Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Hii vipi, tumshauri nani afute zaidi yako Mkristo usiye na kanisa? Soma...

1 Mambo ya Nyakati Mlango 21​


Tena shetani akasimama juu ya Israeli, akamshawishi Daudi kuwahesabu Israeli.


Hayo maneno ya Mungu au Shetani?

std7 msaidie mwenzako kujibu.

1 Mambo ya Nyakati Mlango 21- 1~17​


ni kweli shetani alimshawishi Daudi awahesabu watu. Si Mungu aliyemtuma Daudi kufanya hayo. Daudi aliadhibiwa pamoja na watu wa mji wake.
Lakini mwisho wa kosa lake, tunaona Daudi anaungama pamoja na wazee na kukiri kwamba alikosea.

Mungu Huwakubali Wanyenyekevu & kuwasamehe makosa yao kama ilivyokuwa kwa Daudi.
UWE UNASOMA HABARI YOTE, SIO KUKOSOA KWA KAMSTARI KAMOJA KALIKO USHIKA MOYO WAKO.
 
Wewe wa kanisa lipi? Nikupe ushahidi.
1648505586092.png
 
Vipi, "mungu" alipokufa, kwa mafundisho ya Kikristo, nani aliiendesha dunia?

Yn 10:17-18 SUV​

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
 
Haswaa, hayo mjiulize nyie mnaojidai Yesu kafa kwa ajili ya kuwakomboa dhambi zenu.

Eti ni kweli kila anetundikwa mtini kalaaniwa?
NIMEGUNDUA KUWA WANAOMCHUKIA PAULO NA YESU NI KWA SABABU SHETANI NAYE NI MWISLAM
1648505976459.png
 
"twasema". Wewe kabla ya kubatizwa ulikuwa dini ipi?

Unajuwa maana ya Uislam?
KUJIITA MWISLAMU AMA KUSILIMU HAKUTAKUSAIDIA MAANA JEHANAMU LAZIMA UTUPWE USHAHIDI QURA 6:158 TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARY USHAHIDI HUU HAPA KWA HIYO POLENI SANA WOTE WAISLAMU MAANA KUJIITA MWISLAMU HAKUTAKUOKOA NA JEHANAMU
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

MUHAMMAD SIYO MWOKOZI NA MTETEZI WAKO SIKU YA KIYAMA USHAHIDI HUU HAPA
HIZI AYA ZA QUR'AN 3:85 NA QUR'AN 3:19 ZINAWADANGANYA MAANA QUR'AN 6:158 MWISLAMU LAZIMA UTUPWE JEHANAMU PAMOJA NA HADITHI ZINATHIBITISHA HILO
✔️
Qur'an 3:85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
✔️
Qur'an 3:18 Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
➖
➖
➖
➖

ALLAH KASEMA MWISLAMU LAZIMA UIENDE JEHANAMU USHAHIDI HUU CHINI KWA HIYO KUJIITA MWISLAMU HAKUTISHI USHAHIDI HUU CHINI
QURAN TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY
✔
Quran 6:158 Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika,[kuwatoa roho] au iawafikie [adhabu kamali) ya Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi? Siku zitakapo fika baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi, kuamini hapo hakutomfaa mtu[kafiri] kuamini imani yake ambaye hakuwa ameamini zamani au Mwislamu ambaye hakuchuma kheri katika Uislamu wake Basi Ngojeni, nasi pia tunangoja. [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]
1648506756392.png

1648506818378.png
 
Mutah, mabikira 72...ndio maana kuna watu wanapigana kufa na kupona.
Mutah ni sexual pleasure ambayo inalipiwa Allah kasema mfanye hii kwa siku tatu au zaidi , Sheria yake ni mtoto ata akizaliwa hana haki yoyote kwa baba na wala hataweza kumjua baba yake
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

KUJIITA MWISLAMU AMA KUSILIMU HAKUTAKUSAIDIA MAANA JEHANAMU LAZIMA UTUPWE USHAHIDI QURA 6:158 TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARY USHAHIDI HUU HAPA KWA HIYO POLENI SANA WOTE WAISLAMU MAANA KUJIITA MWISLAMU HAKUTAKUOKOA NA JEHANAMU
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖
➖

MUHAMMAD SIYO MWOKOZI NA MTETEZI WAKO SIKU YA KIYAMA USHAHIDI HUU HAPA
HIZI AYA ZA QUR'AN 3:85 NA QUR'AN 3:19 ZINAWADANGANYA MAANA QUR'AN 6:158 MWISLAMU LAZIMA UTUPWE JEHANAMU PAMOJA NA HADITHI ZINATHIBITISHA HILO
✔️
Qur'an 3:85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
✔️
Qur'an 3:18 Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.
➖
➖
➖
➖

ALLAH KASEMA MWISLAMU LAZIMA UIENDE JEHANAMU USHAHIDI HUU CHINI KWA HIYO KUJIITA MWISLAMU HAKUTISHI USHAHIDI HUU CHINI
QURAN TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY
✔
Quran 6:158 Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika,[kuwatoa roho] au iawafikie [adhabu kamali) ya Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi? Siku zitakapo fika baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi, kuamini hapo hakutomfaa mtu[kafiri] kuamini imani yake ambaye hakuwa ameamini zamani au Mwislamu ambaye hakuchuma kheri katika Uislamu wake Basi Ngojeni, nasi pia tunangoja. [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]
View attachment 2168748
View attachment 2168749
Ya kuambiwa changanya na yako.

Unaweka tafsiri za binadam wenzako kuwa ndio muongozo wako badala ya kuisoma mwenyewe Qur'an na kuielewa?

Hivi kuna binadam yupi duniani katika (Arsh yake) himaya yake ya kifikra, anaeweza kuwa na upeo japo wa asilimia 1 ya Muumba wetu? Fikiri kabla hujaja na mafundisho ya kibinadam.

Kumbuka; Mtafsiri yeyote yule kaweka fikra zake binafsi tu, unachotakiwa ni wewe usome. Qur'an imesisitiza "SOMA" siyo usomewe. Wewe unaisoma Qur'an ambayo haina shaka au unasoma maneno ya binadam wenzio na kuyaamini kuliko ya Muumba wako? Fikiri kabla hujajibu kijinga kwa ajili ya kubisha tu. Kuwa mkweli wa nafsi yako unapojibu.

Hizo tafsiri zako unazobandika, hata uzijaze kwa magari, hazina mashiko yoyote na haziwezi kabisa kuwa mbadala ya Maneno pekee ya Allah ambayo hayajabadilika toka yashushwe, na hayatobadilika na ndiyo maneno pekee yaliyohifadhiwa vifuani mwa watu kuliko maneno ya kitabu chochote ukijuacho. Yapo kwenye Qur'an pekee.
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Naona maneno ya Qur'an yanakushinda, sasa unaleta vikatuni vya kejeli za kijinga. Huo ndiyo Ukristo unavyokufundisha?


 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Inakushangaza hiyo, umesahau Yesu alikumbwa na Ibilisi kwa siku 40? Sasa fikiri, mungu wako kakumbwa na shetani. Jinni la kishetani si wewe mmojawapo? Unajisahau? Au huelewi maana ya Jinni nikupe darsa?
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

NIMEGUNDUA KUWA WANAOMCHUKIA PAULO NA YESU NI KWA SABABU SHETANI NAYE NI MWISLAM
View attachment 2168742
Unaleta mafundisho ya Kikristo? Huwezi ku i replace Qur'an kwa maneno ya watu. Kumbuka hilo.

Kadanganye wa Sunday School wenzako, Waislaam tupo mbali na huo upuuzi unaoubandika hapa.
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Hizo porojo zako kopi na pesti za maandiko ya binaadam wenzako hazikusaidii kuukimbia ukweli.

Vipi, Mungu anajaribiwa na Ibilisi? Soma...

a Luka 4:
Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani,
2 akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.
 
Si hao tu. Kuna wengi sana, jiulize kwanini wanabadilishwa majina?

Hawajaishia huko tu, hata hapa kwetu Afrika wametoka mabingwa wa Kiislam, mbona hatuwasomi hapa kwetu? Kuna kina Ibn Batuta, walioiandika Kilwa na pwani ya Afrika Mashariki kabla ya 'akina" Vasco Da Gama.

Kuna bint wa Kiislaam aliyeanziaha chuo kikuu cha kwanza kabisa duniani, anaitwa Fatma Al Fikhri, unalijuwa hilo?

Unafahamu kuwa hii uijuayo sasa kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar? Mbona hatuyasomi hayo?

Unajuwa kuwa Mbantu kihistoria ni mtu wa kuja tu pwani ya Afrika Mashariki? Mbona hatuyasomi hayo? Aliwakuta kina nani Mbantu alipokuja pwani ya Afrika Mashariki? Ushajiuliza hayo?


Ilikuwaje, utawala wa Kabka na huko Uganda na Kagera vazi la heshima na la asili kwao kuwa ni kanzu? Umeshayasoma hayo? Mbona hayasemwi?

Umeshajiuliza kwanini vazi la heshima kwa wahehe ni kanzu, yes, kanzu hizi za Waislam.

Umeshajiuliza kwanini kuna miji mikubwa chini ya bahari ya Kilwa, hatujulishwi historia yake na wana historia wa Chuo Kikuu cha Dar wapo huko wanafanya tafiti?

Umeshajiuliza kwanini mabaki ya Kilwa yamewekwa kwenye uriti wa dunia na yanalindwa na Umoja wa Mataifa yasiharibiwe? Je ni nani walioacha hayo mabaki na kuna historia ipi hapo?

Umeshajiuliza kama kuna mabaki hapo Kilwa, vipi kuhusu Pwani yote ya Tanzania?



Kuhus Qur'an kama ulivyochomekea mwisho hapa...

Hapana, kitabu hakijaungwa na yeyote zaidi ya aliyeshushiwa aya hizo, akisema aya hii husomwa hivi, kabla ya hii na hii husomea hivi baada ya hii na hii ni aya sura hii na hii ni aya ya sura fulani.


1) Umeisoma Qur'an?

2) Wewe ni wa kanisa lipi?


Qur'an imeshushwa kwa miaka 23 kidogo kidohgo kwa Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam. Utapoisoma na utapo uelewa mpamgilio wake kisayansi ndipo utakapoelewa kuwa si Abubakar (Alayhi Salaam), si Muhammad (Salla Allahu Alayhi Wasalaam) kuwa ndio walioandika au kupanga Qur'an ilivyo. Qur'an ni muujiza unaoishi, ilivyo ni "beyond any human comprehension". Isome usiogope, na ukitaka kufahamu zaidi ntakupa vipande vidogo dogo vya muujiza wake, usiopingika.

Kwa kuanzia, basi haufikirii hata kidogo, vipi hii Qur'an iwe ndicho kitabu pekee duniani kilichohifadhiwa na watu wengi zaidi na ndicho kitabu pekee kipo kwa lugha moja tu lakini kinahifadhiwa na watu wa lugha tofauti tofauti duniani? Huo pekee ni muujiza. Kipi kingine chenye hayo?
Na wewe pia ni mateka tu. Hujielewi
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Yn 10:17-18 SUV​

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
kwi kwi kwi teh teh teh. Hapa vipi, alijisahau?

Mathayo 27: 46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
 
Ww ni mtekwa wa wakoloni wa kiarabu. Mimi si mtekwa Wa Watawala hao. Unaongea ya Qur'an maana Ndio waliokutekea akili

Qur'an ya watu wote wakati haijaandika hata haiwatambui wasukuma, wamakonde, wazaneko, wakurya n. K ila inawatambua Manabii wa Waisraeli huko. Malaika n. K Wewe mzanaki,mchaga, mpare, upo wapi kwenye Qur'an hiyo ya watu wote unayoinadi
Hii swali kubwa na zuri sana. Hapa ndiyo inafaa kuchambua hizi dini ili kuthibitisha kama maandiko hayo yaliletwa kwa ajili ya watu wote au ni yalilenga huko kwao tu. Ningeomba reference kwenye quaran au biblia kama Kuna majina y a makabila au miji ya Tanzania
 
Hii swali kubwa na zuri sana. Hapa ndiyo inafaa kuchambua hizi dini ili kuthibitisha kama maandiko hayo yaliletwa kwa ajili ya watu wote au ni yalilenga huko kwao tu. Ningeomba reference kwenye quaran au biblia kama Kuna majina y a makabila au miji ya Tanzania
Biblia na Quran si Kwa Ajili ya watu wote ndugu yangu. Hivyo vitabu vimeandika Tamaduni za Watu wa kale wa Israel na makabila ya Huko na Imani zao tu.
 
Back
Top Bottom