Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

1 Mambo ya Nyakati Mlango 21- 1~17​


ni kweli shetani alimshawishi Daudi awahesabu watu. Si Mungu aliyemtuma Daudi kufanya hayo. Daudi aliadhibiwa pamoja na watu wa mji wake.
Lakini mwisho wa kosa lake, tunaona Daudi anaungama pamoja na wazee na kukiri kwamba alikosea.

Mungu Huwakubali Wanyenyekevu & kuwasamehe makosa yao kama ilivyokuwa kwa Daudi.
UWE UNASOMA HABARI YOTE, SIO KUKOSOA KWA KAMSTARI KAMOJA KALIKO USHIKA MOYO WAKO.
 
Vipi, "mungu" alipokufa, kwa mafundisho ya Kikristo, nani aliiendesha dunia?

Yn 10:17-18 SUV​

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
 
Haswaa, hayo mjiulize nyie mnaojidai Yesu kafa kwa ajili ya kuwakomboa dhambi zenu.

Eti ni kweli kila anetundikwa mtini kalaaniwa?
NIMEGUNDUA KUWA WANAOMCHUKIA PAULO NA YESU NI KWA SABABU SHETANI NAYE NI MWISLAM
 
"twasema". Wewe kabla ya kubatizwa ulikuwa dini ipi?

Unajuwa maana ya Uislam?
KUJIITA MWISLAMU AMA KUSILIMU HAKUTAKUSAIDIA MAANA JEHANAMU LAZIMA UTUPWE USHAHIDI QURA 6:158 TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARY USHAHIDI HUU HAPA KWA HIYO POLENI SANA WOTE WAISLAMU MAANA KUJIITA MWISLAMU HAKUTAKUOKOA NA JEHANAMU

MUHAMMAD SIYO MWOKOZI NA MTETEZI WAKO SIKU YA KIYAMA USHAHIDI HUU HAPA
HIZI AYA ZA QUR'AN 3:85 NA QUR'AN 3:19 ZINAWADANGANYA MAANA QUR'AN 6:158 MWISLAMU LAZIMA UTUPWE JEHANAMU PAMOJA NA HADITHI ZINATHIBITISHA HILO
Qur'an 3:85. Na anaye tafuta dini isiyo kuwa Uislamu haitakubaliwa kwake. Naye Akhera atakuwa katika wenye kukhasiri.
Qur'an 3:18 Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu. Na walio pewa Kitabu hawakukhitalifiana ila baada ya kuwajia ujuzi, kwa sababu ya uhasidi ulio kuwa baina yao. Na anaye zikataa Ishara za Mwenyezi Mungu basi hakika Mwenyezi Mungu ni Mwepesi wa kuhisabu.

ALLAH KASEMA MWISLAMU LAZIMA UIENDE JEHANAMU USHAHIDI HUU CHINI KWA HIYO KUJIITA MWISLAMU HAKUTISHI USHAHIDI HUU CHINI
QURAN TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY
Quran 6:158 Wanangoja jengine ila wawafikie Malaika,[kuwatoa roho] au iawafikie [adhabu kamali) ya Mola wako Mlezi, au zifike baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi? Siku zitakapo fika baadhi ya Ishara za Mola wako Mlezi, kuamini hapo hakutomfaa mtu[kafiri] kuamini imani yake ambaye hakuwa ameamini zamani au Mwislamu ambaye hakuchuma kheri katika Uislamu wake Basi Ngojeni, nasi pia tunangoja. [TAFASIRI YA ABDULLAH SALEH AL-FARSY ]

 
Mutah, mabikira 72...ndio maana kuna watu wanapigana kufa na kupona.
Mutah ni sexual pleasure ambayo inalipiwa Allah kasema mfanye hii kwa siku tatu au zaidi , Sheria yake ni mtoto ata akizaliwa hana haki yoyote kwa baba na wala hataweza kumjua baba yake
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Ya kuambiwa changanya na yako.

Unaweka tafsiri za binadam wenzako kuwa ndio muongozo wako badala ya kuisoma mwenyewe Qur'an na kuielewa?

Hivi kuna binadam yupi duniani katika (Arsh yake) himaya yake ya kifikra, anaeweza kuwa na upeo japo wa asilimia 1 ya Muumba wetu? Fikiri kabla hujaja na mafundisho ya kibinadam.

Kumbuka; Mtafsiri yeyote yule kaweka fikra zake binafsi tu, unachotakiwa ni wewe usome. Qur'an imesisitiza "SOMA" siyo usomewe. Wewe unaisoma Qur'an ambayo haina shaka au unasoma maneno ya binadam wenzio na kuyaamini kuliko ya Muumba wako? Fikiri kabla hujajibu kijinga kwa ajili ya kubisha tu. Kuwa mkweli wa nafsi yako unapojibu.

Hizo tafsiri zako unazobandika, hata uzijaze kwa magari, hazina mashiko yoyote na haziwezi kabisa kuwa mbadala ya Maneno pekee ya Allah ambayo hayajabadilika toka yashushwe, na hayatobadilika na ndiyo maneno pekee yaliyohifadhiwa vifuani mwa watu kuliko maneno ya kitabu chochote ukijuacho. Yapo kwenye Qur'an pekee.
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Naona maneno ya Qur'an yanakushinda, sasa unaleta vikatuni vya kejeli za kijinga. Huo ndiyo Ukristo unavyokufundisha?


 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Inakushangaza hiyo, umesahau Yesu alikumbwa na Ibilisi kwa siku 40? Sasa fikiri, mungu wako kakumbwa na shetani. Jinni la kishetani si wewe mmojawapo? Unajisahau? Au huelewi maana ya Jinni nikupe darsa?
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

NIMEGUNDUA KUWA WANAOMCHUKIA PAULO NA YESU NI KWA SABABU SHETANI NAYE NI MWISLAM
View attachment 2168742
Unaleta mafundisho ya Kikristo? Huwezi ku i replace Qur'an kwa maneno ya watu. Kumbuka hilo.

Kadanganye wa Sunday School wenzako, Waislaam tupo mbali na huo upuuzi unaoubandika hapa.
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Hizo porojo zako kopi na pesti za maandiko ya binaadam wenzako hazikusaidii kuukimbia ukweli.

Vipi, Mungu anajaribiwa na Ibilisi? Soma...

a Luka 4:
Yesu, hali amejaa Roho Mtakatifu, alirudi kutoka Yordani, akaongozwa na Roho muda wa siku arobaini nyikani,
2 akijaribiwa na Ibilisi. Na siku hizo alikuwa hali kitu; hata zilipotimia, aliona njaa.
 
Na wewe pia ni mateka tu. Hujielewi
 
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.
Kuna mwandishi alikiita hicho kitabu aya za shetani,
Mpaka kesho wanamtafuta wamuuwe.

Yn 10:17-18 SUV​

Ndiposa Baba anipenda, kwa sababu nautoa uhai wangu ili niutwae tena. Hakuna mtu aniondoleaye, bali mimi nautoa mwenyewe. Nami ninao uweza wa kuutoa, ninao na uweza wa kuutwaa tena. Agizo hilo nalilipokea kwa Baba yangu.
kwi kwi kwi teh teh teh. Hapa vipi, alijisahau?

Mathayo 27: 46 Na kama saa tisa, Yesu akapaza sauti yake kwa nguvu akisema, Eloi, Eloi, lama sabakthani? Yaani, Mungu wangu, Mungu wangu, mbona umeniacha?
 
Hii swali kubwa na zuri sana. Hapa ndiyo inafaa kuchambua hizi dini ili kuthibitisha kama maandiko hayo yaliletwa kwa ajili ya watu wote au ni yalilenga huko kwao tu. Ningeomba reference kwenye quaran au biblia kama Kuna majina y a makabila au miji ya Tanzania
 
Biblia na Quran si Kwa Ajili ya watu wote ndugu yangu. Hivyo vitabu vimeandika Tamaduni za Watu wa kale wa Israel na makabila ya Huko na Imani zao tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…