Jackwillpower
JF-Expert Member
- Oct 4, 2017
- 2,467
- 3,687
sio mm ni kitabu chenuHiyo ndiyo mnadanganyana kuwa ni suratul Baqarah? Aya ya ngapi?
Mnajitungia uongo mkidhani mtaufanya kuwa ni ukweli?
naona wewe unaongelea wale wanaojisomea nyumbaniKijana Rudi madrasa hujui Koran wewe
Hakuna binadamu anaweza elewa Koran bila tafsir
Nachowaweza waislamu humu nasoma Koran na nasoma maelezo Yao
Koran ni mashahiri yasiyo na maelezo unaimba tu ila ukitaka maana lazima usome tafsir kama wewe husomi tafsir hakuna unacho Jua kuhusu koran
Ukweli ubaki kuwa ukweli , hakuna binadamu anaweza elewa Koran bila tafsir , hili tumemalizanaona wewe unaongelea wale wanaojisomea nyumbani
ungeniuliza kwanza, nimesomea wapi hiyo Quran na kwa miaka mingapi na nimegraduate level gani ?
Bila kusahau kuniuliza na Biblia nimesoma Level gani
Nafikiri utaweza kujua kuwa unayebishana naye anaweza kuwa mfasiri wa hiyo Quran
Wewe ni wa kanisa lipi?
6:7 - Na lau tungeli kuteremshia kitabu cha karatasi, wakakigusa kwa mikono yao, wangeli sema walio kufuru: Haya si chochote ila ni uchawi dhaahiri.Uslamu hauna Uhusiano na Uganga..
hao sio wakristo ni wapagani tu kama waislamu, UKRISTO HALISI UNAKATAZA SANAMUkama wewe ni mkristo umeshawahi kuwaza kwanini wakristo wanaabudu masanamu? Tena yapo hadi makanisani,
Mkuu nje ya mada ww msabato?Mk 16:16 SUV
Aaminiye na kubatizwa ataokoka; asiyeamini, atahukumiwa.
Nimependa maelezo yako.Hapana, jina la Kiislaam ni jina lolote zuri, lenye maana nzuri. Siyo jina ambalo hata kulitamka mbele ya watu ni kazi. Mfano mtu anaitwa M'boro. Inahusu nini.
Kuna Waarabu ambao siyo Waislam.
Hilo ni neno la MUNGU ndugu,si maneno yangu,mm nimenukuu tuMkuu nje ya mada ww msabato?
Ila mimi binafsi naona dini zote zina mapungufu yake, hakuna iliyokamilika. Tuishi kwa upendo na tusizisemee zingine vibaya. Dini zenyewe tuliletewa tu.
Mwasema hivo, mimi ni mkristo hata kabla sijabatizwa coz niliishi kwa kufata misingi ya dini hiyo.Sio "twasema". Wewe kabla ya kubatizwa ulikuwa dini ipi?
Unajuwa maana ya Uislam?
Swali la kwanza, unajidanganya kuwa uliishi "Kikristo". Hakuna kuishi Kikristo kwa kuwa Ukristo sio mfumo wa maisha.Mwasema hivo, mimi ni mkristo hata kabla sijabatizwa coz niliishi kwa kufata misingi ya dini hiyo.
Uislam ni dini kama ulivyo Ukristo.
Kuishi kikristo ni kuish kadri ya vitabu vya dini ya kikristo vinavyoelekeza.Swali la kwanza, unajidanganya kuwa uliishi "Kikristo". Hakuna kuishi Kikristo kwa kuwa Ukristo sio mfumo wa maisha.
Wewe ni mkristo wa "kanisa" lipi?
Nimekuuliza nini maana ya neno "Uislam". Huwezi ufananisha Uislam na Ukristo kwani hata maana ya maneno hayo mawili ni tofauti kabisa kama mbingu na ardhi. Labda hata maana ya neno Ukristo huielewi. Kama unaielewa tufahamishe uelewavyo.
Ingia hapa nenda kafute , na uwaletee noma kwa nini wameandika hivyoNafikiri wewe ndio mjinga wa Mwisho ambaye huna hata elementary knowledge ya Quran
Namaanisha ukisha weka sura (ref ya Quran) SURAT SABAA 34:13 hapo hakuna mtu yeyote anayetakiwa kuwa reference mbadala na hata kama angekuwa ni mtoto wa mtume; reference pekee inayotumika ni hiyo ya Quran SURAT SABAA 34:13 na sio hiyo ya kwako iliyo ghushiwa!
Who cares.Not you old lady
Not you
Sifahamu maana ya Eric. Kwanini liwe Eric? kuna mashujaa wa Kiislam wengi sana na wana majina mazuri mazuri. Eric maana yake nini na lina historia ipi?Nimependa maelezo yako.
Sawa mfano Eric lina maana nzuri niliwahi kusoma maana yake kwa wenye lugha yao. Je, ni la kiislam pia? Itafaa kwa muislam kumuita mwanae hivyo? Msaada tafadhali
Eric maana yake forever ruler limetokana na Ujerumani ya kale.Sifahamu maana ya Eric. Kwanini liwe Eric? kuna mashujaa wa Kiislam wengi sana na wana majina mazuri mazuri. Eric maana yake nini na lina historia ipi?