Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Embu ficha ujinga wako mbele za watu
Ibn Abbas anapoongea wewe ficha mkia na ujifiche chini ya meza , huyo ni binadamu yake muhammad


Ibn Abbas, Koran 34:13 They made for him what he willed: synagogues and statues of angels, prophets and other righteous servants so that people look at them and follow their example of worshipping Allah,
 
Nafikiri wewe ndio mjinga wa Mwisho ambaye huna hata elementary knowledge ya Quran
Namaanisha ukisha weka sura (ref ya Quran) SURAT SABAA 34:13 hapo hakuna mtu yeyote anayetakiwa kuwa reference mbadala na hata kama angekuwa ni mtoto wa mtume; reference pekee inayotumika ni hiyo ya Quran SURAT SABAA 34:13 na sio hiyo ya kwako iliyo ghushiwa!
 
Mapepo ndio yaliagizwa na Allah yakajenge msikitini na Kuweka masanamu

Ni amri ya Allah
Kama yale yaliompanda "Mungu" siku 40, au "Mungu" wako wewe sio Yesu?

Wewe wa kanisa lipi?
 
Wewe ni mjinga na mpuuzi Koran lazima itegemee tafsir bila tafsir hakuna bina chini ya Jua anaweza elewa Koran

Nimekwambia Ibn Abbas anapoongea wewe ficha mkia na ujifiche chini ya kiti
Huyu ni binadamu yake muhammad
 
Kama yale yaliompanda "Mungu" siku 40, au "Mungu" wako wewe sio Yesu?

Wewe wa kanisa lipi?
Nimeshakujibu , kanisa lolote linaloamini utatu mtakatifu Mimi ndio wa kabisa hiyo

Usitake nirudi kwa muhammad alipo kuwa Lucifer anaongea kwa kinywa chake mpaka aka sujudu kwa kina uza manat na mwingine wa tatu

Muhammad alikuwa full control by the Lucifer
 
Huyo hawaombi wafu, anawaombea wafu.
ZABURI 49:6-7

“Wa hao wanaozitumainia mali zao, Na kujisifia wingi wa utajiri wao; Hakuna mtu awezaye kumkomboa ndugu yake, Wala kumpa Mungu fidia kwa ajili yake”


AKILI KICHWANI KWAKO

UNAFANYA UFUSKA UKISUBIRI UKIFA UOMBEWE,TOKA NJE YA BOX UISLAMU MMETAPELIWA
 
Wewe ni mjinga na mpuuzi Koran lazima itegemee tafsir bila tafsir hakuna bina chini ya Jua anaweza elewa Koran

Nimekwambia Ibn Abbas anapoongea wewe ficha mkia na ujifiche chini ya kiti
Huyu ni binadamu yake muhammad
Nimesoma Quran na Biblia Vizuri hivyo ninajua ninacho kiandika
yaani hata kwa akili ya darasa la nne, huwezi kuweka ref 34:13 halafu uandike kitu ambacho hakipo kwenye hiyo reference. Nyie ndio mnapotosha waumini huko mahekaluni mkijiona mnaelewa kuliko wengine!
Ukitaka kutumia hiyo tafsiri yako ya Kimagumashi; ungeacha kuweka hiyo reference ili uwadanganye wajinga wenzako!
 
Kijana Rudi madrasa hujui Koran wewe
Hakuna binadamu anaweza elewa Koran bila tafsir

Nachowaweza waislamu humu nasoma Koran na nasoma maelezo Yao

Koran ni mashahiri yasiyo na maelezo unaimba tu ila ukitaka maana lazima usome tafsir kama wewe husomi tafsir hakuna unacho Jua kuhusu koran
 
Inaonekana walikulawiti,pole sana, leo zenji imekuwa ya waitaliano tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…