Je, kuna ubaya Tanzania ikavikwapua na kuvifanya visiwa vya Comoro sehemu ya Tanzania?

Hapo walipo wapo ndani ya muungano na wana Rais mmoja wa muungano japo kila kisiwa kina Rais wake.
That is very good, hyo federal president ndio atawawakilisha katika Muungano, hao wengine watakuwa wakuu wa mikoa sasa(ma - RC) kama Makonda tu..
 
Tukishavikwapua comoro, na utaleta uzi mwingine tukwapue na shelisheli haiko ivo mkuu ndio mana tumemdunda iddi amin.
 
KWA KUWA RAIS WAO ALISHAOMBA MARA NYINGI TU TUUNGANE NAO SIONI TATIZO ISIPOKUWA MAMBO HAYA YAFANYIKE HATUA KWA HATUA,HUKU JESHI LAO LIKISATENDA MAMLAKA KWA JWTZ,TANZANIA ITAKIWA KUBWA NA IMARA NA SOKO LETU PEKEE LITAKUWA KUBWA MNO.
 
Muulize kilichomkuta Sadam baada ya kuivamia na kuikalia kijeshi Kuwait.Kwa nguvu gani iliyonayo Tanzania ukawaza hayo?
 
Ndoto nzuri. Lakini kama tumeshindwa kutatua "kero za muungano" na visiwani kwa miaka yoooote, tukijiongezea visiwa vingine si ndio tutakuwa tumejiweka vibaya kabisa?
Ameshataga huyo sasa kakolea anataka kuzaa kabisa!
 
KWA KUWA RAIS WAO ALISHAOMBA MARA NYINGI TU TUUNGANE NAO SIONI TATIZO ISIPOKUWA MAMBO HAYA YAFANYIKE HATUA KWA HATUA,HUKU JESHI LAO LIKISATENDA MAMLAKA KWA JWTZ,TANZANIA ITAKIWA KUBWA NA IMARA NA SOKO LETU PEKEE LITAKUWA KUBWA MNO.
Mkuu una hakika na hili ulisemalo?
 
Naona unataka kumzidi kete ndugu yangu nitavalia njuga huu mjadala unikimbie ajuza shauri yako
 
KWA KUWA RAIS WAO ALISHAOMBA MARA NYINGI TU TUUNGANE NAO SIONI TATIZO ISIPOKUWA MAMBO HAYA YAFANYIKE HATUA KWA HATUA,HUKU JESHI LAO LIKISATENDA MAMLAKA KWA JWTZ,TANZANIA ITAKIWA KUBWA NA IMARA NA SOKO LETU PEKEE LITAKUWA KUBWA MNO.
Sasa kama aliomba kuungana tunasubiri nini???!, umoja ni nguvu, si unaona Zenji walivyo powerful? Leo hii hata wale waarabu wa Oman hawatii pua pale.., wako very safe.
 

Zanzibar na mafia zimewashinda mnataka Comoro? Mafia hakuna usafiri wa uhakika , Zanzibar ni aksante Barekhsa.
 
Nyerere angekuwa makini kidogo,Uganda lingekuwa koloni letu,nchansi ya kuingiza jeshi mle ilikuwa golden chansi,wazungu wachina wakitua mahala jeshi hawaondoki kirahisi.Hivi tulishindwa kuikalia Uganda walau miaka 10.Tungevuna Kodi kufidia vita.Hilo kosa lisije kujirudia tena iwapo tutapata kachansi ka kuingiza jeshi mahala.On a wenzetu Kenya wanajivunia tu Kule Somalia sisi tulishindwa nini Comoro hali nchi tuliitwaa ndani ya Siku mbili.Islaeli wakifanikiwa kushinda vita wanaikalia ardhi milele,sisi tunashindwa wapi? Tukumbuke Afrika inabidi iwe moja na haiwezi kuwa kwa mwendo was sasa Ila inahitajik ubabe uje utumike.
 
Kwanza ni mzigo,ni kisiwa ambacho siyo productive,ardhi kubwa ni matumbawe hailimiki,ni tabaka la watu wavivu wanaotegemea ndugu zao waliopo ufaransa.sasa tuwachukue wa nini?tupambane na kina hami j wetu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…