Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Je, kuna uhusiano gani kati ya kwenda hijja na harakati za uganga ama tiba za kisuna?

Hivi ni "kuamrisha" au kuelekeza?
Nguzo ya Kuhiji katika Uislam ni amri ambayo Kiislam huitwa "faradhi", sio elekezo. Kumbuka hilo.

Uislam una nguzo tano, mojawapo ni Hijja. Zifahamu nguzo tano za Uislam...

Nguzo tano za Uislamu (kwa Kiarabu: أركان الإسلام arkan al-islam, pia أركان الدين arkan ad-din yaani nguzo za dini) ni ibada au matendo yanayoaminiwa kuwa ya kimsingi katika Uislamu. Zimepata hadhi maalumu kwa sababu zinatajwa katika "hadith ya Jibril". Kwenye masimulizi ya hadith ile malaika Jibril alimwuliza Mtume Muhammad "Uislamu ni nini?" na huyu alijibu kwa kutaja matendo matano yafuatayo.

Kwa kawaida hizi nguzo tano zinafundishwa katika madhehebu ya Wasunni jinsi inavyoonyeshwa hapo chini.

Washia hawahesabu shahada kati ya nguzo tano wakiona shahada pamoja na imani ya Kiislamu ni msingi wa nguzo tano, halafu wanaongeza "wilayat" yaani kukubali uongozi wa Maimamu kama nguzo ya tano.

  1. Shahada: (Kiarabu: الشهادة) Nguzo ya kwanza katika Uislamu hujumuisha kutoa kauli mbili: Hakuna Mola apasaye Kuabudiwa ila Allah na Muhammad ni Mtume wake. Kauli hizo hutolewa pale mwanadamu anapoingia Uislamu.
  2. Salat: (Kiarabu: صلاة‎) ni sala inayofuata utaratibu maalumu mara tano kila siku: Asubuhi, mchana, alasiri, jioni na usiku. Kabla ya kuingia katika ibada hii Mwislamu anapaswa kufanya wudhu ambayo ni tendo la kutakasa mwili kwa maji au -kama hakuna- kwa kutumia vumbi badala yake. Salat ina maneno yake na pia namna ya kusimama au kujinama. Salat hii ni tofauti na dua (دعاء) au sala ya kuomba kwa hiari.
  3. Zakat: (Kiarabu: زكاة‎‎) Nguzo ya tatu ya Uislamu nayo ni ibada inayomuelekeza Mwislamu kuwaangalia Waislamu wenzake kwa hali na mali, na kushughulikia mahitaji yao ya maisha, kwa kutoa fungu la mali yake asilimia 2.5 kila mwaka kwa mwenye uwezo na kuwapa wale walio maskini na wasiojiweza ili nao waweze kuishi vizuri.
  4. Funga/Saumu: (Kiarabu: صوم) Wakati wa mwezi Ramadani kila Mwislamu anapaswa kufunga chakula na kinywaji chote kuanzia asubuhi hadi jioni. Watoto na wagonjwa hawapaswi kutekeleza wajibu huu. Waislamu wanaona maana ya ibada hii kumkurubisha Mwislamu na Mola wake na kumfanya amche na kumuogopa zaidi, kwani saumu humsaidia Mwislamu kufahamu shida na taabu ambazo wale wasiokuwa na uwezo wanazipata wakiwa na njaa na hawana cha kukila, na kwa hivyo, huingiwa na huruma na kuwa na moyo wa kutaka kuwasaidia na kuwaondoshea shida hizo.
  5. Hajj (Kiarabu: الحجّ alhajj): Kila Mwislamu mwenye uwezo anatakiwa kwenda hijja Maka mara moja katika maisha yake wakati wa mwezi Dhul-Hija. Nguzo hii inawapa fursa Waislamu ulimwenguni kukutana na wenzao na kujua hali zao na kupata nafasi ya kuomba maghfira na msamaha kwa madhambi yao katika mkutano mkubwa kabisa wa wanadamu ulimwenguni.
 
Si hao tu. Kuna wengi sana, jiulize kwanini wanabadilishwa majina?

Hawajaishia huko tu, hata hapa kwetu Afrika wametoka mabingwa wa Kiislam, mbona hatuwasomi hapa kwetu? Kuna kina Ibn Batuta, walioiandika Kilwa na pwani ya Afrika Mashariki kabla ya 'akina" Vasco Da Gama.

Kuna bint wa Kiislaam aliyeanziaha chuo kikuu cha kwanza kabisa duniani, anaitwa Fatma Al Fikhri, unalijuwa hilo?

Unafahamu kuwa hii uijuayo sasa kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar? Mbona hatuyasomi hayo?

Unajuwa kuwa Mbantu kihistoria ni mtu wa kuja tu pwani ya Afrika Mashariki? Mbona hatuyasomi hayo? Aliwakuta kina nani Mbantu alipokuja pwani ya Afrika Mashariki? Ushajiuliza hayo?


Ilikuwaje, utawala wa Kabka na huko Uganda na Kagera vazi la heshima na la asili kwao kuwa ni kanzu? Umeshayasoma hayo? Mbona hayasemwi?

Umeshajiuliza kwanini vazi la heshima kwa wahehe ni kanzu, yes, kanzu hizi za Waislam.

Umeshajiuliza kwanini kuna miji mikubwa chini ya bahari ya Kilwa, hatujulishwi historia yake na wana historia wa Chuo Kikuu cha Dar wapo huko wanafanya tafiti?

Umeshajiuliza kwanini mabaki ya Kilwa yamewekwa kwenye uriti wa dunia na yanalindwa na Umoja wa Mataifa yasiharibiwe? Je ni nani walioacha hayo mabaki na kuna historia ipi hapo?

Umeshajiuliza kama kuna mabaki hapo Kilwa, vipi kuhusu Pwani yote ya Tanzania?



Kuhus Qur'an kama ulivyochomekea mwisho hapa...

Hapana, kitabu hakijaungwa na yeyote zaidi ya aliyeshushiwa aya hizo, akisema aya hii husomwa hivi, kabla ya hii na hii husomea hivi baada ya hii na hii ni aya sura hii na hii ni aya ya sura fulani.


1) Umeisoma Qur'an?

2) Wewe ni wa kanisa lipi?


Qur'an imeshushwa kwa miaka 23 kidogo kidohgo kwa Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam. Utapoisoma na utapo uelewa mpamgilio wake kisayansi ndipo utakapoelewa kuwa si Abubakar (Alayhi Salaam), si Muhammad (Salla Allahu Alayhi Wasalaam) kuwa ndio walioandika au kupanga Qur'an ilivyo. Qur'an ni muujiza unaoishi, ilivyo ni "beyond any human comprehension". Isome usiogope, na ukitaka kufahamu zaidi ntakupa vipande vidogo dogo vya muujiza wake, usiopingika.

Kwa kuanzia, basi haufikirii hata kidogo, vipi hii Qur'an iwe ndicho kitabu pekee duniani kilichohifadhiwa na watu wengi zaidi na ndicho kitabu pekee kipo kwa lugha moja tu lakini kinahifadhiwa na watu wa lugha tofauti tofauti duniani? Huo pekee ni muujiza. Kipi kingine chenye hayo?
Unathibitishaje kuwa Qur'an imeshushwa ilihali waakina Abbakari waliiunganisha unganisha hatimaye tukapata kitabu kamili?
Unaweza kutoa ushahidi nje ya Qur'an kwamba ilishushwa?
 
Nguzo ya Kuhiji katika Uislam ni amri ambayo Kiislam huitwa "faradhi", sio elekezo. Kumbuka hilo.

Uislam una nguzo tano, mojawapo ni Hijja. Zifahamu nguzo tano za Uislam...

Nguzo tano za Uislamu (kwa Kiarabu: أركان الإسلام arkan al-islam, pia أركان الدين arkan ad-din yaani nguzo za dini) ni ibada au matendo yanayoaminiwa kuwa ya kimsingi katika Uislamu. Zimepata hadhi maalumu kwa sababu zinatajwa katika "hadith ya Jibril". Kwenye masimulizi ya hadith ile malaika Jibril alimwuliza Mtume Muhammad "Uislamu ni nini?" na huyu alijibu kwa kutaja matendo matano yafuatayo.

Kwa kawaida hizi nguzo tano zinafundishwa katika madhehebu ya Wasunni jinsi inavyoonyeshwa hapo chini.

Washia hawahesabu shahada kati ya nguzo tano wakiona shahada pamoja na imani ya Kiislamu ni msingi wa nguzo tano, halafu wanaongeza "wilayat" yaani kukubali uongozi wa Maimamu kama nguzo ya tano.

  1. Shahada: (Kiarabu: الشهادة) Nguzo ya kwanza katika Uislamu hujumuisha kutoa kauli mbili: Hakuna Mola apasaye Kuabudiwa ila Allah na Muhammad ni Mtume wake. Kauli hizo hutolewa pale mwanadamu anapoingia Uislamu.
  2. Salat: (Kiarabu: صلاة‎) ni sala inayofuata utaratibu maalumu mara tano kila siku: Asubuhi, mchana, alasiri, jioni na usiku. Kabla ya kuingia katika ibada hii Mwislamu anapaswa kufanya wudhu ambayo ni tendo la kutakasa mwili kwa maji au -kama hakuna- kwa kutumia vumbi badala yake. Salat ina maneno yake na pia namna ya kusimama au kujinama. Salat hii ni tofauti na dua (دعاء) au sala ya kuomba kwa hiari.
  3. Zakat: (Kiarabu: زكاة‎‎) Nguzo ya tatu ya Uislamu nayo ni ibada inayomuelekeza Mwislamu kuwaangalia Waislamu wenzake kwa hali na mali, na kushughulikia mahitaji yao ya maisha, kwa kutoa fungu la mali yake asilimia 2.5 kila mwaka kwa mwenye uwezo na kuwapa wale walio maskini na wasiojiweza ili nao waweze kuishi vizuri.
  4. Funga/Saumu: (Kiarabu: صوم) Wakati wa mwezi Ramadani kila Mwislamu anapaswa kufunga chakula na kinywaji chote kuanzia asubuhi hadi jioni. Watoto na wagonjwa hawapaswi kutekeleza wajibu huu. Waislamu wanaona maana ya ibada hii kumkurubisha Mwislamu na Mola wake na kumfanya amche na kumuogopa zaidi, kwani saumu humsaidia Mwislamu kufahamu shida na taabu ambazo wale wasiokuwa na uwezo wanazipata wakiwa na njaa na hawana cha kukila, na kwa hivyo, huingiwa na huruma na kuwa na moyo wa kutaka kuwasaidia na kuwaondoshea shida hizo.
  5. Hajj (Kiarabu: الحجّ alhajj): Kila Mwislamu mwenye uwezo anatakiwa kwenda hijja Maka mara moja katika maisha yake wakati wa mwezi Dhul-Hija. Nguzo hii inawapa fursa Waislamu ulimwenguni kukutana na wenzao na kujua hali zao na kupata nafasi ya kuomba maghfira na msamaha kwa madhambi yao katika mkutano mkubwa kabisa wa wanadamu ulimwenguni.
Shukrani.
Nitakuuliza swali muda si muda.
Ngoja nitafakari haya uliyonipa.
 
Unathibitishaje kuwa Qur'an imeshushwa ilihali waakina Abbakari waliiunganisha unganisha hatimaye tukapata kitabu kamili?
Unaweza kutoa ushahidi nje ya Qur'an kwamba ilishushwa?
Ya kuambiwa changanya na yako, una uhakika uliyemsoma au aliyekuambia hayo ya "kuunga unga" kuwa alikwambia kweli?

Umeisoma Qur'an kwa kutaka kuelewa ina ujumbe upi? Ukiisoma Qur'an utaona kuwa yenyewe inasema kuwa imeshushwa kwa ajili ya watu wote, je, wewe haumo katika viumbe watu vya Mwenyezi Mungu? Soama:


Ujumbe wa Qur'an kwa Binadamu

Je, Qur'an ni muhimu kwa Waislamu tu? Vipi kuhusu ubinadamu.

Je, Qur'an ni kwa ajili ya Waislamu tu? Ikiwa Mwenyezi Mungu ni Mola wa walimwengu (Qur'ani 1:2) na Mtume (s.a.w.w.) anaelezewa kama mjumbe wa walimwengu (Quran 21:107) na Qur'an inatambulishwa kama ukumbusho kwa walimwengu, (Quran 68:52) basi ni nini umuhimu wa ujumbe wa Qur'ani kwa ulimwengu? Jinsi gani dunia, Waislam na wasio Waislam, sawa, wanaweza kufaidika na ujumbe wa ulimwengu wote wa Mungu wa ulimwengu wote na wenye huruma? Je, wasio Waislam wanaweza kufanya mazoezi ya maadili yaliyofunuliwa na Mungu bila kutambua chanzo chao cha asili na bila kufuata wito wa jumla wa Mungu?...

Itaendelea.
 
Si hao tu. Kuna wengi sana, jiulize kwanini wanabadilishwa majina?

Hawajaishia huko tu, hata hapa kwetu Afrika wametoka mabingwa wa Kiislam, mbona hatuwasomi hapa kwetu? Kuna kina Ibn Batuta, walioiandika Kilwa na pwani ya Afrika Mashariki kabla ya 'akina" Vasco Da Gama.

Kuna bint wa Kiislaam aliyeanziaha chuo kikuu cha kwanza kabisa duniani, anaitwa Fatma Al Fikhri, unalijuwa hilo?

Unafahamu kuwa hii uijuayo sasa kama Tanganyika ilikuwa ni Zanzibar? Mbona hatuyasomi hayo?

Unajuwa kuwa Mbantu kihistoria ni mtu wa kuja tu pwani ya Afrika Mashariki? Mbona hatuyasomi hayo? Aliwakuta kina nani Mbantu alipokuja pwani ya Afrika Mashariki? Ushajiuliza hayo?


Ilikuwaje, utawala wa Kabka na huko Uganda na Kagera vazi la heshima na la asili kwao kuwa ni kanzu? Umeshayasoma hayo? Mbona hayasemwi?

Umeshajiuliza kwanini vazi la heshima kwa wahehe ni kanzu, yes, kanzu hizi za Waislam.

Umeshajiuliza kwanini kuna miji mikubwa chini ya bahari ya Kilwa, hatujulishwi historia yake na wana historia wa Chuo Kikuu cha Dar wapo huko wanafanya tafiti?

Umeshajiuliza kwanini mabaki ya Kilwa yamewekwa kwenye uriti wa dunia na yanalindwa na Umoja wa Mataifa yasiharibiwe? Je ni nani walioacha hayo mabaki na kuna historia ipi hapo?

Umeshajiuliza kama kuna mabaki hapo Kilwa, vipi kuhusu Pwani yote ya Tanzania?



Kuhus Qur'an kama ulivyochomekea mwisho hapa...

Hapana, kitabu hakijaungwa na yeyote zaidi ya aliyeshushiwa aya hizo, akisema aya hii husomwa hivi, kabla ya hii na hii husomea hivi baada ya hii na hii ni aya sura hii na hii ni aya ya sura fulani.


1) Umeisoma Qur'an?

2) Wewe ni wa kanisa lipi?


Qur'an imeshushwa kwa miaka 23 kidogo kidohgo kwa Muhammad Salla Allahu Alayhi Wasalaam. Utapoisoma na utapo uelewa mpamgilio wake kisayansi ndipo utakapoelewa kuwa si Abubakar (Alayhi Salaam), si Muhammad (Salla Allahu Alayhi Wasalaam) kuwa ndio walioandika au kupanga Qur'an ilivyo. Qur'an ni muujiza unaoishi, ilivyo ni "beyond any human comprehension". Isome usiogope, na ukitaka kufahamu zaidi ntakupa vipande vidogo dogo vya muujiza wake, usiopingika.

Kwa kuanzia, basi haufikirii hata kidogo, vipi hii Qur'an iwe ndicho kitabu pekee duniani kilichohifadhiwa na watu wengi zaidi na ndicho kitabu pekee kipo kwa lugha moja tu lakini kinahifadhiwa na watu wa lugha tofauti tofauti duniani? Huo pekee ni muujiza. Kipi kingine chenye hayo?
Quran imeshushwa kwa miaka 23 kidogo kidogo.
Maana yake ni kuwa kwa muda wa miaka 23 vilikuwa vinashushwa vipande vipande,
Maana yake kuna mtu alikaa akaunganisha ili kupata kitabu kimoja. Kwa hiyo mdau hapo juu yuko sawa aliposema kuna mtu aliunganisha.
Miaka 23 yote hiyo ina maana Mungu alikua anatoa ujumbe nusu nusu ilikuaje,alikua anasahau au ?
 
Ya kuambiwa changanya na yako, una uhakika uliyemsoma au aliyekuambia hayo ya "kuunga unga" kuwa alikwambia kweli?

Umeisoma Qur'an kwa kutaka kuelewa ina ujumbe upi? Ukiisoma Qur'an utaona kuwa yenyewe inasema kuwa imeshushwa kwa ajili ya watu wote, je, wewe haumo katika viumbe watu vya Mwenyezi Mungu? Soama:


Ujumbe wa Qur'an kwa Binadamu

Je, Qur'an ni muhimu kwa Waislamu tu? Vipi kuhusu ubinadamu.

Je, Qur'an ni kwa ajili ya Waislamu tu? Ikiwa Mwenyezi Mungu ni Mola wa walimwengu (Qur'ani 1:2) na Mtume (s.a.w.w.) anaelezewa kama mjumbe wa walimwengu (Quran 21:107) na Qur'an inatambulishwa kama ukumbusho kwa walimwengu, (Quran 68:52) basi ni nini umuhimu wa ujumbe wa Qur'ani kwa ulimwengu? Jinsi gani dunia, Waislam na wasio Waislam, sawa, wanaweza kufaidika na ujumbe wa ulimwengu wote wa Mungu wa ulimwengu wote na wenye huruma? Je, wasio Waislam wanaweza kufanya mazoezi ya maadili yaliyofunuliwa na Mungu bila kutambua chanzo chao cha asili na bila kufuata wito wa jumla wa Mungu?...

Itaendelea.
Hujajibu swali hapo Bibi angu!!!
 
Wote wezi tu. Unafikiri wajanja wajanja ni wale wanaoitwa "wachungaji" tu?

Wajinga ndio waliwao.

Hao wote na hayo yote uliyoyasema hayapo katika mafundisho ya Uislam.


Uislam umeamrisha watu wasome na ndiyo maana Uislam ukatoa mabingwa wa kila fani. Kwenye medicine tuna Ibn Sinna aka Avicenna. Kwenye sayansi zingine tunao kina Alkhwaarizim aka Algorithm. Tunao Al Jabr (Aljebra).

Sifahamu kwanini wazungu waliwabadili majina yao na kuyafanya yasieleweke kuwa ni ya Waislam?Jiulize wewe kwanini?
Uarabu sio sawa na Uislamu, unajichanganya sana na unajaribu sana kuchanganya watu.
 
Quran imeshushwa kwa miaka 23 kidogo kidogo.
Maana yake ni kuwa kwa muda wa miaka 23 vilikuwa vinashushwa vipande vipande,
Maana yake kuna mtu alikaa akaunganisha ili kupata kitabu kimoja. Kwa hiyo mdau hapo juu yuko sawa aliposema kuna mtu aliunganisha.
Miaka 23 yote hiyo ina maana Mungu alikua anatoa ujumbe nusu nusu ilikuaje,alikua anasahau au ?
Umeisoma Qur'an?

jumbe wa Qur'an kwa Binadamu
Je, Qur'an ni muhimu kwa Waislamu tu? Vipi kuhusu ubinadamu.
Je, Qur'an ni kwa ajili ya Waislamu tu? Ikiwa Mwenyezi Mungu ni Mola wa walimwengu (Qur'ani 1:2) na Mtume (s.a.w.w.) anaelezewa kama mjumbe wa walimwengu (Quran 21:107) na Qur'an inatambulishwa kama ukumbusho kwa walimwengu, (Quran 68:52) basi ni nini umuhimu wa ujumbe wa Qur'ani kwa ulimwengu? Jinsi gani dunia, Waislam na wasio Waislam, sawa, wanaweza kufaidika na ujumbe wa ulimwengu wote wa Mungu wa ulimwengu wote na wenye huruma? Je, wasio Waislam wanaweza kufanya mazoezi ya maadili yaliyofunuliwa na Mungu bila kutambua chanzo chao cha asili na bila kufuata wito wa jumla wa Mungu?...
Itaendelea.
 
ALHAJI MZEE YUSUFU aliyekuwa anaimba taarabu, baada ya kutoka HIJJA, aliachana na MUZIKI kabisa.
Kuna wakati nilisikia TANGAZO kwamba atakuwa HOTEL moja pale DODOMA sambamba na SHEKH SHARIF kwaajili ya kuwaombea dua watu wenye shida mbalimbali pamoja na kutibu Maradhi kwa dawa za kisuna.
KWASASA ALHAJI ANA BEND MPYA YA MUZIKI WA TAARABU.
Nini kinahamasisha baadhi ya watu wakitoka HIJJA kuwa WAGANGA.
AMA KUNA NGUVU ZA UGANGA HUWA ZINAWAPATA WATU KULE MAKKA?
Kwa mtazamo wangu wa kawaida na wa kibinadamu.
Kule ni miongon mwa sehemu za kuchuma dhambi sasa namna zichumwavyo ndo sijajua ila ntafuatilia na ntakuja na mada hiyo one day.
Weng wakija wanakuja na majina mapya then wanakuja na uganga juu yake. Kiufupi wanaenda kama kumkiri shetaniii vlee maana kama unaenda then unarud ukiwa mganga naona linaweza kuwa jibu sahihi sana.
Wana wa adamu tunapotezwa sana tena sanaa tamaa na vitisho vya shetan ndivyo vinnatuharibia maisha ya ufalme wa mbinguni
 
Mtekwaji Ataongea ya Mtekaji. Ww kama Umetekwa na Waarabu utaongea ya Waarabu na Kama Umetekwa na Wamisionari Utaongea ya Wakoloni
Wewe umetekwa na nani? Au peke yako ndio hujatekwa, upo huru kushambulia waliotekwa?

Soma Qur'an, imekuja kwa ajili ya watu wote.
 
Nguzo ya Kuhiji katika Uislam ni amri ambayo Kiislam huitwa "faradhi", sio elekezo. Kumbuka hilo.

Uislam una nguzo tano, mojawapo ni Hijja. Zifahamu nguzo tano za Uislam...

Nguzo tano za Uislamu (kwa Kiarabu: أركان الإسلام arkan al-islam, pia أركان الدين arkan ad-din yaani nguzo za dini) ni ibada au matendo yanayoaminiwa kuwa ya kimsingi katika Uislamu. Zimepata hadhi maalumu kwa sababu zinatajwa katika "hadith ya Jibril". Kwenye masimulizi ya hadith ile malaika Jibril alimwuliza Mtume Muhammad "Uislamu ni nini?" na huyu alijibu kwa kutaja matendo matano yafuatayo.

Kwa kawaida hizi nguzo tano zinafundishwa katika madhehebu ya Wasunni jinsi inavyoonyeshwa hapo chini.

Washia hawahesabu shahada kati ya nguzo tano wakiona shahada pamoja na imani ya Kiislamu ni msingi wa nguzo tano, halafu wanaongeza "wilayat" yaani kukubali uongozi wa Maimamu kama nguzo ya tano.

  1. Shahada: (Kiarabu: الشهادة) Nguzo ya kwanza katika Uislamu hujumuisha kutoa kauli mbili: Hakuna Mola apasaye Kuabudiwa ila Allah na Muhammad ni Mtume wake. Kauli hizo hutolewa pale mwanadamu anapoingia Uislamu.
  2. Salat: (Kiarabu: صلاة‎) ni sala inayofuata utaratibu maalumu mara tano kila siku: Asubuhi, mchana, alasiri, jioni na usiku. Kabla ya kuingia katika ibada hii Mwislamu anapaswa kufanya wudhu ambayo ni tendo la kutakasa mwili kwa maji au -kama hakuna- kwa kutumia vumbi badala yake. Salat ina maneno yake na pia namna ya kusimama au kujinama. Salat hii ni tofauti na dua (دعاء) au sala ya kuomba kwa hiari.
  3. Zakat: (Kiarabu: زكاة‎‎) Nguzo ya tatu ya Uislamu nayo ni ibada inayomuelekeza Mwislamu kuwaangalia Waislamu wenzake kwa hali na mali, na kushughulikia mahitaji yao ya maisha, kwa kutoa fungu la mali yake asilimia 2.5 kila mwaka kwa mwenye uwezo na kuwapa wale walio maskini na wasiojiweza ili nao waweze kuishi vizuri.
  4. Funga/Saumu: (Kiarabu: صوم) Wakati wa mwezi Ramadani kila Mwislamu anapaswa kufunga chakula na kinywaji chote kuanzia asubuhi hadi jioni. Watoto na wagonjwa hawapaswi kutekeleza wajibu huu. Waislamu wanaona maana ya ibada hii kumkurubisha Mwislamu na Mola wake na kumfanya amche na kumuogopa zaidi, kwani saumu humsaidia Mwislamu kufahamu shida na taabu ambazo wale wasiokuwa na uwezo wanazipata wakiwa na njaa na hawana cha kukila, na kwa hivyo, huingiwa na huruma na kuwa na moyo wa kutaka kuwasaidia na kuwaondoshea shida hizo.
  5. Hajj (Kiarabu: الحجّ alhajj): Kila Mwislamu mwenye uwezo anatakiwa kwenda hijja Maka mara moja katika maisha yake wakati wa mwezi Dhul-Hija. Nguzo hii inawapa fursa Waislamu ulimwenguni kukutana na wenzao na kujua hali zao na kupata nafasi ya kuomba maghfira na msamaha kwa madhambi yao katika mkutano mkubwa kabisa wa wanadamu ulimwenguni.
Mungu akubariki umeongea vizuri kabisa
 
Kwa mtazamo wangu wa kawaida na wa kibinadamu.
Kule ni miongon mwa sehemu za kuchuma dhambi sasa namna zichumwavyo ndo sijajua ila ntafuatilia na ntakuja na mada hiyo one day.
Weng wakija wanakuja na majina mapya then wanakuja na uganga juu yake. Kiufupi wanaenda kama kumkiri shetaniii vlee maana kama unaenda then unarud ukiwa mganga naona linaweza kuwa jibu sahihi sana.
Wana wa adamu tunapotezwa sana tena sanaa tamaa na vitisho vya shetan ndivyo vinnatuharibia maisha ya ufalme wa mbinguni
Pole sana kwa kukalilishwa ujinga,usilolijua sawa na usiku wa Giza,Hiyo Hijja mwanzilishi wake ni Nabii Ibrahimu Waisilamu wanaendeleza tu,inawezekana Yesu naye angekuwa anauwezo wa kifedha naye angeenda kuhiji
 
Pole sana kwa kukalilishwa ujinga,usilolijua sawa na usiku wa Giza,Hiyo Hijja mwanzilishi wake ni Nabii Ibrahimu Waisilamu wanaendeleza tu,inawezekana Yesu naye angekuwa anauwezo wa kifedha naye angeenda kuhiji
Fact mkuu ila kwann weng wakirud wanakuwa nan tabia za dhambi ambazo mtoa post kasema?
 
Pole sana kwa kukalilishwa ujinga,usilolijua sawa na usiku wa Giza,Hiyo Hijja mwanzilishi wake ni Nabii Ibrahimu Waisilamu wanaendeleza tu,inawezekana Yesu naye angekuwa anauwezo wa kifedha naye angeenda kuhiji

Hivi suleiman nae alienda kuhiji mecca
 
Back
Top Bottom