Je, kuna uhusiano kati ya tohara na upungufu wa nguvu za kiume na hatari ya maambukizi ya VVU?

Je, kuna uhusiano kati ya tohara na upungufu wa nguvu za kiume na hatari ya maambukizi ya VVU?

Killing machine

JF-Expert Member
Joined
Jul 24, 2022
Posts
2,052
Reaction score
2,995
Habari wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu, maswali machache niliyo jiuliza yalinifanya nifanye utafiti ili kupata majibu ya maswali yangu. Miongini mwa majibu niliyoyapata kwenye utafiti wangu ni haya:

1) Kwanza nimegundua wanaosumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume wengi ni wanaume waliofanyiwa tohara.

2) Wanaoongoza kwa kutumia vumbi la Kongo wengi ni wanaume waliofanyiwa tohara.

3) Wanao ongoza kwa maambukizi ya VVU wengi wapo mjini, ambapo hukohuko mjini ndiko wengi wamefanyiwa tohara.

4) Kabla tohara haijaingia sikuwahi kusikia kuhusu Mkongo au dawa za nguvu za kiume au vibamia, lakini sasa moto umewaka mjini. Lakini vijijini bwana watu wamebarikiwa mishipa, watu hawafahamu kuhusu Mkongo na kuhusu UKIMWI wanahesabika aisee!

Swali langu je, kuna uhusiano wowote kati ya tohara na upungufu wa nguvu za kiume na VVU?
 
Nenda katahiriwe Mkuu acha visingizio 😂😂

Ila hapo kwenye waliotahiriwa ndio wanaongoza kwa kupata ukimwi hapana Mkuu, wanaume wasiotahiriwa ndio rahisi sana kupata ukimwi.sababu ya ulaini wa ngozi na urahisi wa kupata michubuko.

Ila kutahiri watoto wakiwa wadogo sana napo ni tatizo, nadhani kama hakuna sababu ya kitabibu ya kumtahiri mtoto mdogo ni bora asitahiriwe hadi afike angalau miaka 10 hivi.

Ila mkuu nenda katahiriwe asee!, wewe tayari mkubwa, huoni noma kwani?
 
Ulikuwepo duniani wakati tohara inaanza?

Na je katika utafiti wako ni wanaume wa ngapi waliofanyiwa tohara walikupakuwa ukagunduwa hawana nguvu za kiume?

Kwako Mwalimu Kashasha.
Ulikuwepo duniani wakati tohara inaanza?

Na je katika utafiti wako ni wanaume wa ngapi waliofanyiwa tohara walikupakuwa ukagunduwa hawana nguvu za kiume?

Kwako Mwalimu Kashasha.
Punguza hasira mkuu pia punguza rugha chafu. Utafiti WANGU una anzia vijijini. ambako wengi hawaja fanyiwa TOHARA! Kisha unaishia mjini ambako wengi wame fanyiwa TOHARA. vipi mkuu Usha wai jiuliza kwann mjini biashara ya unga wa mkongo Ina tembea sana? Je unadhani nikwanini? Tuanzie hapo boss wangu
 
Nenda katahiriwe Mkuu acha visingizio 😂😂

Ila hapo kwenye waliotahiriwa ndio wanaongoza kwa kupata ukimwi hapana Mkuu, wanaume wasiotahiriwa ndio rahisi sana kupata ukimwi.sababu ya ulaini wa ngozi na urahisi wa kupata michubuko.

Ila kutahiri watoto wakiwa wadogo sana napo ni tatizo, nadhani kama hakuna sababu ya kitabibu ya kumtahiri mtoto mdogo ni bora asitahiriwe hadi afike angalau miaka 10 hivi.

Ila mkuu nenda katahiriwe asee!, wewe tayari mkubwa, huoni noma kwani?
😂😂Hapana mkuu mda Sana Nisha FANYA Mambo ila naungana nawazo lako pengine kutoa mapema au utotoni ndiyo sababu🙏🙏🙏
 
Habari wakuu,

Nimekuwa nikijiuliza sipati jibu, maswali machache niliyo jiuliza yalinifanya nifanye utafiti ili kupata majibu ya maswali yangu. Miongini mwa majibu niliyoyapata kwenye utafiti wangu ni haya:

1) Kwanza nimegundua wanaosumbuliwa na matatizo ya upungufu wa nguvu za kiume wengi ni wanaume waliofanyiwa tohara.

2) Wanaoongoza kwa kutumia vumbi la Kongo wengi ni wanaume waliofanyiwa tohara.

3) Wanao ongoza kwa maambukizi ya VVU wengi wapo mjini, ambapo hukohuko mjini ndiko wengi wamefanyiwa tohara.

4) Kabla tohara haijaingia sikuwahi kusikia kuhusu Mkongo au dawa za nguvu za kiume au vibamia, lakini sasa moto umewaka mjini. Lakini vijijini bwana watu wamebarikiwa mishipa, watu hawafahamu kuhusu Mkongo na kuhusu UKIMWI wanahesabika aisee!

Swali langu je, kuna uhusiano wowote kati ya tohara na upungufu wa nguvu za kiume na VVU?
Kwa hiyo wewe bado una govi?.
 
We jamaa una elimu gani?

Vitu vidogo namna hiyo unajipotosha.

Tafiti za waathirika huko vijijini umezipataje?

Au hujui kua vijiji vingi dawa za kufubaza virusi huzifata mijini, utamjuaje na unamuana ananawiri kila siku, tumia kinga kijana.

Taarifa za mapungufu ya nguvu za kiume mijini umeyatambuaje?

Feminism huku mijini ndo inafanya kuonekana kuna tatizo, tofauti na vijijini ambako mwanamke ndie anaetakiwa kumridhisha mwanaume.

Mfano ni kule moshi ambako unaambiwa wanaume wanalewa mpaka wanashindwa kunyandua wake zao. Lakini hilo sio kua wameanza kunywa juzi au jana, ni kitambo tu ila feminism haikuwepo ila baada ya hizi blah blah za haki sawa kusambaa ndo wanawake huko wameibuka.

Subiri ni mdogo mdogo na kijiji chako kitafikiwa na wanawake watainuka kusema hamuwaridhishi kwa bed, mna vibamia nk.
 
Ulikuwepo duniani wakati tohara inaanza?

Na je katika utafiti wako ni wanaume wa ngapi waliofanyiwa tohara walikupakuwa ukagunduwa hawana nguvu za kiume?
We jamaa una elimu gani??

Vitu vidogo namna hiyo unajipotosha.
Tafiti za waathirika huko vijijini umezipataje??

Au hujui kua vijiji vingi dawa za kufubaza virusi huzifata mijini, utamjuaje na unamuana ananawiri kila siku, tumia kinga kijana.

Taarifa za mapungufu ya nguvu za kiume mijini umeyatambuaje??

Feminism huku mijini ndo inafanya kuonekana kuna tatizo, tofauti na vijijini ambako mwanamke ndie anaetakiwa kumridhisha mwanaume.

Mfano ni kule moshi ambako unaambiwa wanaume wanalewa mpaka wanashindwa kunyandua wake zao. Lakini hilo sio kua wameanza kunywa juzi au jana, ni kitambo tu ila feminism haikuwepo ila baada ya hizi blah blah za haki sawa kusambaa ndo wanawake huko wameibuka.


Subiri ni mdogo mdogo na kijiji chako kitafikiwa na wanawake watainuka kusema hamuwaridhishi kwa bed, mna vibamia nk.
Sawa

Kwako Mwalimu Kashasha.
🙏🙏🙏
Kwa hiyo wewe bado una govi?.

We jamaa una elimu gani??

Vitu vidogo namna hiyo unajipotosha.
Tafiti za waathirika huko vijijini umezipataje??

Au hujui kua vijiji vingi dawa za kufubaza virusi huzifata mijini, utamjuaje na unamuana ananawiri kila siku, tumia kinga kijana.

Taarifa za mapungufu ya nguvu za kiume mijini umeyatambuaje??

Feminism huku mijini ndo inafanya kuonekana kuna tatizo, tofauti na vijijini ambako mwanamke ndie anaetakiwa kumridhisha mwanaume.

Mfano ni kule moshi ambako unaambiwa wanaume wanalewa mpaka wanashindwa kunyandua wake zao. Lakini hilo sio kua wameanza kunywa juzi au jana, ni kitambo tu ila feminism haikuwepo ila baada ya hizi blah blah za haki sawa kusambaa ndo wanawake huko wameibuka.


Subiri ni mdogo mdogo na kijiji chako kitafikiwa na wanawake watainuka kusema hamuwaridhishi kwa bed, mna vibamia n.

Ume Nena vema mkuu ila ukweli ni kwamba Kuna Siri nzito kwenye hili Jambo la tohara

Mzungu hana kitu Cha bule mkuu lazima Kuna kitu so hivihivi

Na kuhusu feminism sidhani Kama Ina weza ku athili NGUVU za KIUME kwani Hilo ni Jambo la usawa tu lakini hai athili asiri ya ya jinsia

mwanamke atakuwa mwanamke tuu kwa Sheria za kijinsia zilizo wekwa na muumba

na mwanaume atabaki kuwa mwanaume tuu kwa Sheria za kijinsia zilizo wekwa na muumba

Kumbuka Mkuu baada ya tohara ndipo tulipo anzia kuskia kuhusu
..
Mkongo, vibamia, wanaume wa dar ,nk Nina wasi wasi huenda Kuna ka ajenda frani ka kuongeza ushoga duniani. Kupitia tohara

usini ambie kuhusu biblia au Qruan vina semaje kuhusu tohara. niambie kitu kabra ya biblia au Qruan
NINA IMANI MUNGU SI MJINGA ILA MIMI NA WEWE NIWAJINGA TULIO MUONA MUNGU MJINGA🙏🙏
 
🙏🙏🙏




Ume Nena vema mkuu ila ukweli ni kwamba Kuna Siri nzito kwenye hili Jambo la tohara

Mzungu hana kitu Cha bule mkuu lazima Kuna kitu so hivihivi

Na kuhusu feminism sidhani Kama Ina weza ku athili NGUVU za KIUME kwani Hilo ni Jambo la usawa tu lakini hai athili asiri ya ya jinsia

mwanamke atakuwa mwanamke tuu kwa Sheria za kijinsia zilizo wekwa na muumba

na mwanaume atabaki kuwa mwanaume tuu kwa Sheria za kijinsia zilizo wekwa na muumba

Kumbuka Mkuu baada ya tohara ndipo tulipo anzia kuskia kuhusu
..
Mkongo, vibamia, wanaume wa dar ,nk Nina wasi wasi huenda Kuna ka ajenda frani ka kuongeza ushoga duniani. Kupitia tohara

usini ambie kuhusu biblia au Qruan vina semaje kuhusu tohara. niambie kitu kabra ya biblia au Qruan
NINA IMANI MUNGU SI MJINGA ILA MIMI NA WEWE NIWAJINGA TULIO MUONA MUNGU MJINGA🙏🙏
Tohara ilianza lini?? Em tuanzie hapo maana sie tumezaliwa tumeikuta au wewe ni miaka ipi ambayo tohara haikuwepo.

Maana kwenye kila maelezo yako unasema kabla ya tohara ni miaka ipi hiyo tohara haikuwepo??

Na hao watu wa vijijini utajuaje wana upungufu wa nguvu za kiume ilhali wengi hawapo huku mitandaoni ambako hii ajenda inaendeshwa!??

Hata mimi binafsi nimekuja kuijuia saana baada ya kua mtu wa mitandaoni sana la sivyo wala nisingeona kama ni ishu kubwa.

Kama ni mfuatiliaji basi utaona kua ni miaka ya hivi karibuni ndo madawa haya yanauzwa sana, tatizo linakuzwa isivyo kawaida na kila mtu ana mtazamo wake.

Si ajabu mimi na wewe tuna maana tofauti za hilo tatizo, mwingine akifika mshindo baada ya dakik 10 atasema ana tatizo, wengine 5 tu anajiona shujaa. So ni ishu mtambuka na kama sio mtaalamu wa hayo mambo(dakatari) utakua unatudanganya tu na utafiti wako.
 
Punguza hasira mkuu pia punguza rugha chafu. Utafiti WANGU una anzia vijijini. ambako wengi hawaja fanyiwa TOHARA! Kisha unaishia mjini ambako wengi wame fanyiwa TOHARA. vipi mkuu Usha wai jiuliza kwann mjini biashara ya unga wa mkongo Ina tembea sana? Je unadhani nikwanini? Tuanzie hapo boss wangu
wewe zwazwa hujui tohara ilianza miaka kabla ya kristu kuja duniani.

Umefanya utafiti gani ku-justify statement yako.?

Ni dhahiri kuwa ww ni mropokaji usiyejua kuweka L kwenye R.
Rugha=lugha
pumbafu
 
wewe zwazwa hujui tohara ilianza miaka kabla ya kristu kuja duniani.

Umefanya utafiti gani ku-justify statement yako.?

Ni dhahiri kuwa ww ni mropokaji usiyejua kuweka L kwenye R.
Rugha=lugha
pumbafu
wewe zwazwa hujui tohara ilianza miaka kabla ya kristu kuja duniani.

Umefanya utafiti gani ku-justify statement yako.?

Ni dhahiri kuwa ww ni mropokaji usiyejua kuweka L kwenye R.
Rugha=lugha
pumbaf
sorry najitambua.nafanya majukum yangu. nibaba pia. kazini kwangu naingiza mshahara wa walimu wa wili kwa lisaa. kwahiyo.mimi siyo zwazwa mkuu.
Na kuhusu tohara kuanza mda kabra ya kristo siwezi kuku bishia kwani skuwepo kipindi hicho huwa na hadithiwa kwamba kulikuwa na kristo hope uli hadithiwa pia.

kwahiyo ninaamini hadithi inaweza kuwa niya kweli au si kweli mkuu. ila binafsi Katina tafta tafta yangu huku na kule nilikuja kugundua tohara ni agano la mungu wa Israel na abrahamu
Kwa tafsiri nyingine nikwamba agano lile halini husu Mimi mnyiha wa mbozi kwani Mimi si kizazi Cha abrahamu yule wa Israel.mimi ni mnyiha wa mbozi Tanzania
Lakini kufuatana na utanda wazi imekuwa nilazima nikate kwa kuhofia kuchekwa na Wana funzi wenzangu kulee shuleni
Lakini baada ya kukuwa na kuwa mtu mzima nilijiuliza swali hili. je Babu yangu alikata? jibu likaja hakukata na hata baba yake hakukata
Cha ajabu babu alizaa watoto 14 kwa mke wa Kwanza nawa toto 15 kwamke wa pili
nilipo jumlisha Nika gundua babu alizaa watoto 29 Tena woote wazima mpaka Leo na wao hawakufanyiwa tohara kwa wakiume.

Tena wengi ni copy ya marehemu babu yangu! nikajiuliza je kuwa na mzura Kuna athali gani kwenye Maisha ya mtoto wa kiume ?

Nilipo jaribu kuulizia kwa watu tofauti tofauti nika ambiwa ni uchafu napia Ina punguza maambukizi ya virusi vya ukimwi! Nikajiuliza je kabra ya yesu ukimwi ulikuwepo? Nilishindwa kupata jibu
Nika jiuliza Tena je elimu hii tumepewa na Nani? Nika gundua ni watu walio somea Mambo ya afya. nikajiuliza Tena na Tena
Hawa watu Wana tokea wapi? Jibu likaja ni watu weupe wale walio tuletea dini,elimu,ustaarabu,"
Na ndiyo hao hao walio tuletea ebora, covid19,na HIV.au ukimwi na ndiyo hao hao wanao toa elimu ya umhimu wa tohara"
na pia ndiyo hahao walio tuletea condoms, arvs, na ndiyo hao hao wanao fadhiri tohara Tena bule"
Mkuu niliendelea kujiuliza zaidi mzungu huyuhuyu aliye tupa kete. tukampa dhahabu. ndiyo wakutusaidia tufanye tohara bule ili tusipate ukimwi,tuwe wasafi bule kabisaa?
Bila malipo yoyote Yani ukimwi usiwepo. ili asiuze ARVS,condoms, kweli? Sikuku Bali kirahisi.nikajiuliza pia ukienda kung'oa jino unapewa jino lako mbona ukikata govi haupewi nyama yako?
Baada ya uchunguzi Nika gundua nyama za magovi zinatumika kushonea majeraha ya binadamu na vidonda vya operations za mwili"
nadhani una fahamu magonjwa ya operations yalivyo gharama mkuu.
Sikuishia hapo nilianza kichukunza mwenendo wa mwili wangu hatua kwa hatua Nika gundua baada ya tohara Kwanza ulefu wa uume wangu ulipungua
Nikachunguza kuhusu maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaani STDs Kama Gono, U.T.I, nk Nika tambua ya kwamba
Mwenye Sweta Ana ambukizwa na asiye na Sweta Ana ambukizwa pia"
Nikaja kuchunguza kuhusu HIV je wenye magovi ndiyo wenye ukimwi? nikagundua hapana hata wasiyo na magovi Wana ukimwi Tena niwengi kuliko wenye masweta"
Nikaamua kutembelea vijijini Kama Zambia vijijini mbozi vijijini rungwe vijijini mpaka kulee kwa Akina mwandosya
na Kama ulikuwa hujui hayo ndiyo makabila yenye masweta mengi zaidi au labda nikuambie nyanda za juu kusini vijijini
Nika gundua watu wa vijijini wengi afya zao zipo imara ndoa zao zipo sarama kuchepuka kupo lakini si kwa kukosa kufikishwa hapana ni kule kwa kubadilisha mboga tuu"
na pia ndiyo wanao ongoza kwa kufanya tendo la ndoa mara nyingi zaidi kuliko watu wa mjini
baada ya hapo ndipo nikajiuliza maswali HAYA
1)je tohara ni campaign ya kupunguza NGUVU za KIUME ili kuongeza umalaya kwa wanawake kusudi ukimwi uenee serikali zinunue RVs kutoka kwa Hawa whites Kisha wapae kiuchumi?

2)je tohara ni kwa ajiri ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa kwa lengo la kupunguza ongezeko la mimba jambo litakalo pelekea high population? wakati wao plan yao nikupunguza idadi ya watu duniani kwa mpango wa NWO?
3)JE TOHARA NI BIASHARA YA ngozi ya binadamu inayo tokana na ngozi ndogo ndogo nyingi kuunganishwa Kisha kutokeza ngozi kubwa ya binadamu?
Swali hili niliji uliza
baada ya
1:kuto kuwai kuona dampo la magovi kwenye hospitals kibao

2:kutoa pewa govi lako baada ya kukatwa"
3:huduma hiyo kutolewa bule kwa udhamini wa muzungu au mkloni wa Jana

baada ya kujiuliza maswali yote hayo mkuu ndipo nikaona niilete humu jf labda Nita ambulia chochote kutoka kwa wasomi wa humu ndani
Ndiyo Nika kutana na mwalimu wa kiswahili.anani fundisha tofauti ya R na L.,,"anania adithia habari za Akina Jesus. lakini hajui chochote kuhusu Akina mwana malundi"
Ana jiita msomi inchi Haina maji na ina maziwa makuu matatu na Hana Cha kusaidia Yuko busy na R NA L
Anajiita msomi inchi Ina makaa ya mawe,gesi, lakini hana wazo la nini kifanyike kupitia HAYA madini tupate umeme na nishati nyingine pumbaafuu 😂😂😂 nimekurudishia mkuu NA KUANZIA LEO JINA LAKO NI tofauti ya R na L
 
wewe zwazwa hujui tohara ilianza miaka kabla ya kristu kuja duniani.

Umefanya utafiti gani ku-justify statement yako.?

Ni dhahiri kuwa ww ni mropokaji usiyejua kuweka L kwenye R.
Rugha=lugha
pumbafu
wewe zwazwa hujui tohara ilianza miaka kabla ya kristu kuja duniani.

Umefanya utafiti gani ku-justify statement yako.?

Ni dhahiri kuwa ww ni mropokaji usiyejua kuweka L kwenye R.
Rugha=lugha
pumbaf
sorry najitambua.nafanya majukum yangu. nibaba pia. kazini kwangu naingiza mshahara wa walimu wa wili kwa lisaa. Kwahiyo.mimi siyo zwazwa mkuu.

Na kuhusu tohara kuanza mda kabra ya kristo siwezi kuku bishia kwani skuwepo kipindi hicho huwa na hadithiwa kwamba kulikuwa na kristo hope uli hadithiwa pia.


kwahiyo ninaamini hadithi inaweza kuwa niya kweli au si kweli mkuu.


ila binafsi Katika tafta tafta yangu huku na kule nilikuja kugundua tohara ni agano la mungu wa Israel na abrahamu


Kwa tafsiri nyingine nikwamba agano lile halini husu Mimi mnyiha wa mbozi kwani Mimi si kizazi Cha abrahamu yule wa Israel.

mimi ni mnyiha wa mbozi Tanzania
Lakini kufuatana na utanda wazi imekuwa nilazima nikate kwa kuhofia kuchekwa na Wana funzi wenzangu kulee shuleni

Lakini baada ya kukuwa na kuwa mtu mzima nilijiuliza swali hili. je Babu yangu alikata?

jibu likaja hakukata na hata baba yake hakukata


Cha ajabu babu alizaa watoto 14 kwa mke wa Kwanza nawa toto 15 kwamke wa pili


nilipo jumlisha Nika gundua babu alizaa watoto 29 Tena woote wazima mpaka Leo na wao hawakufanyiwa tohara, kwa wakiume.

Tena wengi ni copy ya marehemu babu yangu! nikajiuliza je kuwa na mzura Kuna athali gani kwenye Maisha ya mtoto wa kiume ?

Nilipo jaribu kuulizia kwa watu tofauti tofauti nika ambiwa ni uchafu napia Ina punguza maambukizi ya virusi vya ukimwi!

Nikajiuliza je kabra ya yesu ukimwi ulikuwepo?

Nilishindwa kupata jibu

Nika jiuliza Tena je elimu hii tumepewa na Nani?

Nika gundua ni watu walio somea Mambo ya afya.

nikajiuliza Tena na Tena Hawa watu Wana tokea wapi?

Jibu likaja ni watu weupe wale walio tuletea dini,elimu,ustaarabu,"

Na ndiyo hao hao walio tuletea ebora, covid19,na HIV.au ukimwi ,.

na ndiyo hao hao wanao toa elimu ya umhimu wa tohara"

na pia ndiyo hahao walio tuletea condoms, arvs, na ndiyo hao hao wanao fadhiri tohara Tena bule"

Mkuu niliendelea kujiuliza zaidi mzungu huyuhuyu aliye tupa kete. tukampa dhahabu. ndiyo wakutusaidia tufanye tohara bule ili tusipate ukimwi,tuwe wasafi bule kabisaa?

Bila malipo yoyote Yani ukimwi usiwepo. ili asiuze ARVS,condoms, kweli?

Sikuku Bali kirahisi.nikajiuliza pia ukienda kung'oa jino unapewa jino lako mbona ukikata govi haupewi nyama yako?

Baada ya uchunguzi Nika gundua nyama za magovi zinatumika kutengenezea nyuzi

zinatumika
kushonea majeraha ya binadamu na vidonda vya operations za mwili"

nadhani una fahamu magonjwa ya operations yalivyo gharama mkuu.
Sikuishia hapo nilianza kichukunza mwenendo wa mwili wangu hatua kwa hatua

Nika gundua baada ya tohara Kwanza ulefu wa uume wangu ulipungua

Nikachunguza kuhusu maambukizi ya magonjwa ya zinaa yaani STDs Kama Gono, U.T.I, nk

Nika tambua ya kwamba
Mwenye Sweta Ana ambukizwa na asiye na Sweta Ana ambukizwa pia"

Nikaja kuchunguza kuhusu HIV je wenye magovi ndiyo wenye ukimwi?

nikagundua hapana hata wasiyo na magovi Wana ukimwi Tena niwengi kuliko wenye masweta"


Nikaamua kutembelea vijijini Kama Zambia vijijini mbozi vijijini rungwe vijijini mpaka kulee kwa Akina mwandosya

na Kama ulikuwa hujui hayo ndiyo makabila yenye masweta mengi zaidi au labda nikuambie nyanda za juu kusini vijijini

Nika gundua watu wa vijijini 1)wengi afya zao zipo imara

2)ndoa zao zipo sarama

3)kuchepuka kupo lakini si kwa kukosa kufikishwa
hapana ni kule kwa kubadilisha mboga tuu"

na pia ndiyo wanao ongoza kwa kufanya tendo la ndoa mara nyingi zaidi kuliko watu wa mjini/walionfanyiwa tohara

baada ya hapo ndipo nikajiuliza maswali HAYA

1)je tohara ni campaign ya kupunguza NGUVU za KIUME ili kuongeza umalaya kwa wanawake kusudi ukimwi uenee serikali zinunue RVs kutoka kwa Hawa whites Kisha wapae kiuchumi?

2)je tohara ni kwa ajiri ya kupunguza hamu ya tendo la ndoa kwa lengo la kupunguza ongezeko la mimba jambo litakalo pelekea high population? wakati wao plan yao nikupunguza idadi ya watu duniani kwa mpango wa NWO?


3)JE TOHARA NI BIASHARA YA ngozi ya binadamu inayo tokana na ngozi ndogo ndogo nyingi kuunganishwa Kisha kutokeza ngozi kubwa ya binadamu?
Swali hili niliji uliza
baada ya
1:kuto kuwai kuona dampo la magovi kwenye hospitals kibao

2:kutoa pewa govi lako baada ya kukatwa"

3:huduma hiyo kutolewa bule kwa udhamini wa muzungu au mkloni wa Jana

baada ya kujiuliza maswali yote hayo mkuu ndipo nikaona niilete humu jf labda Nita ambulia chochote kutoka kwa wasomi wa humu ndani

Ndiyo Nika kutana na mwalimu wa kiswahili.anani fundisha tofauti ya R na L.,,"

anania adithia habari za Akina Jesus. lakini hajui chochote kuhusu Akina mwana malundi"


Ana jiita msomi inchi Haina maji na ina maziwa makuu matatu na Hana Cha kusaidia Yuko busy na R NA L

Anajiita msomi inchi Ina makaa ya mawe,gesi, lakini hana wazo la nini kifanyike kupitia HAYA madini tupate umeme na nishati nyingine pumbaafuu 😂😂😂

nimekurudishia mkuu NA KUANZIA LEO JINA LAKO NI tofauti ya R na L
 
Punguza hasira mkuu pia punguza rugha chafu. Utafiti WANGU una anzia vijijini. ambako wengi hawaja fanyiwa TOHARA! Kisha unaishia mjini ambako wengi wame fanyiwa TOHARA. vipi mkuu Usha wai jiuliza kwann mjini biashara ya unga wa mkongo Ina tembea sana? Je unadhani nikwanini? Tuanzie hapo boss wangu
Vijijini sikuizi kuna ngoma sana bora mjini..huwa nawashangaa sana watu wanaoagiza mke kutoka kijijini, vijijini wanafanya ngono zembe kwa kasi kuliko mijini na ukimwi ni kugusa tu acha kudanganya umma
 
Vijijini sikuizi kuna ngoma sana bora mjini..huwa nawashangaa sana watu wanaoagiza mke kutoka kijijini, vijijini wanafanya ngono zembe kwa kasi kuliko mijini na ukimwi ni kugusa tu acha kudanganya umma
Mkuu vijijini ukimwi upo skatai lakini si Kama mjini. mjini kinacho wa beba ni lishe. Kunatofauti kubwa Kati ya mgonjwa wa HIV wa mjini na kijijini

Mtu wa mjini Unaweza mkuta Ana kitambi Safi afya yake Safi

lakini ni infected yote kwasababu ya rishe

Lakini mtu wa kijijini akiwa na HIV utajua tu kwani kazi anayo fanya ningumu chakula ni chaku copy/duni

mfano Kama yupo uyole/MBEYA VIJIJINI
Basi atakulasana viazi mviringo"

Kama Yupo kYela Basi ni wali na samaki kwani hicho ndicho chakula kikuu Cha mazingira hayo

Kama YUPO RUNGWE Basi ni ndizi Sana na mboga

Tofauti na mjini mtu atakula mkologo,uji lishe, kuku,nyama, au Kama wasemavyo mboga saba

Kwahiyo nilazima mtu wa mjini ataonekana Ana afya lakini Ana HIV

lakini mtu wa kijijini akiwa na HIV hudhohofika haraka Sana na hata Kama anatumia itajuli kana pia yote kwasababu ya lishe duni
Hasubuhi ugari , mchana ugari,jioni ugari, kuku mpaka skukuuu.

Nikupe mfano Kuna siku nilitembelea Zambia

nikaambiwa na mwenyeji wangu kwamba UKIMWI WA ZAMBIA NIMKALI KULIKO WA TANZANI

na nikweli mgonjwa wa ukimwi wa Zambia unatisha kuliko tz

Nilipo ludi tunduma Tanzania Hari ilikuwa tofauti ukiangalia Bodies za watanzania na wazambia nitofauti

Wazambia wengi ninslim na dhaifu

lakini wa tz wengi ni wanene na strong kuanzia kuongea mpaka kutembea na hata wale wembamba si Kama wazambia

Nilipo fanya uchunguzi nikagundua

👉Wazambia wanakunywa Sana pombe Yani niwalevi hawana mda wa kunywa Kama ilivyo tz
uanzia saa 8 baa zifunguliwe hapana

Zambia niwewe tuu hata saa 12 hasubuhi kunywa tu ni Hera yako

👉Nikagundua Cha kula Chao kikuu ni ugali wao huita UBWALI/NSIMA na wale dagaa wakubwa. Au popa wanavyo waita wao

👉Wazambia hupenda vya kula vya kisasa Sana not natural foods Kama tanzani.
 zambia
kuku kisasa, samaki kisasa, yai kisasa, in short they don't know about diet
na ndiyo maana Zambia wengi wembamba na afya zao ni dhaifu

Nahata HIV pale Zambia inaonekana nikali kuliko tz kwasababu wenzetu Hawa tiilii maana kitu lishe

Nitofauti na tz ambako
mtu ataagiza Wali na nyama, Maziwa mgando,palachichi, nandizi pembeni maharage,mboga za majani

Kwahiyo tz si rahisi kumjua Nani kaumia Nani Yuko poa kuliko Zambia

Kwahiyo nika hitimisha kwamba Zambia na Tanzania ukimwi ni uleule tofauti ni lishe,

kwahiyo mkuu nakubaliana na ww kwamba vijijini ukimwi upo

lakini si sawa na mjini mjini nihatari kinacho wabeba ni uzingativu

Nakubaliana na wewe kuhusu vijijini kufanya ngono zembe Sana hili sipingi
Mkuu

lakini vijijini ukichunguza vizuri mala nyingi hufanya Sana wale wanao Juana Juana

sirahisi Sana ukaingia Leo leo na leo Leo uopoe kijijini Kama ilivyo mjini
ningumu kidogo labda Kama katoka mjini juzi mkuu

Kuhusu watu kuagiza wanawake vijijini hili si kwasababu ya ukimwi hapana

ni kupolomoka kwa maadili mjini dada zetu mjini wanajiachia Sana mkuu wapo kiupigaji Sana mkuu

Mwisho wa siku watu wanaona warudi bushi
 
We jamaa una elimu gani?

Vitu vidogo namna hiyo unajipotosha.

Tafiti za waathirika huko vijijini umezipataje?

Au hujui kua vijiji vingi dawa za kufubaza virusi huzifata mijini, utamjuaje na unamuana ananawiri kila siku, tumia kinga kijana.

Taarifa za mapungufu ya nguvu za kiume mijini umeyatambuaje?

Feminism huku mijini ndo inafanya kuonekana kuna tatizo, tofauti na vijijini ambako mwanamke ndie anaetakiwa kumridhisha mwanaume.

Mfano ni kule moshi ambako unaambiwa wanaume wanalewa mpaka wanashindwa kunyandua wake zao. Lakini hilo sio kua wameanza kunywa juzi au jana, ni kitambo tu ila feminism haikuwepo ila baada ya hizi blah blah za haki sawa kusambaa ndo wanawake huko wameibuka.

Subiri ni mdogo mdogo na kijiji chako kitafikiwa na wanawake watainuka kusema hamuwaridhishi kwa bed, mna vibamia nk.
Hapana mkuu achana na tafiti za serikali niza posho tu

ingia front mwenyewe ujionee vijana
Walivyo jaza unga wa mkongo mifukoni.
 
Ujue mshikaji unatetea ujinga kabisa... ona aibu basi
Bola uwe mjinga mwenye ujinga wa kuzaliwa nao

kuliko kuwa mjinga mwenye ujinga wa kuambiwa fanya ujinga

na ukaufanya na kuu tetea japo unakuteketeza na una teketea mkuu
👊👊👊🙏🙏🙏
 
Back
Top Bottom