masai dada
JF-Expert Member
- Dec 29, 2013
- 16,207
- 14,343
Wakati nasoma sekondari kuna dada alikuwa hadi anazimia mara adondoke yaani tabu tupu.
AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikuwa tunamsindikiza) japo tulikuwa bweni.
Kwa uoga tulisema HANA lakini alikuwa nao na akigombana na one of them ndo anaumwa na kujaamiiina ilikuwa kawaida sana kwake.
Sasa basi juzi nikaambiwa mtu fulani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina.
SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?
AKIPELEKWA HOSPT MADAKTARI WANATUULIZA je ana mpenzi?( maana tulikua tunatoka sehemu moja hivyo tulikuwa tunamsindikiza) japo tulikuwa bweni.
Kwa uoga tulisema HANA lakini alikuwa nao na akigombana na one of them ndo anaumwa na kujaamiiina ilikuwa kawaida sana kwake.
Sasa basi juzi nikaambiwa mtu fulani muacheni tu awe hata na watoto maana hawezi lala bila kujamiina.
SASA NIKABAKI NA SWALI JE HUO NI UGONJWA au nikujiendekeza?