Je, kuna ugonjwa wa hamu ya kufanya mapenzi?

Je, kuna ugonjwa wa hamu ya kufanya mapenzi?

masai dada

JF-Expert Member
Joined
Dec 29, 2013
Posts
16,207
Reaction score
14,343
Wakati nasoma sekondari kuna dada alikuwa hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu.

AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikuwa tunamsindikiza) japo tulikuwa bweni.

Kwa uoga tulisema HANA lakini alikuwa nao na akigombana na one of them ndo anaumwa na kujaamiiina ilikuwa kawaida sana kwake.

Sasa basi juzi nikaambiwa mtu fulani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina.

SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?
 
Ni kweli,wengine huwa na tabia ya kuchekacheka kama mapunguani hasa shule za boarding zenye girls watupu wanaofungiwa sana.
 
hivi wale ma nuns wanapataga hayo magonjwa wao si hawaruhusiwi kufanya hayo makitu
 
nakumbuka kipindi cha shule secondary ....sisi watoto wa St.()

tulikuw tunapelekwa kwa debate then party kipindii cha mitihani mikubwa ikikaribia...
 
Ni mental condition, kule kwetu wanapatiwa msaada wa kisaikolojia kama wengine. Huku ndio unaambiwa genye mshindo.
Kwa upana zaidi soma kuhusu Hypersexuality
 
naweza sema kuna uhusiano kabisa..... maana nakumbuka enzi niko secondary mafuta ya taa kwene maharage ni meng kweli vilevile kulikuwa na ugonjwa wa wanafunzi kuchekacheka hovyo baadae wakasema extiria dawa yake ni kujamiiana kila mwisho wa mwezi vijana kutoka iyunga washatimba kila mtu na wake kule migombani haha haha wakitoka huko wanakuja kwetu st fransins sasa madoctor wao wenyewe walisema hiyo ndio dawa,ugonjwa ukizid mafuta ya taa kwa mboga jamani yale maisha looo yalikuwa mazuri sana
 
Ni kweli,wengine huwa na tabia ya kuchekacheka kama mapunguani hasa shule za boarding zenye girls watupu wanaofungiwa sana.

inatokana na nini

je ni ugonjwa ama
 
nakumbuka kipindi cha shule secondary ....sisi watoto wa St.()

tulikuw tunapelekwa kwa debate then party kipindii cha mitihani mikubwa ikikaribia...

mmmh vipi kuhusu masister
 
Ni mental condition, kule kwetu wanapatiwa msaada wa kisaikolojia kama wengine. Huku ndio unaambiwa genye mshindo.
Kwa upana zaidi soma kuhusu Hypersexuality

daah aiseee
 
naweza sema kuna uhusiano kabisa..... maana nakumbuka enzi niko secondary mafuta ya taa kwene maharage ni meng kweli vilevile kulikuwa na ugonjwa wa wanafunzi kuchekacheka hovyo baadae wakasema extiria dawa yake ni kujamiiana kila mwisho wa mwezi vijana kutoka iyunga washatimba kila mtu na wake kule migombani haha haha wakitoka huko wanakuja kwetu st fransins sasa madoctor wao wenyewe walisema hiyo ndio dawa,ugonjwa ukizid mafuta ya taa kwa mboga jamani yale maisha looo yalikuwa mazuri sana

mmmh masister si wangekua wanakunywa mafuta taa kama maji
 
wakati nasoma sekondari kuna dada alikua hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu.

AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikua tunamsindikiza) japo tulikua bodin

kwa uoga tulisema HANA lakini alikua nao na akigombana na one of them ndo anaumwa

na kujaamiiina ilikua kawaida sana kwake

Sasa basi juzi nikaambiwa mtu flani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina

SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?

Hata kujenga hoja huwezi. Kabla ya ku-post hapa, jaribu kusoma bandiko lako ili ujiridhishe kuona kama ulichokusudia kuandika kina mantiki. In brevity, hueleweki.

 
Hata kujenga hoja huwezi. Kabla ya ku-post hapa, jaribu kusoma bandiko lako ili ujiridhishe kuona kama ulichokusudia kuandika kina mantiki. In brevity, hueleweki.


hao waliokoment ni kina nani?????ni mimi au ni jf member???
huwlewi sababu wewe ni kil....a sasa sio lazima ukoment kama hujaelewa ungepita kwingine
 
wale wanakaa ndani ya ngome ,kinachoendelea ndani ya hayo mageti iwe usiku au mchana huwezi jua.

hapana lakini unajua hili swala la wanafunzi linahitaji uchunguzi wa kina kwa nini wawe hivyo
 
Hata kujenga hoja huwezi. Kabla ya ku-post hapa, jaribu kusoma bandiko lako ili ujiridhishe kuona kama ulichokusudia kuandika kina mantiki. In brevity, hueleweki.


Mbona kavu wewe ! wacha kuharibu topics ! huna hoja ingia mitini usituchafulie !
 
Back
Top Bottom