Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Je, Kuna Uhusiano wa Dini, Kabila na Ukakamavu? Watu wa Dini, Kabila fulani, ni wazuri zaidi jeshini kuliko dini, kabila nyingine?

Mtoa mada alilenga kuonesha udhaifu uliopo upande wa watu wa dini fulani kwa kutumia vyeo vya jeshi, hivo hata hilo suali lake hali justfy kile alichokifananisha. Mfano nilio utoa ni proof hakuna uhusiano kati ya uimara wa watu wa dini fulani kwa kutumia vyeo vya jwtz. Hebu tazama vita ya Afghanistan, Rudi kipindi kile Marekani Wali invade Somalia, Tazama Russia walipo invade Afghanistan nini kilichotokea. Kwa ufupi hoja yake ni dhaifu na haina mashiko
Hii haiwezi kutoa justification yoyote kwa sababu hata hilo jeshi la serikali linalotolewa jasho na Al shaabab ni wa dini ile ile kama ya hao Al shaabab
 
Mkuu P, nadhani unakumbuka pia kwamba miaka ile kazi za kipolisi au uanajeshi zilijazwa kwa asilimia kubwa though recruitment ya wale aina hii .... very thin upstairs ..... na hata kama wembamba hao wapo kibao siku hizi, ile ajira inachukua wasomi zaidi siku hizi. Mageuzi ya TECHNOLOGY yamepelekea kutaka wenye APTITUDE pia.
Ila miongoni mwa wale wembamba upstairs ni jamaa wengi wenye affinity na MIRABA MINNE. Sasa kama kuwa better scouts inayo co-factor na hayo mapungufu sina uhakika. Halafu nimeambiwa ati Wajerumani waliwatumia sana wababe wa Kinubi kwenye boma zao miaka ile. Hawa jamaa inasemekena sifa yao kuu ilikua ushenzi wao. Wababe sana. Kama yalivo makabila kadhaa ya NILOTICS kuna a good number of similarities. Nsije nkaitwa mkabila, naishia hapo. As for DINI ... imenipeleka mbali jinsi ya kabila dogo la kiyahudi lilivo jeuri dhidi ya jirani zake na majeshi ya kina Saddam Hussein na Ghadaffi yalivosambaratishwa nyumbani kwao na BASUNGU.
JUMAPILI YA MATAWI NJEMA.
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?.

Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu.
Na jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P
Mkuu, bila shaka kama mwanasheria utakuwa umesoma kiasi fulani falsafa.

Kwa kujibuswali lako kiujuma bil;a kuzingatia Hapa tanzania, partly ni ndiyo.

matendo ya mwanadamu basically yanaanzia kwenye "mind" na mind grows in a certain environment. mtu kuwa strong haitokani na ukubwa wa mwili au uimara wa misuli bali what drives him from his mind. Daudi alikuwa mdogo na Goliat giant but Daaud alitumia Kombeo kummaliza giant.

Tukirudi kwa jamii zetu haapa Tz kuna baadhi ya jamii zinashamiri sana katika kazi, biashara nk. na jamii nyingine ni starehe zaidi. Kwa hii ni wepi kati ya jamii hizi watajiunga na jeshi?

Kwa hiyo kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo kwa uhusiano wa makabila, dini nk. na kazi za ulizosema na matokeo yake ni kupanda ngazi na kufikia upeo wa juu.

Japan wafanyakazi hawapendi kwenda likizo. hata kufanya kazzi kunaanzia kwenye mind which is a product of the envirronment where individual grows!
 
Wanabodi,

Hii ni thread ya swali
Jee Kuna Uhusiano Wowote Kati ya Dini na Majeshi?. Jee Kuna Watu wa Dini Fulani ni Wazuri Zaidi Jeshini Kuliko Dini Nyingine?.

Kufuatia Mkuu wetu wa Majeshi wa sasa kufanya kazi nzuri iliyotukuka Jeshini kuliko wakuu wengine wote waliotangulia, inawezekana huu uchapa kazi wake unatokana na kutoka kabila la wachapakazi?.

Katika kuwadurufu Wakuu wa Majeshi waliotangulia, kuna kitu strange nimekinote.

Wakuu hawa ni Jenerali Mirisho Sarakikya, Jenerali Abdalah Twalipo, Jenerali David Musuguri, Jenerali Ernest Mwita Kiaro, Jenerali Robert Mboma, Jenerali George Waitara, Jenerali Davis Mwamunyange, wa sasa Jenerali Venance Mabeyo.

Wote wana majina ya kiashiria ni watu wa dini fulani, isipokuwa mmoja tuu, Generali Abdalah Twalipo. Tena huyu Twalipo, mimi nilisoma darasa moja na binti yake akiitwa Flora Twalipo ambalo pia jina la kishiria cha dini fulani, usikute hilo jina la Abdalah ni jina tuu kama Anna Abdalah, au Jaji Ramadhani?.

Swali ni je kuna uwezekano watu wa dini fulani ni wakakamavu zaidi kuliko dini nyingine ndio maana wengi huko majeshini ni watu wa dini fulani?.

Jee ukakamavu nao una uhusiano na dini ya mtu.
Na jee pia kuna makabila wachapakazi wanaoweza mitulinga ya Jeshini, na makabila mengine kazi za Jeshini ni kituo cha polisi?.

Nawatakia Jumapili njema ya matawi.


P
Mimi ni mkristo ila nitakueleza sifa sahihi za waislamu wa kweli.

Mwislamu wa kweli hawezi kumuabudu yeyote isipokuwa Allah na ukitaka ukweli juu ya hili angalia repoert ya mcha Mungu Proffesa Assad na mtu anayeamini katika vitisho Cidiefu.

Mwislamu wa kweli anaamini umaskini ni nusu ya ukafir hivyo unapompa mwislamu madaraka hapendi kuongoza watu waliojaa dhiki na ufukara.

Kwa kifupi Wakristo wamejaa roho mbaya na choyo.

Kwa kumalizia kujibu mada yako jeshi i huwezi kukuta muhindi wala mwarabu hawa wako bize na biashara na wanarithishana utamaduni huu.

Kihistoria kabila la mashujaa ni wahehe chini ya Chifu Mtwa Mkwawa Mkwavika.
 
Hujapita kanisani leo? Mbona unatuletea hoja za kiubaguzi badala ya siasa? Hata hivyo kuwa kuwa hutokeaga watu wa ukanda flani kupenda jeshi zaidi lakini pia waswahili wengi wakiwa waislamu huwa hawapendi kazi ngumu na hutamani kuoa mapema...jeshi linahitaji MTU mbabe sio was maneno meeengi...
 
Tatizo lenu wahandishi wa habari wa Tanzania ni wavivu sana, wewe Pascal ni mkazi wa Dar ofisi zote zipo na wahusika wapo, kwa nini usijiongeze kwenda kuoji hilo swala then uje hapa na taarifa kamili ya uchunguzi wa swali lako, kutuletea hapa mawazo yako ya kuvikirika si sahihi sana labda kama unania hasi na jeshi letu la Tanzania.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Hujapita kanisani leo? Mbona unatuletea hoja za kiubaguzi badala ya siasa? Hata hivyo kuwa kuwa hutokeaga watu wa ukanda flani kupenda jeshi zaidi lakini pia waswahili wengi wakiwa waislamu huwa hawapendi kazi ngumu na hutamani kuoa mapema...jeshi linahitaji MTU mbabe sio was maneno meeengi...
Mwislamu aliyeshika vizuri dini yake kamwe hawezi kumuabudu binadamu mwenzake, kuna tabia imeanza kuna kiumbe mmoja anataka kuabudiwa, na kuna kafir mmoja sasa anataka Mungu naye aanze kumuabudu kiumbe huyu mpenda sifa, mwislamu hawezi kufanya upumbavu huu.
 
Mimi ni mkristo ila nitakueleza sifa sahihi za waislamu wa kweli.

Mwislamu wa kweli hawezi kumuabudu yeyote isipokuwa Allah na ukitaka ukweli juu ya hili angalia repoert ya mcha Mungu Proffesa Assad na mtu anayeamini katika vitisho Cidiefu.

Mwislamu wa kweli anaamini umaskini ni nusu ya ukafir hivyo unapompa mwislamu madaraka hapendi kuongoza watu waliojaa dhiki na ufukara.

Kwa kifupi Wakristo wamejaa roho mbaya na choyo.

Kwa kumalizia kujibu mada yako jeshi i huwezi kukuta muhindi wala mwarabu hawa wako bize na biashara na wanarithishana utamaduni huu.

Kihistoria kabila la mashujaa ni wahehe chini ya Chifu Mtwa Mkwawa Mkwavika.

Tatizo la low minded people upenda kuangalia negativity badala ya kinyume chake

Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Waislamu ni watu wenye misimamo sana, sidhani kama wangeweza kuachia NEC wakaendesha aina hii ya uchaguzi unaofanyikaga hapa bongo land na hizi double standard tunazoziona...hii inafanyika kwa makusudi sio bahati mbaya kutowapa nafasi huko kwa wingi..
 
Back
Top Bottom