Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Hapana, jina la Kiislaam ni jina lolote zuri, lenye maana nzuri. Siyo jina ambalo hata kulitamka mbele ya watu ni kazi. Mfano mtu anaitwa M'boro. Inahusu nini.

Kuna Waarabu ambao siyo Waislam.
jina la kiislam ni jina lolote zuri? vp jina la kikristo nalo ni jina lolote zuri? kwa mfano jina kama john au patric vp hilo ni zuri au baya? ni majina ya kiislam? lakini mlengo wa swali langu ni kwa yule aliyesema kwamba hao wanasayansi na wanahisabati kama wakina Algebra walikua waislam ,sasa sijui ameangalia jina au alishuhudia wakiswali
 

1 Mambo ya Nyakati Mlango 21​


Tena shetani akasimama juu ya Israeli, akamshawishi Daudi kuwahesabu Israeli.


Hayo maneno ya Mungu au Shetani?
Hivi FaizaFoxy una akili kweli? Ni lini ulimsikia Mungu akinena haya maneno, wacha story za vitabu vya kutungwa na watu kutishia wenzao. Kama kweli Quran ni kitabu cha Mungu kwanini Mungu awape watu uwezo wa kutengeneza majini kuua watu au kuwatesa? Mungu si anakataza mauaji, kwanini atuzunguke sie na kumwambia Mohammed aue na kubaka wake za watu at will? Msijipotoshe na hivii vitabu vya kisanii, tumieni akili kuwaza na kujiulizau siyo kuamini tu kila kitu na kuonekana mabox kichwani.
 
Kuwa au kutokuwa na akili ni subjective. Achana na mimi, nikiwa nazo, nisiwe nazo, wewe zinakusaidia nini?

Ni vyema kuwa umekubali hayo maneno ya Biblia ni ya kutungwa na watu.


Sasa leta ushahidi kwatuhuma nzito ulizorusha kwa Mtume Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam. uliyoyaandika wewe, umejitungia mwenyewe, japo umechukuwa muda kidogo wa kumsoma histria yake huyo uliyemrushia tuhuma nzito namna hiyo?
 
Kumbe Mungu alikuwa mgeni Africa ??.
Toka nijue kuwa mnakopi upand e wa pili na kuongezwa vya kwenu siwafagilii kabisa.

Abraham alihamishwa sabab ya watu wa kuabudu Mungu mwezi na Nyota na akabadilishwa na jina kabisa.
Mungu SI mwehu ww
 
Dogo FaizaFoxy sijamtuhumu Mohammed ila nimeongea ukweli kuwa alikuwa mbakaji na hata wewe unalijuwa hili ila hutaki tu kusema. Unataka kuniambia ulikuwa hujuwi kuwa Mohammed alikuwa anaua watu na kubaka wake zao? Hivi unajuwa Mohammed alikufaje na nani alimuua na kwanini walimuua? Faiza hapa ni JF, watu haturopoki ila tuko hapa kuelimisha watu.
 
Nani alikudanganya kuwa Hijja ni Hospitali ya wehu?
Unaona, wewe mwenyewe umekuja kujichanganya hapa baada ya kurudi hijja....ni wapi nimesema haya unayonituhumu? Huku si ni kuchanganikiwa baada ya kurudi hijja? Ndiyo haya tunayo ongelea.
 
Wewe endelea tu kutukana, nafahamu ndivyo kanisa lako mnavyofundishana, kuna nini huko zaidi ya kubaka watoto mpaka Umoja wa Mataifa umelalamika. Sikushangai.
 
Unaona, wewe mwenyewe umekuja kujichanganya hapa baada ya kurudi hijja....ni wapi nimesema haya unayonituhumu? Huku si ni kuchanganikiwa baada ya kurudi hijja? Ndiyo haya tunayo ongelea.
Kajisome nilichokujibu. Unaonesha unahororoja tu bila mpango. Usipoteze muda wangu kwa kunitag bila kuwa na cha maana.
 
Ni yale yale tu, kufuga majini na kutesa wenzao
 
Nakuelewa kabisa
 
Hakuna uhusiano wowote mkuu, HIJJA ni ibada kama zilivyo ibada nyingine na huwa tunategemea mtu akirejea awe mwema zaid , lakin mtu anaenda na anarejea anatumbukia katika ushirikina basi huyo ibada yake haikumfaa chochote, na ni watu wa mlengo wa Bakwata ndio wenye shida hizo
 
Ni yale yale tu, kufuga majini na kutesa wenzao
Hizo ni chuki tu binafasi, mnadanganyana na mnajijaza chuki kwa Uislam bila kifani.


Uislam umewakosa nini? Au mmejazwa ujinga ni mashetani wenzenu kwa kuukubali uongo na kutunga kila aina ya uongo kuhusu Uislam.

Hivi huwa hamjiulizi? Na chuki na uongo wenu wote lakini nuru ya Uislam inazidi kung'aa. Uislam unazidi kukuwa duniani kila kukicha. Makanisa na mafundisho yake ya kishetani kiza kinazidi kuzagaa, yanafungwa duniani huko, mengi yanakuwa misikiti.

Hapa Tanzania, maelefu kwa maelfu kila mwaka wanaachana na ujinga wa makanisani huko (kulawitiana tu) na kurudi kwenye asili ya Mwanadam, Uislam. Watanzania wenye kufikiri vizuri washajionea kuwa wameingizwa mkenge na Mzungu na sasa wanarudi.

Chuki za nini kwa mkombozi wenu, Uislam?

Kufata kanisa hakuna tofauti na kuwa mchepuko, rudini njia kuu, misikitini. Mziokowe nafsi zenu.
 
ahaahahahaaaaa,
Nimecheka hapo unaposema wanaorudi kutoka HIJJA na kuwa waganga, ni wale wenye Mlengo wa Bakwata.

Anyway, Nashukuru kwa Ufahamu wako, Nami nimetambua sasa kuwa HIJJA ni IBADA TAKATIFU.
Hao wanaorudi na kuwa waganga, ni changamoto zao wao wenyewe na wala si MATOKEO YA HIJJA.
ASANTE MKUU.
 
Mkereketwa_Huyu:
Hebu nisaidie kunielimisha kidogo kwenye point ya KIFO CHA MOHAMMED.
Tupo JF. Kuelimishana, si kutukanana.
Please, Sema kile unachokijua ili Nipate ufahamu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…