Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndugu kwani mjini ni dar pekee ake!!? Mbona kila mkoa una mjini!?? Hata huo mkoa unaoishi una mjini je wanawakw hawalalamiki?[emoji23][emoji23]Aibu gani boss wangu Dada zako dar wanalia Hawa shibi au nawewe mwanaume wa dar???[emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sawa mkuu tunaomba elimu pia juu ya hizo causes na jinsi ya kuzi tatuaHakuna kata kimoja ambacho kinasababishwa na hilo hapo, ni imani yako tu hata uspofanyiwa tohara ngoma utapata na vumbi utatumia , ishu za nguvu za kiume zina cause nyingi sana lakini sio sababu hiyo
Ahsante mkuu🙏🙏🙏Ndugu kwani mjini ni dar pekee ake!!? Mbona kila mkoa una mjini!?? Hata huo mkoa unaoishi una mjini je wanawakw hawalalamiki?
Tohara ni nzuri inasaidia sna kujinga na magonjwa ya ngono hata ukimwi kwa sababu ya ugumu ya ile sehemu ya kichwa cha Abudalah panakuwa vigumu kupata majeraha au michubuko ambayo ndo chanzo cha kuambukizwa bakiteria waaababishao magongwa
Ila sishaur kumfanyia mtoto mdogo sana chini ya miaka 10 Tohara sio vizuri sana wengine hupata vibamia na upungufu wa kiume kwa sababu hii sio Doctor ila ni mtazamo wangu tu na imani yangu kama mnavojua unachokiamini huwa au hutokea hata ukihisi kuumwa hata kama huumwi baada ya mda tu utajisikia kuumwa kweli.
NI kweli hata mimi one time ilinikuta ila wakasema ni depression, kama wiki mbili hivi sikuweza kupiga show ila nilivyotuliza akili mambo yakarudi kama kawa mpaka leoSawa mkuu tunaomba elimu pia juu ya hizo causes na jinsi ya kuzi tatua
kwani hili tatizo lime kuwa janga kwa sasa
Nimekuelewa una maanisha Hali hiyo Ina tokana na kuto kujiaminiNI kweli hata mimi one time ilinikuta ila wakasema ni depression, kama wiki mbili hivi sikuweza kupiga show ila nilivyotuliza akili mambo yakarudi kama kawa mpaka leo
Kuhusu causes nyingine mpaka tutafute google maana sio mtaalam sana wa hha
Rishe = lishe, hasubuhi = asubuhi, ugari = ugaliMkuu vijijini ukimwi upo skatai lakini si Kama mjini. mjini kinacho wa beba ni lishe. Kunatofauti kubwa Kati ya mgonjwa wa HIV wa mjini na kijijini
Mtu wa mjini Unaweza mkuta Ana kitambi Safi afya yake Safi
lakini ni infected yote kwasababu ya rishe
Lakini mtu wa kijijini akiwa na HIV utajua tu kwani kazi anayo fanya ningumu chakula ni chaku copy/duni
mfano Kama yupo uyole/MBEYA VIJIJINI
Basi atakulasana viazi mviringo"
Kama Yupo kYela Basi ni wali na samaki kwani hicho ndicho chakula kikuu Cha mazingira hayo
Kama YUPO RUNGWE Basi ni ndizi Sana na mboga
Tofauti na mjini mtu atakula mkologo,uji lishe, kuku,nyama, au Kama wasemavyo mboga saba
Kwahiyo nilazima mtu wa mjini ataonekana Ana afya lakini Ana HIV
lakini mtu wa kijijini akiwa na HIV hudhohofika haraka Sana na hata Kama anatumia itajuli kana pia yote kwasababu ya lishe duni
Hasubuhi ugari , mchana ugari,jioni ugari, kuku mpaka skukuuu.
Nikupe mfano Kuna siku nilitembelea Zambia
nikaambiwa na mwenyeji wangu kwamba UKIMWI WA ZAMBIA NIMKALI KULIKO WA TANZANI
na nikweli mgonjwa wa ukimwi wa Zambia unatisha kuliko tz
Nilipo ludi tunduma Tanzania Hari ilikuwa tofauti ukiangalia Bodies za watanzania na wazambia nitofauti
Wazambia wengi ninslim na dhaifu
lakini wa tz wengi ni wanene na strong kuanzia kuongea mpaka kutembea na hata wale wembamba si Kama wazambia
Nilipo fanya uchunguzi nikagundua
👉Wazambia wanakunywa Sana pombe Yani niwalevi hawana mda wa kunywa Kama ilivyo tz
uanzia saa 8 baa zifunguliwe hapana
Zambia niwewe tuu hata saa 12 hasubuhi kunywa tu ni Hera yako
👉Nikagundua Cha kula Chao kikuu ni ugali wao huita UBWALI/NSIMA na wale dagaa wakubwa. Au popa wanavyo waita wao
👉Wazambia hupenda vya kula vya kisasa Sana not natural foods Kama tanzani.
zambia
kuku kisasa, samaki kisasa, yai kisasa, in short they don't know about diet
na ndiyo maana Zambia wengi wembamba na afya zao ni dhaifu
Nahata HIV pale Zambia inaonekana nikali kuliko tz kwasababu wenzetu Hawa tiilii maana kitu lishe
Nitofauti na tz ambako
mtu ataagiza Wali na nyama, Maziwa mgando,palachichi, nandizi pembeni maharage,mboga za majani
Kwahiyo tz si rahisi kumjua Nani kaumia Nani Yuko poa kuliko Zambia
Kwahiyo nika hitimisha kwamba Zambia na Tanzania ukimwi ni uleule tofauti ni lishe,
kwahiyo mkuu nakubaliana na ww kwamba vijijini ukimwi upo
lakini si sawa na mjini mjini nihatari kinacho wabeba ni uzingativu
Nakubaliana na wewe kuhusu vijijini kufanya ngono zembe Sana hili sipingi
Mkuu
lakini vijijini ukichunguza vizuri mala nyingi hufanya Sana wale wanao Juana Juana
sirahisi Sana ukaingia Leo leo na leo Leo uopoe kijijini Kama ilivyo mjini
ningumu kidogo labda Kama katoka mjini juzi mkuu
Kuhusu watu kuagiza wanawake vijijini hili si kwasababu ya ukimwi hapana
ni kupolomoka kwa maadili mjini dada zetu mjini wanajiachia Sana mkuu wapo kiupigaji Sana mkuu
Mwisho wa siku watu wanaona warudi bushi
Na vipi baada ya utafiti nikagundua niliganya makosa utanisaidajeTohara haikuwepo nchini?? Katahiriwe kwanza halafu uendelee na utafiti
Msomiii nakuskiliza Kuna KINGINE?Rishe = lishe, hasubuhi = asubuhi, ugari = ugali
Sasa kama kuandika tu kiswahili huwezi tutaaamini vipi huo utafiti wako? Na huo utafiti ulihusisha watu wangapi na kwa muda gani? Pia ilihusisha vijiji vingapi na miji mingapi?Msomiii nakuskiliza Kuna KINGINE?
😃😃😃😃 Tetiii..Mwakata mlumendo??? Mwadamla???
Niutafiti binafsi na skuwa na uhakika nao ndiyo maana nikataka kujua kupitia forums nikiamini kumawatu watakuwaSasa kama kuandika tu kiswahili huwezi tutaaamini vipi huo utafiti wako? Na huo utafiti ulihusisha watu wangapi na kwa muda gani? Pia ilihusisha vijiji vingapi na miji mingapi?
Comparation = cooperation? Huu uzi wako ilitakiwa uwe na point za kisomi sio hizi porojo zako. Maswali marahisi kabisa nimekuuliza unajibu ni utafiti binafsi... ina maana utafiti binafsi haufuati kanuni za utafiti? Unafahamu jina KOTHARI?Niutafiti binafsi na skuwa na uhakika nao ndiyo maana nikataka kujua kupitia forums nikiamini kumawatu watakuwa
Wana ujuzi au uzoefu na hili lakini nakuta mswahili anani kosoa kiswahili badala ya kuniambia juu ya like ninacho taka kujua
But Any way nashukuru thanx for you comparation
SHUKRANI na naomba kujuzwa kuhusu KOTHARI tafadhari Kama itakupendezaComparation = cooperation? Huu uzi wako ilitakiwa uwe na point za kisomi sio hizi porojo zako. Maswali marahisi kabisa nimekuuliza unajibu ni utafiti binafsi... ina maana utafiti binafsi haufuati kanuni za utafiti? Unafahamu jina KOTHARI?
Unajua sisi wengine tulisha gundua kwamba elimu tunayo pewa ni kitu kilicho andikwa au kuandaliwa na watuComparation = cooperation? Huu uzi wako ilitakiwa uwe na point za kisomi sio hizi porojo zako. Maswali marahisi kabisa nimekuuliza unajibu ni utafiti binafsi... ina maana utafiti binafsi haufuati kanuni za utafiti? Unafahamu jina KOTHARI?
Haijarishi = haijalishi, kuferi = kufeli, kufauru = kufaulu, kufikilia = kufikiria.... kama hukwenda shule ni vema ukakaa kimya mbele ya wasomi. Comments zako naziona tu kama takataka. Kuandika kiswahili tu hujui sasa huo utafiti wako uliwezaje kufanya? Halafu achana na mambo ya hekima na busara kwenye mambo ya kitaaluma. Wewe hadhi yako ni ya kupiga stori vijiweni sio kuanzisha uzi humu.Unajua sisi wengine tulisha gundua kwamba elimu tunayo pewa ni kitu kilicho andikwa au kuandaliwa na watu
Kwa tafsiri nyingine nikwamba unalazimishwa kumeza kitu ambacho kimeandaliwa namtu mwingine
haijarishi nikweli au si kweli
Na nilazima ufanye hivyo kwasababu usipo fanya hivyo utaferi mtihani na mtiani ndiyo maisha yako
hivyo ndivyo mlivyo aminishwa nyie wasomi wa darasani
Lakini sisi huku tuna jua kwamba mwanadamu nidhaifu na anaweza kukosea Kwanini nimwamini hata kwenye swala la maisha yangu binafsi?
Ndipo tunapo kuja kugundua kwamba Kuna Uhuru wakufikilia
Kwamba Wewe huwezi kuniwekea mpaka Mimi wakufikili nje ya elimu yako
kwasababu Mimi Sina mtihani wa kuferi au kufauru
mfano msomi unaniambia condom inazuia maambukizi ya HIV kwa asilimia 60 labda
Mimi nitakuambia Wewe msomi kwamba condom sio Kinga Wala tohara sio Kinga ya HIV utani bishia?
Una weza kuwa msomi na ukakosa hekima bado ni kazi bure
Labda nikuulize unafahamu tofauti Kati ya hekima na elimu?
Sawa naomba endelea kunifundisha na nipo tayali kujifunza🙏🙏Haijarishi = haijalishi, kuferi = kufeli, kufauru = kufaulu, kufikilia = kufikiria.... kama hukwenda shule ni vema ukakaa kimya mbele ya wasomi. Comments zako naziona tu kama takataka. Kuandika kiswahili tu hujui sasa huo utafiti wako uliwezaje kufanya? Halafu achana na mambo ya hekima na busara kwenye mambo ya kitaaluma. Wewe hadhi yako ni ya kupiga stori vijiweni sio kuanzisha uzi humu.
Stori=story🤣🤣🤣Haijarishi = haijalishi, kuferi = kufeli, kufauru = kufaulu, kufikilia = kufikiria.... kama hukwenda shule ni vema ukakaa kimya mbele ya wasomi. Comments zako naziona tu kama takataka. Kuandika kiswahili tu hujui sasa huo utafiti wako uliwezaje kufanya? Halafu achana na mambo ya hekima na busara kwenye mambo ya kitaaluma. Wewe hadhi yako ni ya kupiga stori vijiweni sio kuanzisha uzi humu.