya na kututikisa, mfano eti kuna wakati walikuwa wananunua ng'ombe maelfu kwa maelfu, wanapelekwa hapo kisiwani, wanachakatwa kisha nyama kupelekwa paris, lakini kiutaratibu walipaswa watengeneze kiwanda cha kuchakata hizo nyama hapa nchini kisha zisafirishwe kwenda paris tokea hapa na mapato stahiki ya kodi ya baki hapa, huo ni mfani tu.
Kingine ni Tax evasion techniques kama zile zinazofanyika visiwa vya Seychelles, ni kwamba kampuni inacheza sarakasi kwa kutumia mamlaka za visiwa zilizopo karibu na nchi yako, hivyo wanakuja kufanya biashara kwako lakini base yake anaiweka uwani kwako ambapo huwezi kumfikia sababu ni mamlaka ya mtu mwingine, hii michezo ilitaka kufanyika kwa kuitumia Zanzibar hasa katika uagizaji wa sukari na spea za pikipiki, lakini kwakuwa tuna-control na Zenji ilikuwa ni rahisi kwetu kudhibiti hali hiyo.
===============================
===============================
Likes 15 tayari [emoji3][emoji106][emoji122][emoji123]
Naona unataka kumzidi kete ndugu yangu nitavalia njuga huu mjadala unikimbie ajuza shauri yako
mahitaji karibubyote ya chakula inshort wa comorp ndio wanafanya dagaa na oviungo kuwa ghari japo na wao wamezungukwa na bahariTanzania tunauza nini kwenda Comoro? Tuanzie hapo..
Viazi mviringo vya mbeya na njombeTanzania tunauza nini kwenda Comoro? Tuanzie hapo..
Kwanza ni mzigo,ni kisiwa ambacho siyo productive,ardhi kubwa ni matumbawe hailimiki,ni tabaka la watu wavivu wanaotegemea ndugu zao waliopo ufaransa.sasa tuwachukue wa nini?tupambane na kina hami j wetuhapo zenjiber tu kamas zinatutoka ndio ije kuwa comoro?pale wana visiwa vitatu kama zenji vyenye wakaazi,kutokana na fujo zao za uchaguzi sasa wameamua hakuna kupiga kura ila wanafanya zamu ya kutawala kila kisiwa kinatoa mtu wao .
miaka michache nyuma mmoja wa rais wa kisiwa kimojawapo aligoma kuachia kiti ndio akatimuliwa na wanajeshi wa tz bila hata risasi kuruka wafuasi waliposikia zogo la nyimbo za kuhamasisha kuto kwa wajeda wetu kakikimbia mbio tena kajifanya demu asinyakwe